Tuna safari ndefu.
 
Walioungananao niTanganyika hiyo Tanganyika yenyewe haionekani inayoonekana ni Tanzania kwa hiyo zanzibar kasaini hayo mashirikiano na huyo anaeonekana ambae ni Tanzania

Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Zanzibar yeye hayumo kwenye hiyo "Tanzania" unayoizungumzia hapa?

Kwa hiyo Zanzibar kaungana na Tanzania ya wapi?
 
Safi sana, mambo ni IGA tu. Hakuna cha mjomba wala shangazi.
 
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?"
 
Mambo mengine yanafikirisha sana ujue, Katika pita pita zangu Leo nikakuta eti serikali inasaini mkataba a.k.a hati ya Makubaliano ya madini na serikali ya Zanzibar.

Nikawazaaaa nikashindwa kujiuliza, ni lini Tanganyika nao watasaini mkataba au Makubaliano yoyote tu na serikali ya Tanzania??

 
Wakati Majirani wetu wanajitayarisha na Utengano. Tujiulize....


Ni Lini serikali ya Tanganyika itasaini hati ya Makubaliano (wowote) na serikali ya Tanzania kama walivyofanya serikali ya Zanzibar?​

👆✍️🤝
Natamani utungwe mdundo wa Mdumange, Singeli, na Hata Mdundiko unaoendana na Hoja hiyo!
 
Tuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni Moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani na sio rahisi kueleweka Kwa watu wasiotazama mbali na siku upinzani wakimulewa Kwa walau asilimia 30 ,siku hiyo watakuwa wamekomaa kisiasa na watastahili kuongoza nchi Lakini Cha kusikitisha mpaka Sasa hakuna yeyote aliyepo upinzani aliyepata kumuelewa Mwalimu Kwa walau asilimia 5.
 
"Tuseme ukweli, Mwalimu Nyerere ni moja ya akili kubwa mno kuwahi kutokea duniani"- takataka hii
 
Akili kubwa sana. Swali hili halijibiki kwa akili ndogo ya CCM
Unakosea sana, tena sana. Manake unachotaka kusema ni kwamba hakuna wana CCM wanaopinga Mikataba mibovu! Kwamba ni juhudi za Vyama vya Upinzani tu ndivyo vinavyo tetea Masilahi ya Watanzania.

Hapana. Usifanye hivyo.

Jaribu kusoma nyakati, hili ni suala la Watanganyika wote! Watanzania wote, Watu wote!

Walioibua swala la Mkataba wa Bandari ni Wana CCM, waliojitokeza kudadavua na kuuchambua Mkataba ule ni wana CCM na Wengine wa Vyama vya kisiasa. Mkataba huu wa sasa na hoja hii ya sasa(mada hii) ni matokeo ya moja kwa moja na suala la Bandari....bila kusahau hoja ya Utanganyika. Unachofanya ni kupunguza nguvu za Mshikamano uliojitokeza kupinga, na Kurekebisha suala zima la Muungano na UTanganyika...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…