TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

Pirapanda likilia,hakutawasaidia watendao maovu kwa lolote ambao ndio wengi wetu.
Usiombe hilo, kwa sasa ,jielekeze kwenye toba na njia ya ukweli ya kumjua na kumuabudu Mungu wa kweli na wa pekee ilivyo sahihi .
Basi sie watenda maovu tumrejee Mungu 🙌
 
Mimi siwezi kutumia Google kunitafsiria, nikisema Whorehouse najua na ndivyo lilivyokuwa kanisa lake, na yeye aliliita Warehouse kwa sababu alikuwa anawatumia wale mabinti kama vifaa vya kujikimu, hivyo majina yote mawili yanastahili hapo.
wewe ni miongoni mwa hao mabinti!!!!au muhanga wa mafundisho yake.

maana si kwa kung'ang'ana huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hili la majumba ya dini (Makanisa) kugeuzwa madanguro sijawahi kulishuhudia. Nimewahi kushuhudia Makanisa yanageuzwa kuwa vilabu vya pombe na kumbi za kuchakata muziki/disko —-Dunia inaelekea huko kwenye Makanisa kubadilishwa madanguro kwa mwendo mkali sana!!
 
Daa hii homa ya mapafu mbona tishio.
 


Mchungaji Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula cha Uzima (Warehouse Christian Centre-WCC) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Voice of Hope Ministry (VHM) inayojihusisha na huduma ya injili vijijini amefariki Dunia akiwa Muhimbili kwenye matibabu, Mchungaji Msaidizi wa kanisa hilo amethibitisha na kuelekezea chanzo cha kifo chake.

“Yeye alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali hiyo hali ikamsumbua na kupelekea kufariki “-Mchungaji Samweli, Msaidizi wa Kanisa

HIVI HIYO HOMA YA MAPAFU NDO UGONJWA GANI TENA?????
 
Alihudumu na mama Rwakatare kipindi cha pasaka!
Mama kamuandalia makao na sasa amemuita ili atakapokuwepo naye awepo.
 
“Yeye alikuwa anaumwa Sukari ilipanda, ikaanza homa ya mapafu kwasababu alikuwa Arusha akapigwa na mvua kukawa na baridi kali hiyo hali ikamsumbua na kupelekea kufariki “-Mchungaji Samweli, Msaidizi wa Kanisa
 
Hivi homa ya mapafu si ndo hii corona wajameni???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…