Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Kumiliki silaha ya moto uleta ushawishi wa kuitumia either itakuua wewe au mke.
Kama unataka kununua silaha nunua mpya.
Used kama ilishawahi ua ni lzm utaua.
Na ukiua mtu umewasha bluetooth on maisha yako yote.
 
 
Silaha ni timing na confidence yako tu na sio ubora wa silaha
 
chazachaza njoo usome huu uzi utakupatia maarifa zaidi kuhusu umiliki wa silaha. Watu wengi kwenye uzi wako hawaelewi wanakupotosha tu.
 
Kwa ajili ya kujilinda, nahitaji kuwa na bastola.
Naomba utaratibu wa kuinunua na kuimiliki.
 
Tembelea duka la silaha: Tanganyika Arms pale Stesheni au Mzinga duka LA jeshi Upanga. Huko watakujuza AINA mbalimbali za silaha. Lipia silaha uliyochagua, kisha waachie wakutunzie hadi upatapo KIBALI. Kisha NENDA ofic ya OCD wilaya unayoishi atakupa fomu za Maombi ya kumiliki silaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…