Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nilivyokua napigania vodacom wastop kumdhamin utafikiri waliskia kilio changu.sijui hata kwanini walichelewa kumpiga chiniVoda wamesitisha udhamini wao kwa huyo mgonjwa wa akili?
Nilitupa chhoni line ya Voda na nilijiapiza kamwe siwezi kuwa mteja Voda tena over my dead body, haiwezekani pesa yangu haende kulipwa mpuuzi kama Mange badala ya kufadhili vitu vya maana.
Je hiyo blog yake bado inaendelea?
kichwa anakuambia yule haezi pata kazi ya maana USA maana ana historia ya kuiba kule!!Na alivyojisahau hata kazi hakutafuta.....na MBA yake.
ulikosa kazi ya kufanya wewe.Jamani nilivyokua napigania vodacom wastop kumdhamin utafikiri waliskia kilio changu.sijui hata kwanini walichelewa kumpiga chini
In Wendy's voice"stupid wo
Karma karma....ile blog ndo chanzo cha haya yote.najua anatamani time irudi nyuma arekebishe alipokosea.ila huyu dada anapitia maisha magumu ambayo amejitakia.sijui mara ya mwisho ni lini amelala usingizi. 24/7 anaandika magazetu.watu wanapata phd wanamaliza ye bado tu anawadanganya stupid followers on socia media(in Wendy's voice)
Swaiba Mungu anapotenda muujiza wake uwe unanitag, sikuwa na taarifa hizi maana mimi si mpenzi wa Insta wala blog zao hizo. Hizi ni habari njema sana kwangu na zinaisindikiza vizuri jumapili yangu.since last yr wamevunja mkataba nae!
na hablog tena! mume kamkimbia,mdhamini kamtema hana vumba tena!
kabaki kutegemea wireless za bire za huko USA tu kujitutumua IG baaas!!
anauugulia maumivu tu...angekuwa hajali asingehangaika vile...zile chart za leo ndio zimedhihirisha kwamba yuko kwenye maumivu makaliAnajifanya hata sijali...nani asiyejali kulea watoto wasio na baba.huku unasubiri food stamps. Awadanganye followers wake.
sana tu na Leo kajua uchungu wa kubully watu!Mtu anaumbua utafikiri yeye ndo muumbani.zero kabisa.mungu kashamuadhibu tayari imetosha
hahaaaJamani nilivyokua napigania vodacom wastop kumdhamin utafikiri waliskia kilio changu.sijui hata kwanini walichelewa kumpiga chini
hahhahhaaa!!usikondreee!!yani Mungu analipa hapa hapa duniani tena kwa wakati mzuri km huu!!Swaiba Mungu anapotenda muujiza wake uwe unanitag, sikuwa na taarifa hizi maana mimi si mpenzi wa Insta wala blog zao hizo. Hizi ni habari njema sana kwangu na zinaisindikiza vizuri jumapili yangu.
Ila kwa hili nasema asante Mungu kweli wewe ni Ebeneza, huyu malaya ameumiza sana watu hapa duniani na sasa imani yangu kwa Mungu itakuwa hai maradufu kwamba kweli Mungu yupo na anaona yote ila ana wakati wake wa kumchapa binadamu mkaidi.
Na wote tuseme Amen.
Lazima kutakua na party somewhere. ..lolsana tu na Leo kajua uchungu wa kubully watu!
huko IG Leo Luna vita le mutuz anamchambua balaa nimecheka mnooo!!
shamim,kiki,mwamy etc I think wanagonga shampeni tu sasa hv!!
maana llooh!wamekoma nae hawa watu na nacky!!
Leo kichwa kanyanyua mashabiki 3-0!!
hahaaa
kwa tafsiri isiyo rasmi ubaya unaomfanyia mtu Ipo siku utakurudia mwenyewe pia!Karma ndio nn?
Yaani nimajanga,mange alivyokuwaga anawasifia wanaume wa kizungu,kusema ukweli huyu wake kamprouve wrong,yaani kitendo cha lance kufanya anachokifanya ,aisee mimi nasema wanaume ni tabia bila kujali rangi zao za ngoziKwa kweli na me hapo pa Lance kama sijamuelewa, ana ugomvi na mange au?
Ni anasumbua mno mkuu.nimeonyeshwa vitu anavyoandika duhAisee!
Huyo dada Mange kweli anasumbua.
Anasumbua kuliko hata haja ya mabungo.
Yaani kamtu kamoja kanawasumbueni hivyo? I mean...really? Seriously y'all?
Hivi huwa inakatiza hata wiki kweli huyo mdada hajajadiliwa humu?
And vise versa, if you do good things to others then good things will happen to you.kwa tafsiri isiyo rasmi ubaya unaomfanyia mtu Ipo siku utakurudia mwenyewe pia!