Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

Kwa kuwa kiboko yao alishakufa, serikali itashindwa kesi zote na kulipa fidia, kama ilivyokuwa kabla ya Magufuli kupanda jukwaa.
 
Hii ninpicha ya kitakachokuja baada ya kulazimishes mkataba wa Bandari
 
DP world kikiumana huko mbele ya safari, watakamata ndege hazitatosha kulipa...unaweza ukazuka msako wa kukamata DIASPORA wakatumikishwe kazi uarabuni hadi deni liishe...
Labda watawapa Serengeti, Ruaha, Mikumi, au Kilimanjaro, Gesi au madini mengine kama Fidia.
 
Hili balaa moja tu la bandari la shangazi yako linayazidi yote ya mwendazake.
Kweli kuna Sababu, silaha, madawa, wanyama, madini yatapishwa na wao wanavyojikisia. Sio tu Tanzania itaathiri nchi zote jirani.
 
Kushinda ni lazima washinde kesi maana mikataba waliingia wao na nilazima wawasaidie kushinda kesi
 
Duh!
 
Wana ccm wote wanaishi bila UBONGO na ndio maana miaka yote ya utawala wao ni hasara kwa nchi!!!
Ha ha ha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo wapo empty, sasa wataishije jamani!
 
Wale wana sheria wetu waliotuwakilisha huko wanatosha kweli? Vilaza kweli
 
Kilichosalia ni sisi wananchi kuuzwa na kuishi kama watumwa au wakimbizi
 
Magufuli alifuta mkataba mbovu.msiwe vilaza kwa kusapoti mikataba ya ovyo.
Sasa huo unaousema wewe mbovu qatu wanajichotea mi dollars bila kufanya kazi.

Kumbuka huo siyo wa kwanza na huo siyo wa mwisho. Juzi ndege imetoka kukombolewa Uholanzi, na hizi tukichelewa kulipa deni linaongezeka kila kukicha, wazungu walivyo wahuni wanawacha ziongezeke, wajiingizie ziyada bila jasho.
 
Magufuli alifuta mkataba mbovu.msiwe vilaza kwa kusapoti mikataba ya ovyo.
Kufuta ni kitu kimoja ila namna unavyofuta ndio kitu kingine. Unaweza tafuta kipengeke kilichovunjwa ukaenda ICSID huko ukadai mkataba uvunjwe. Ila sio unaamka tu asubuhi unaenda kunyang'anya leseni hata kama una haki ila mchakato uliotumika utaku-cost.
 
Kutokana haya
1.Kushindwa mara kwa mara kwa hizi kesi za madai kwenye Mahakama za Usuluhishi
2. Mgawo wa Umeme
3.Upatikananji duni wa Maji Mijini na Vijijini
4.Uendeshaji duni wa mradi wa DART+ ATCL
5.Uendeshaji mbaya wa Bandari zetu
6Uendeshaji duni na mbaya wa TAZARA+ TRC na mengine mengi
NI KIELELEZO CHA UONGOZI MBOVU WA SERIKALI YETU CHINI YA CHAMA CHAKAVU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…