Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania


hapo kwenye red, LOL, na huko kote lazima wakuchomoe!! I better consult Al Shabaab, i can get it without any bureaucracy!!
 
Habari zenyu bana! Muko poa natumaini,waungwana mi nna shida ya kumiliki silaa ndogo, je utaratibu ukoje ili mtu aweze kumiliki slaa ni ayo tu waungwana,
....Sawazisha kiswahili chako bana humo kwenye red kunatia kinyaa!!
 
nyani ngabu na faiza hebu njoeni muedit hii lugha hapa.

Utata mtupu, hapo namuachia Nyani Ngabu. Maana kuna Slaa katajwa humo na mimi najulikana ni Gamba orijino. naweza kuambiwa nimegeuza jina la rais wa magwanda.
 
Kama upo Dar, nenda "central police" wana kitengo cha kumiliki silaha pale watakupa maelezo au tembelea maduka ya silaha watakupa maelezo.

Hautaki mabomu?
Faiza hapo kwenye mabomu sikuelewi huyo kahitaji bastora sasa mabomu ya nini, kupasua miamba au kulipua mahala?
 

Acha story kila m2 anajua hiyo? We sema itapatikana vp?kwan 2nataka hzo Ak 47, 12 nako kazuri na kabazoka au ka rpg .acha uoga fidel castro alichukua inji akiwa kopolo sasa ata wewe? Wake up bro.
 
....Sawazisha kiswahili chako bana humo kwenye red kunatia kinyaa!!

Jamaa unauliza taratibu za kumiliki bastora, wewe unaaza kusahihisha grammar! JF kuna mambo!


bastora
 
Nauliza utaratibu wa kumiliki silaha(bastola) ukoje? Naomba nijuzwe plse
 
Unatakiwa kuomba kibali kwanza. Kibali kinaombwa kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya yako, ukifika utapewa fomu ya kujaza na baada ya hapo utasubiri kamati ya usalama ya wilaya ikae na kuidhinisha upewe kibali cha kumiliki silaha au la (kutokana na historia yako).

Baada ya kupata kibali, unaenda either pale upanga jeshini kuna duka la silaha pale ndani au lugalo. Ukishapata kibali ni pm nikuelekeze aina gani ya silaha inakufaa kwa mazingira yako.

Pia natoa huduma ya kufundisha shabaha kwa fee kidogo (kwa sababu kumiliki silaha ni jambo moja na kujua kutumia ni jambo lingine).
 
Nauliza utaratibu wa kumiliki silaha(bastola) ukoje? Naomba nijuzwe plse
Unapotaka kumiliki silaha, unatakiwa kupeleka ombi /barua katika kamati ya ulinzi na usalama ya mtaa/kijiji ikiwa na maelezo ya lengo la kutaka kumiliki silaha husika na aina ya silaha.
kamati ya ulinzi na usalama ya mtaa/kijiji itajadili ombi lako na kuliwasilisha kwa kamati ya ulinzi na usalama ya kata ambayo m/kiti ni mtendaji wa Kata na katibu ni OCS (MKUU WA KITUO KIDOGO CHA POLISI).

Baada ya kujadiliwa, kamati hiyo itawasilisha muhtasari wa kijiji/mtaa na ule wa kata kwa mkuu wa polisi wa wiliya(OCD)/manispaa atawasilisha kwenye kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya.

Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ndiyo yenye mamlaka ya mwisho ya kubariki maamuzi ya kamati za mtaa/kata au kubatilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…