Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania



Nenda polisi kupeleka maombi yako, huko watakuhoji sababu ya wewe kuhitaji silaha ya moto wakishakuhoji watakupa utaratibu unaofuata, nadhani itabidi uende kwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa au Afisa mtendaji wa kata ili taarifa zako wazithibitishe halafu mambo mengine hufuata.
 
Sawa mkuu. In case nawaambia sababu mi kutaka tu kujilinda, naweza kubaliwa?

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…