Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Tatizo lenu mnaongelea kitu msicho kuwa na elewa nacho.Nchi zote duniani huwa kuna mazingira ambayo yanaweza fanya kuwepo na zuio la muda la kupeleka chakula nje ya nchi, hasa vyakula vikuu, ili kuwapa nafuu wananchi wake.Na ndio maana hapa kwetu kuna maghala ya NFRA, kila kanda, ili kuhifadhi chakula, wakati wa mavuno na kukiuza panapokuwa na upungufu.suala la kilimo huwezi ukasema eti serikali iliache tu, ndio maana huwa wanatakiwa kuwapa ruzuku za pembejeo.Mfano kwa sasa Wakenya wanaingia nchini kununua mahindi tena kwa bei ya juu sana, kwani kule kwao unga upo juu sana kuliko hapa kwetu, ni wazi wafanya biashara wa ndani watashindwa tu kununua, haya wananchi wako utawafanya nini?!!kwani lazima tu utawapa msaada,
Na mwaka huu mavuno yalikuwa kidogo, karibu nchi zote, kwani miaka kama 4 yote huko nyuma mipaka si ilikuwa wazi lakini watu walikuwa wanalia hakuna masoko?!!
Wewe ndiye unazungumza mambo usiyoelewa. Vitu ulivyokaririshwa na wanasiasa. Fahamu lengo kuu la serikali kupiga marufuku uuzaji wa mazao ya chakula nje. Lengo si kuzuia wewe usife njaa, lengo ni ili serikali yenyewe isianguke. Moja ya mambo yanayoingiza watu barabarani ni bei ya chakula kuwa juu kwa watu wa mijini. So serikali zinazuia kupanda kwa kufunga mipaka na kuhakikisha bei ya nafaka ipo chini. Hili limefanyika tokea enzi za Waroma

Hili linamuumiza nani? Mkulima anayelima. Matokeo yake anashindwa kulima. Matajiri wanaacha kulima. Benki zinaacha kopesha wakulima na njaa inatokea, tena kubwa. Na hili si nadharia. China walikuwa na sera kama hizi zetu. Matokeo yake ni njaa iliyoua mamilioni. Mwisho wake wakaja na mpango. Mkulima anaiuzia serikali sehemu fulani ya mazao yake. Labda 10% yanayobaki yote anauza anakotaka na kwa bei anayotaka. Matokeo yake uzalishaji ukakua kwa mara kadhaa zaidi, leo China njaa ni historia.

Huo utaratibu mnaotaka ufanyike unaleta njaa badala ya kuzuia.
 
Serikali ingeacha yaendelee kuuzwa ili mkulima apate anachostahili. Nguvu kazi nyingi imekimbilia mijini, utakuta kijana mwenye nguvu huko hata akifanya kazi ya kuuza pipi mbili na boksi matatu ya biskuti anapata fedha ya kula wali mwingi na maharage kwa mama ntilie kwa mgongo na maumivu ya mkulima anayedhulumiwa huko shambani.

Ngoja bei za nafaka zipande ili warudi vijijini wakalime.
Bei ya nafaka kupanda sio chachu ya watu kulima, Bali ni suala la hali ya hewa na inflation kwa wakati huo. Mkulima Sasa hivi anauza mahindi gunia 150000 lakini bado hakuna aanachofaidi sababu bidhaa nyingine nazo zote zipo juu na bahati mbaya Hakuna mkulima anayelima mazao yote. Nae akienda kununua maharage anakutana na bei kubwa, anayelima maharage nae akienda kununua mahindi nae anakutana na bei kubwa. Wote hao ea maharage na mahindi wakienda kununua alizeti wanakutana na bei kubwa

Kikubwa ni kucontrol inflation
 
Wewe ndiye unazungumza mambo usiyoelewa. Vitu ulivyokaririshwa na wanasiasa. Fahamu lengo kuu la serikali kupiga marufuku uuzaji wa mazao ya chakula nje. Lengo si kuzuia wewe usife njaa, lengo ni ili serikali yenyewe isianguke. Moja ya mambo yanayoingiza watu barabarani ni bei ya chakula kuwa juu kwa watu wa mijini. So serikali zinazuia kupanda kwa kufunga mipaka na kuhakikisha bei ya nafaka ipo chini. Hili limefanyika tokea enzi za Waroma

Hili linamuumiza nani? Mkulima anayelima. Matokeo yake anashindwa kulima. Matajiri wanaacha kulima. Benki zinaacha kopesha wakulima na njaa inatokea, tena kubwa. Na hili si nadharia. China walikuwa na sera kama hizi zetu. Matokeo yake ni njaa iliyoua mamilioni. Mwisho wake wakaja na mpango. Mkulima anaiuzia serikali sehemu fulani ya mazao yake. Labda 10% yanayobaki yote anauza anakotaka na kwa bei anayotaka. Matokeo yake uzalishaji ukakua kwa mara kadhaa zaidi, leo China njaa ni historia.

Huo utaratibu mnaotaka ufanyike unaleta njaa badala ya kuzuia.
Hata hueleweki!!mala sio mwananchi asife njaa, mala inafanya hivyo ili mwananchi asiingie mtaani!!
Hapa kwetu ni wakulima wangapi wanaoweza kwenda bank na kupata mikopo? Ni matajiri wangapi hapa kwetu wanawekeza kwenye mazao ya chakula(mahindi, mchele)
Kwanza wanapofunga mipaka mkulima wala sio muathirika mkubwa kwani yeye alishauza vigunia vyake wakati tu alipovuna.Wafanya biashara ndio waathirika kwani walikwenda wakanunua mazao kwa bei ndogo wakayahifadhi, sasa wanapiga pesa.
 
Wasiwasi mpya wa upungufu wa unga wa mahindi umeibuka nchini Kenya baada ya Tanzania ambayo ni msafirishaji mkubwa wa mahindi nchini humo kufungia vibali vya kuuza nafaka hiyo nje ya mipaka yake.

Hatua hii ni katika kujilinda dhidi ya baa la njaa kwa kulinda hazina ya ndani ya akiba ya chakula kufuatia mavuno duni na ukame.

Takwimu kutoka kwa Baraza la Nafaka la Afrika Mashariki zinaonyesha uagizaji kutoka Tanzania uliongezeka karibu mara 5, mwaka 2021 na kufikia tani 469,474 kutoka tani 98,000 mwaka 2020.

.....................................

Tanzania has frozen issuance of new maize export permits in what could worsen the shortage of the product that has driven prices of flour to historic highs.

Several millers and animal feed manufacturers told Business Daily the neighbouring country stopped issuing permits last week, tightening the supply of the staple locally.

“We have been unable to get maize from Tanzania since last week after the country stopped issuing export permits to traders with the cutting off of stocks from Tanzania expected to push up the cost of flour,” said Ken Nyaga, the chairperson of the United Grain Millers Association.

John Gathogo, publicity secretary of the Association of Kenya Feed Manufacturers, said their members are unable to get stocks from Tanzania as well following the move that has seen processors cut down on production.

Millers are issued with a one-off permit for grain export from Tanzania and they need to apply for a new one every time they intend to ship maize out of that country.

Tanzania has for the last two years become a key source market for maize to bridge deficits especially after the two countries mended their trade ties with the change of regime last year following the death of former President John Magufuli.

Data from the Eastern Africa Grain Council shows imports from Tanzania nearly grew five-fold last year to 469,474 tonnes from 98,000 tonnes in 2020. The development has left processors jostling for stocks that are available locally and a few imports coming in from Zambia. Tanzania restricts exports to protect its local stock following poor harvests.

The Kenya Bureau of Standards (Kebs) said the maize coming in through the Namanga border has significantly declined, confirming that imports into the country at that point is originating from Zambia.

“We have witnessed a significant decline in maize coming in from Tanzania; on average we are now getting 10 trucks from a high of 80 trucks previously,” a Kebs official at the Namanga border said.

The move leaves Zambia as the only key source market for the produce to bridge the local deficit as most stocks from Uganda— also a key source — is now heading to South Sudan owing to high prices in Juba.

The shortage occasioned by Tanzanian ban will push up the price of maize locally to Sh5,900 for a 90 kilogramme bag from Sh5,400, according to millers.

Source: Daily Business
sifurahii hili mana nililima kwa hela yangu nbolea bei juu.Niache nhuze kwa bei ghali nirudishe gharama zangu na faida kwanini mnafunga mipaka?
 
Bashe hafai, msimamo/Imani yake ya kuendekeza kupeleka chakula nje ndiyo iliyotufikisha hapa! Sasa anazuia nini wakati chakula limeisha! Endeleeni tu viongozi mnazidiwa ufahamu na mkulima! Umetuletea maisha magumu, ningekuwa rais wewe ungepumzika umeshachoka!
 
Bashe hafai, msimamo/Imani yake ya kuendekeza kupeleka chakula nje ndiyo iliyotufikisha hapa! Sasa anazuia nini wakati chakula limeisha! Endeleeni tu viongozi mnazidiwa ufahamu na mkulima! Umetuletea maisha magumu, ningekuwa rais wewe ungepumzika umeshachoka!
 
Tuliwaeleza muda mrefu wakashupaza mashingo, tuliwaambia mavuno hayakua mazuri wakaleta hadithi zao
Kama uliwahi ishauri serikali ifunge mipaka , basi ulikuwa huishauri vizuri na nina imani wewe ni mfanyabiashara wa mahindi wa hapa nchini,

Kutakuwa na njaa , ni kweli , lakini mwaka huu kwa mara ya kwanza mkkulima wa mahindi ame enjoy bei nzuri kutoka kwa wakenya na waganda

Ishauri serikali iweke mazingira mazuri kwa mkulima , ikiwepo punguzo la kodi na ruzuku kwa pembejeo., mfuko wa mbolea laki , halafu unataka mkulima auze mahindi kilo sh 250. Mkulima anadidimia , mfanyabiashara ananeemeka,
 
Hata hueleweki!!mala sio mwananchi asife njaa, mala inafanya hivyo ili mwananchi asiingie mtaani!!
Hapa kwetu ni wakulima wangapi wanaoweza kwenda bank na kupata mikopo? Ni matajiri wangapi hapa kwetu wanawekeza kwenye mazao ya chakula(mahindi, mchele)
Kwanza wanapofunga mipaka mkulima wala sio muathirika mkubwa kwani yeye alishauza vigunia vyake wakati tu alipovuna.Wafanya biashara ndio waathirika kwani walikwenda wakanunua mazao kwa bei ndogo wakayahifadhi, sasa wanapiga pesa.
Sema huelewi. Ngoja nikueleweshe tena. Bei ya chakula ni moja ya kitu huingiza wananchi barabarani haraka sana na kupindua serikali. Sasa ili kuzuia hilo serikali huakikisha wanadhibiti bei ya chakula. Na njia mojawapo ni kuzuia uuzaji wa chakula nje. Hivyo, serikali haizuii uuzaji ili wananchi wasife njaa bali ni ili isianguke.

Wanapofunga mipaka mkulima na kilimo vinaathirika pakubwa sana. Usiangalie mwaka huo tu. Huyo mfanyabiashara akipata hasara unafikiri mwaka unaofuata mkulima atakuwaje? Benki gani itakopesha mkulima ambaye soko na bei ya mazao yake havieleweki? Unafikiri mkulima mkubwa aliyepata hasara sababu ya kufunga mipaka mwaka unaofuata atalima? Kuna kutumia matrekta na mbolea wakati bei ipo fixed chini kabisa? Hii unafunga leo, kesho unafungua ndiyo itatuletea njaa.
 
Hayo mahindi ni ya mkulima au serkali yanayozuiwa kuuzwa nje. Tuache ujinga, mkulima ananufaika na nini hapo. Pembejeo juu halafu soko anapangiwa .
Yeye ndio anaweka akiba kwa chakula chake. Kama serkali inaona kutakuwa na njaa inunue kwa mkulima iweke kwenye ghala zake.
Hii nchi haieleweki yaani wanasimamia nini

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Hata kukiwa na pembejeo rahisi, Hali ya hewa ikikataa hutapata kitu. Ukiona mwaka ambao Uganda nao wananunua huku kwetu basi jua wao hawana ya kutosha na sisi pia hatuna ya kutosha. Uganda wanazalisha sana mahindi na wala sio chakula chao kikuu. Mwaka juzi nao walileta mahindi yao huku kwetu.

Hata Kenya ukiona wanahitaji sana mahindi ya kwetu basi jua huo mwaka huku kwetu hatujazalisha sana.
Cycle ya kutozalisha mahindi kwa msimu iliopita ilitokana na bei mbovu za mahindi, kwa msimu uliopita , mahindi yaliwahi kuuzwa 220 kwa kilo , wamati huo mbolea ya can na urea mfuko wa kilo 50 ni shilingi laki moja , , katika hali kama hii wakulima wengi walilima kwa ajili ya chakula tu wakenya wamekuja kwa bahati bahati tu,
 
Si wamesema Rutto ana mashamba ya mahindi ambayo akivuna ni mara tatu ya mahitaji ya mahindi kwa mwaka nchini Kenya.

Wamwambie rais wao awape mahindi wale sima.
Kwa hio na mimi nipatepo asara ya mahindi angu ama. Mi nitawauzia wakenya kwa bei naetaka. Asa mkianza mambo ya papatu papatu achen yakae ndani. Hayaozi
 
Tiss imefeli kumshauri hili mama kwa wakati hadi kupanda kwa mchele kuwa 2800 Tsh, na debe la mahindi kuwa 25,000Tsh ni kutokana na kuwa na uhitaji mkubwa kwa soko la nje hasa Kenya na Congo. Maafisa wetu walipaswa kuingilia hili mapema coz hali ya chakula haikuwa nzuri toka mwaka jana isitoshe na mazao yalikuwa duni.
Kwan TISS ndii kazi yao? Wizara inafanya kazi gani?
 
Back
Top Bottom