Wanavyouliza maswali sasa, utazani wao ndiyo wanahati milikiRoho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Ndiyo chakujiuliza, mtu anaweza mbania hata mke/Mme lakini mchepuko anamtekerezeaHii ipo kwa watanzania tu sijui kwanini
Utasikia mmeo anaenda kozi na wewe mnaenda kusoma wote! Ukimwangalia unatamani umtandike bao la shingoSasa hv hata ukienda uhamiaji kutafuta passport unaulizwa unakwenda nje kufanya nini!?
Unajaza maombi mtandaoni lakini lazima uende Makao Makuu na kila kitu ili maombi yahakikiwe. Itakuwa passport kwa sasa siyo kila mtu anastahili. Lazima uwaridhishe Uhamiaji kwa nini unahitaji passport.Inamaanisha nini?
1. Huduma zimerahishwa sana siku hizi hivyo kila anayefika huhudumiwa haraka sana?
2. Wengi wamekata tamaa kufuatilia?
3. Kila kitu kinafanyikia mtandaoni?
Kweli, kama hata uthubutu wa kutetea haki zao hapa nyumbani hawana wataweza kuthubutu kwenda nje ya nchi?Woga wa maisha na uthubutu ndio unaotusumbua.
HahahahahaRoho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.
Hata Mmatumbi mwenye "kitambi" hawezi kusumbuliwa. Najua umeelewa!Passport ztu wanazibania
Hao dayaspora watatoka wapi.
Ukienda uhamiaji ukiwa mmatumbi utazungushwa hadi ukome
Lakini wakie da waarabu Koko na magabachori fasta sana wanapewa passport
Kwani shida yao ni nini hasa? Watanzania ni wahalifu saana, hivyo Serikali yetu imeamua kufany majukumu ya Polisi wa dunia?Unajaza maombi mtandaoni lakini lazima uende Makao Makuu na kila kitu ili maombi yahakikiwe. Itakuwa passport kwa sasa siyo kila mtu anastahili. Lazima uwaridhishe Uhamiaji kwa nini unahitaji passport.
Umesema jambo la maana kweli hatahivyo, inawezekana kwa kukosa kwangu "Exposure" inanifanya kutokusikia Nchi yeyote ile iliyoendelea inayofanya mchakato huo.Mtu anapozaliwa anapaswa kupewa cheti cha kuzaliwa na passport.
Uongo ina maana Watanzania wengi wanapaspoti za nchi nyingine lakini wanaficha hawasubutu kusema ukweli kwa hiyo ukitaka kujua ukweli ni kuambia nchi zote duniani waweke wazi data za watu ambao ni Watanzania na wana uraia wa nchi nyingine tuwasilianeWatanzania tunapaswa kutembea kifua mbele kwa takwimu hizo. Hii inaonesha kuwa nchi yetu ni nzuri ndiyo maana kila mtu wnatamani kubakia hapa hapa nchini.
Diaspora kuwa wengi Ina maana nchi haikaliki, haivutii, haina potential kwa watu wake.
Zipo nchi nyingi tuUmesema jambo la maana kweli hatahivyo, inawezekana kwa kukosa kwangu "Exposure" inanifanya kutokusikia Nchi yeyote ile iliyoendelea inayofanya mchakato huo.
Huyo kawa mstaarabu mimi anesema kuishi Tanzania ni kama kuishi utumwani na mnyapara ni mwenyekiti wa mtaa. Mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa na raisi wa nchi kama mwendazakeSiupendi huo msamiati ulioutumia lakini umefikisha ujumbe barabara.
| Rank | County | Number of Emigrants (Millions) |
|---|---|---|
| 1 | India | 16.6 |
| 2 | Mexico | 13 |
| 3 | Russia | 10.6 |
| 4 | China | 10 |
| 5 | Bangladesh | 7.5 |
| 6 | Syria | 6.9 |
| 7 | Pakistan | 6 |
| 8 | Ukraine | 5.9 |
| 9 | Philippines | 5.7 |
| 10 | United Kingdom | 4.9 |
Ungeandika tu kichwaWorld Bank wametoa report inayoitwa 'Ratio of persons living abroad to origin country population' ambapo kwenye report hiyo Tanzania inapungufu ya asilimia moja ya raia wake wanaishi nje ya nchi.
View attachment 2667693
Asilimia hizo ni chache kuliko mataifa yote ya nchi za Africa.
Mind you, Tanzania ni nchi pekee yenye wazungumzaji wengi wa Kiswahili.
Je, huu uthibitisho kwamba Kiswahili hakivuki maji? Au ni kwamba watanzania wengi wana mapenzi na nchi yao?
Yani uchawi upo tusikatae tunalogana wenyewe kwa wenyeweRoho mbaya ya utawala ndo kisa.
Passport tu kuipata mpaka uulizwe tupe letter mfano ya chuo unachoenda. Na chuo unachoomba hawakupi letter wanataka uwape passport number ili waandike letter. Sasa wangapi watatoka?
Chuo wanakuomba maombi yako ili wayafikirie wanataka barua ya TCU kwamba una qualify kusoma hicho ulichoomba, unakimbia TCU kuwaomba barua, wao TCU wanakwambia ili wakuandikie wanataka admission letter ya hicho chuo.