TANZIA: Mwanachama mwenzetu National Anthem amefiwa na mapacha wake

Innaaa lillaaah wainnaaa ilaih raaajiun


Majaribu ni sehem ya mungu kutupima iman km alivyowapima waliotutangulia


Ingawaje inauma lkn lazima mkubal kuwa hilo ni jaribu na mnapaswa kulivuka


Mungu awafanyie wepes mpate watoto wengine wengi tu kadr itakavyompendeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…