Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
To be precise it was a Whorehouse Christian Center, kanisa lilijaa vimwana sampuli ya wanavyuo! Historia yake aliyowahi kusema yeye binafsi kwa mdomo wake eti aliwahi kuuza maji mitaani kwa kusukuma mkokoteni huko Mtonimtongani Temeke Dar Es Salaam.
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
Ni kama yule Sheikh wa Mahusiano, Sheikh KipoozeoMchungaji wa Mambo ya Mahusiano? Duh. Haya, Pumzika kwa Amani.
Ni mchungaji alitangaza neno la Bwana ila alikuwa mtoto wa mjini. Huchoki kumsililizaNi nani kwani huyu? Dr by professional au? Mchungaji Mtumishi Mwalimu Mtume au Nabii?
Ahahhh huu mwaka tutamuita Mungu wa kweli
Pumziko la Milele Umjalie Ee Bwana!
Tuchape kazi mara dufu. Hakuna corona, msitutisheDuh!. Shocking!.
RIP Pastor Miti Mingi
P
As you close your eyes in may all your pain and troubles be lost forever R I P
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
WAREHOUSE ni jengo la
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
Huku ni kanisa Sasa usikaririWAREHOUSE ni jengo la kuhifadhi vifaa au vitu kwa matumizi ya baadae.
Korona takatifuR.I.P
Si kila kifo ni Corona
A.K.A Doctor loveBora tu angeitwa mtaalamu wa mahusiano maana hapo kwenye uchungaji haijakaa sawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ninatafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili.Huku ni kanisa Sasa usikariri
sawa🙌Mimi ninatafsiri toka kiingereza kwenda kiswahili.
SILO ni ghala la kuhifadhi chakula.
Ninakubaliana nawe mlilitumia neno hilo kwa maana ya chakula chenu kondoo wa bwana mliokuwa mkiwatafuna, wale mabinti, Jina sahihi lingekuwa WHOREHOUSE.
R. I. P mchungaji
"chozi la mwanamke likitoka sababu ya maumivu au kunung'unika huleta laana"
Sasa wewe jifanye kitunguu maji kuwaliza wadada.
Mungu amlaze mahala pema peponi.
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG.
Mch. Mitimingi anadaiwa alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.