Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Kama ndo hivi hakuna sababu ya kuwa na siraha, maana hakuna siri tena, hata majambazi yatajua na wewe kuwa target yao.
 
1. Vp unakuwa unailipia shngp na kila baada ya mda gn?
2. Vp ikipotea bahat mbaya unapewa adhabu gn?
 
Kazi yake ni hii
Your browser is not able to display this video.
 
Habari,

Naombeni kujuzwa vigezo vinavyohitajika na serikali ili kumiliki silaha ya Moto (Bastola/pistol)

Hatua za kufuata
Gharama zake

Asanteni muwe na Dominica njema
 
Mi naona ni kama vigezo vinatofautiana kati ya mkoa na kabila.

Kwamfano huwezi kulinganisha wamiriki siraha waliopo Arusha na Mbeya\Mwanza au kati ya Wachagga na Wasukuma.

Mchagga ana asili ya thug na ukorofi\ubabe mavi wakati msukuma ni mtu hamble na hana ushamba wa kutishia watu na kumiriki masiraha kuonesha ubabe.
 


Wasukuma wako humble?
 
Wakuu hbr za jioni??. Natamani Sana kumiliki silaha ya moto, Matharani bunduki au hata Bastola, maana duniani kumejaa Dhuluma.Sasa naomba msada wenu kujua utaratibu ukoje??.km vile gharama zake,n.k.
Nenda kituo chochote cha polisi watakueleza utaratibu japo kama siyo maigizo, Tanzania hatujahitaji kumilki silaha. Haki haidaiwi kwa bunduki bali akili na ithibati.
 
Wakuu hbr za jioni??. Natamani Sana kumiliki silaha ya moto, Matharani bunduki au hata Bastola, maana duniani kumejaa Dhuluma.Sasa naomba msada wenu kujua utaratibu ukoje??.km vile gharama zake,n.k.
Hebu cheki na blaza ake Hamza hapo Upanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…