TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

TANZIA TANZIA: Balozi Augustine Philip Mahiga, Waziri wa Katiba na Sheria amefariki dunia

Atoke nje kuendelea na majukumu yake Kama kawaida. Akakague miradi ,ahudhuria mikutano yake ya mabaraza tuone Kama anaweza kufanya hivyo. Huwezi kuwaambia watu waendelee kujichanganya kuchapa kazi huku wewe umeji isolation. Huyu rais ni muuaji.
over react mkuu...
 
Lock down... Lock down.... Lock down.

Tufanyeje muelewe....

Piga chini Bunge..
 
Kilichobaki sasa ni kila mmoja kuchukua tahadhari binafsi ili kujikinga dhidi ya Covid-19 na siyo kutegemea serikali peke yake ikusaidie kuchukua tahadhari.

Hii ni vita halisi, na kila mmoja wakati huu anaishiriki.

Hii serikali imeshalemewa tayari, tahadhari walishindwa kuchukua tangu awali hivyo saiv watu wanapukutika tuu.

Tahadhari gani tunaweza kuchukua ambayo waziri au mbunge hawakuweza kuichukua?

Tusidanganyane.

Hii serikali tunapaswa kuilazimisha kufanya maamuzi sahihi. Ni hilo tu lililobakia.
 
Back
Top Bottom