Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

1. Naenda kanunue SILAHA kwanza au ujue ni Aina gani ya bunduki unavyo taka kumiliki na specification zake
2. Naenda Kituo cha Polisi kuanzia ngazi ya Wilaya sio vituo vidogo kaombe fomu ya kumiliki silaha inatolewa bure
3. Utajaza taarifa zako binafsi ikiwa pamoja na taarifa za bunduki, Aina na muundo wakepamoja na maker. Pia utaeleza matumizi ya bunduki hiyo
4. Utapeleka fomu kwa mtendaji wa kijiji, kamati itakaa kukujadili na kuandika muhtasari wa kikao pamoja nawajumbe kusaini kwenye fomu yako ya maombi
5 utapeleka fomu kwa mtendaji wa KATA, nao watafanya kama mtendaji wa kijiji
6. Utapeleka fomu kwa OCD -Mkuu wa Polisi Wilaya husika ulipo chukulia fomu nae ataiwadilisha kwa Mkuu wa Wilaya ambeye ndie mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wataijadili kwenye kikao na kutia saini kwenye fomu hiyo na kuituma kwa RPC - Kamanda wa Polisi Mkoa
7. Fomu hiyo itajadiliwa tena kwenye kamati ya ulinzi na usalama Mkoa ikiongozwa na RC baada ya hapo fomu hiyo itatumwa kwa DCI kwa hatua ya mwisho.
Kama ndo hivi hakuna sababu ya kuwa na siraha, maana hakuna siri tena, hata majambazi yatajua na wewe kuwa target yao.
 
Haupewi, ni kuilipia tu kisha unapewa risiti.

Ikionekana hujakidhi vigezo, pesa utarudishiwa.

Ila ukiishainunua halafu ukafanya uzembe ikachukuliwa[emoji1787]mfano kuisahau sehemh, kumpa mtu mwingine au kuringishia watu. , hupewi hela wala silaha yenyewe tena.
1. Vp unakuwa unailipia shngp na kila baada ya mda gn?
2. Vp ikipotea bahat mbaya unapewa adhabu gn?
 
Kazi yake ni hii
 
Habari,

Naombeni kujuzwa vigezo vinavyohitajika na serikali ili kumiliki silaha ya Moto (Bastola/pistol)

Hatua za kufuata
Gharama zake

Asanteni muwe na Dominica njema
 
Mi naona ni kama vigezo vinatofautiana kati ya mkoa na kabila.

Kwamfano huwezi kulinganisha wamiriki siraha waliopo Arusha na Mbeya\Mwanza au kati ya Wachagga na Wasukuma.

Mchagga ana asili ya thug na ukorofi\ubabe mavi wakati msukuma ni mtu hamble na hana ushamba wa kutishia watu na kumiriki masiraha kuonesha ubabe.
 
Mi naona ni kama vigezo vinatofautiana kati ya mkoa na kabila.

Kwamfano huwezi kulinganisha wamiriki siraha waliopo Arusha na Mbeya\Mwanza au kati ya Wachagga na Wasukuma.

Mchagga ana asili ya thug na ukorofi\ubabe mavi wakati msukuma ni mtu hamble na hana ushamba wa kutishia watu na kumiriki masiraha kuonesha ubabe.


Wasukuma wako humble?
 
Wakuu hbr za jioni??. Natamani Sana kumiliki silaha ya moto, Matharani bunduki au hata Bastola, maana duniani kumejaa Dhuluma.Sasa naomba msada wenu kujua utaratibu ukoje??.km vile gharama zake,n.k.
Nenda kituo chochote cha polisi watakueleza utaratibu japo kama siyo maigizo, Tanzania hatujahitaji kumilki silaha. Haki haidaiwi kwa bunduki bali akili na ithibati.
 
Wakuu hbr za jioni??. Natamani Sana kumiliki silaha ya moto, Matharani bunduki au hata Bastola, maana duniani kumejaa Dhuluma.Sasa naomba msada wenu kujua utaratibu ukoje??.km vile gharama zake,n.k.
Hebu cheki na blaza ake Hamza hapo Upanga
 
Back
Top Bottom