MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,281
- 1,251
FFU Ukonga kwa walioko DarMm niongezee swali, ukishaipata huwa mafunzo ya kuitumia yanatolewa na nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FFU Ukonga kwa walioko DarMm niongezee swali, ukishaipata huwa mafunzo ya kuitumia yanatolewa na nani
Hapana huyo simjui ndio nasikia kwako leoWasted na Wakupuliza nawafananisha kwani mnahusiana kivyovyote?
Kesho utaishia getini nenda j3Naenda kesho
Kuanzia Mil 3 Mpaka Mil 10 hizi ni ShortgunMsaada wa bei tasafali
Silaha ni timing na confidence yako tu na sio ubora wa silahaNa kweli M42 pia uwe umeshiba wakati unafyatua. Hiyo .45 ACP H&K USP inakitako kikubwa, handling yake mgogoro, sitaki dubwana linalo 'bulge' kwenye nguo.
Nini ushauri wako kuhusu Sig sauer P250 9para, au TAURUS slim 9para? ...all in all ni silaha ya self defence tu... not less than 12 rounds, ukivamiwa na mwenye AK-47 si unajua tena yeye 'ananyeshea mvua' tu mpaka magazine yake iishe.
Ukiwa nacho ukoswi koswi Yale machale wanayopewa na waganga uwasaidiahamna self-defence mkuu kuna tukio koswa juzi ndnmekoswao nkakumbuka umuhimu wa hii kitu
chazachaza njoo usome huu uzi utakupatia maarifa zaidi kuhusu umiliki wa silaha. Watu wengi kwenye uzi wako hawaelewi wanakupotosha tu.Wajemeni eeh
Kuuliza si ujinga na kuuliza njia ndio kujua njia!
Nahitaji bastola, kwa self defence tu, si vinginevyo! Sababu; najiona vulnerable mno huko 'uswekeni' ninakoishi. Hamna umeme, na majirani wanahesabika, BTW, practicing targets zipo za kutosha huko!
Najua humu kuna wengi tu wanaomiliki silaha kikazi, na wanaomiliki silaha kwa sababu kama zangu mie,..tatizo sijui "a" wala "be" nianzie wapi, meaning sheria na taratibu zikoje Bongo kumiliki silaha, hivi kuna duka la silaha Bongo?
Wapi?
Mfano; nikipata semi auto M92 Beretta yenye uwezo wa rounds 12 au 15 inatosha, au kuna 'limit' ya silaha ya aina gani naruhusiwa kuwa nayo? natamani kuagiza nje lakini nahofia nisijebanwa na sheria za uingizaji silaha...
Sheria ya umiliki wa Bunduki Tanzania