Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100%Shukarani.Kunaaskari alinambia atAulizwa anataka silaha kwa malengo gani? KaMa ni kujilinda mtu binafsi lazima awe ana biashara kubwa. ikiwa ni kwa ajili ya mali /nyumba atapewa silaha kubwa.Kwa haya maneno ina maanA pistol kuimiliki kwake bado ni kazi kubwa!Wasikutishe ndugu yangu,Kila kitu kinawezekana na kila raia ana haki ya kumiliki silaha akiwa na akili timamu kwa kufuata taratibu na sheria zilizowekwa.Kwanza nenda serikali ya Mtaa mahali unapoishi,Kisha kwa OCD wa jirani nawe au la katika ghala la silaha ulikonunua hao wanaweza kukurahisishia maisha zaidi. Kule kwa OCD utapewa fomu ya kuomba kibali cha kumiliki silaha ambayo ukijaza na kupeleka serikali ya mtaa,Kamati ya Ulinzi na usalama itaipitia na kumshauri OCD ambaye ataipeleka kwa PRC au RSO nako kikao kitakaa kuidhinisha pamoja na waombaji wengine.MUHIMUIli umiliki silaha unatakiwa kuwa na akili timamuHuna rekodi ya uhalifuUwe raia nk
Uwe na kazi inayoeleweka, na kuwa hiyo pistol kweli unaihitaji nyakati fulani katika utendaji wa kazi au majukumu.Wasikutishe ndugu yangu,Kila kitu kinawezekana na kila raia ana haki ya kumiliki silaha akiwa na akili timamu kwa kufuata taratibu na sheria zilizowekwa.Kwanza nenda serikali ya Mtaa mahali unapoishi,Kisha kwa OCD wa jirani nawe au la katika ghala la silaha ulikonunua hao wanaweza kukurahisishia maisha zaidi. Kule kwa OCD utapewa fomu ya kuomba kibali cha kumiliki silaha ambayo ukijaza na kupeleka serikali ya mtaa,Kamati ya Ulinzi na usalama itaipitia na kumshauri OCD ambaye ataipeleka kwa PRC au RSO nako kikao kitakaa kuidhinisha pamoja na waombaji wengine.
MUHIMU
Ili umiliki silaha unatakiwa kuwa na akili timamu
Huna rekodi ya uhalifu
Uwe raia nk
kupunguza mihangaiko,kama una mkwanja we tafuta lawyer....ataprocess hatimiliki,kazi yako kutia saini akishamaliza.
Trust me,hizo ni formalities za vitabuni,hata RPC humuoni,Inpector haruna ndio ataprocess.Mkuu una uhakika na unachokisema? Sina uhakika mama Lawyers wanahusika kwenye ku-process umiliki wa Silaha kwani kwenye hizi kamati wanakutaka wewe mwenyewe ujitokeze uojiwe!!!!
Tiba
Kazi ka ipi? Maana kazi nyingi zinaeleweka. Labda awe na biashara inayoeleweka?Anayo nyumba nzuri,gari zuri,kazi nzuri, halaf kumbe hivyo vikao vyao hua wanajadili nini?Uwe na kazi inayoeleweka, na kuwa hiyo pistol kweli unaihitaji nyakati fulani katika utendaji wa kazi au majukumu.
Hapa nmekubali ushauri 100%.Jamaa yangu anafanya biashara hakuitwa kwenye kikao hata kimoja ...alipelekewa ka leseni Class C za zamani. Anayo hadi leo.Sina hakika kama bado huo mtindo unaendelea maana nasikia Tz mambo siku hizi yamebadilika. Sheria zinafuatwa.Jamaa yangu aliomba kumilikishwa pistol na alipewa ila ni si kazi rahisi sana. Yeye alinunua kwanza pistol kwenye mojawapo ya maduka yanauza silaha hapa Dar. Wale walipomuuzia walimpatia receipt na fomu ya kwenda kuomba kumilikishwa. Mchezo unaanzia kwenye baraza la usalama la serikali ya mtaa ambapo aliitwa na kuhojiwa na Wazee wa mtaa juu ya hiyo nia yake ya kumiliki silaha. Wale wazee wali-endorse ombi lake (kwenye fomu unatakiwa kuonyesha ni silaha aina gani na uwezo wa kubeba risasi na ukubwa wa risasi!!!!- Baada ya hapo unakwenda kwenye kata ambapo kamati ya ulinzi pia inapashwa kukujadili, kuuliza maswali na kupitisha hilo ombi lako. - Baada ya hapo unakwenda kwenye kituo cha polisi kikubwa kilichokaribu na kwako na pale mkuu wa kituo lazima apitishe.-Ukitoka hapo fomu inapelekwa wilayani ambapo kamati ya ulinzi na usalama ina kuita na kukuhoji. Wakiridhika, wanapitisha. (Kwa silaha kubwa baada ya hapo inakwenda wizarani kwa ajili ya kumilikishwa na kupewa kitabu.-Kwa pistol, inabidi sasa ombi liende kwa kamati ya usalama ya mkoa ambao nao watakuhoji na ku-endorse ombi lako.-Ukitoka hapo sasa ni kwenda Wizarani ambako wanakupatia kitabu (Leseni ya umiliki) na unatakiwa kwenda Polisi Osterbay ambao watakuandikia kibali cha kwenda kununua risasi.Baada ya hapo mchezo umekwisha. Kama kawaida jamaa zilimtoka sana hapo kwani wajanja walikuwa wanamzunguka na kumwambia wanawajua watu wanaokaa kwenye kamati hivyo lazima wawape chochote ili wakubali ombi lake. Ukweli kwa mtindo huo wa kutoa pesa ndio ombi lipite, unaweza kukuta hata jambazi anamilikishwa silaha!!!!Tiba
inabidi tuwe navyo vingi na hata hicho kifaru ktunze ili tukianza kama libya itakuwa imebaki kutafuta pick ups na kuingia mitaani,halafu machine gun do nzuri kwani zinaweza kutoa risas nyingi kwa wakati mmoja na hasa katika mashambulizi ila hata grenade launcher ni nzuri kwa itasaidia sana kurusha mambomu kwa umbali mrefu zaidi kuliko kutumia mkono,pia baada ya kugundua SMG hainauwezo kivile pamoja na suala la uzito ninashauri kutumia ASSAULT RIFLE ambayo ni nyepesi na ni nzuri pia kwa mashambulizi,usisahau AUTOMATIC SHOTGUN kama unauwezo wa kuhimili mtikisikodah....hapa umeamua kweli.....kuna jirani yangu ana kifaru anauza....vipi utafika bei?
<br />Nenda Tanganyika arms wanazo nyingi sana ila nakushauri tafuta glocker 17 au 18 au 19 au Bereta ndio best,waambie wakutafutie magazine yenye 20 capacity...(Ni bei sana) na wao watakuambia utaratibu wa kufuata na forms kupeleka polisi na utaratibu woote una gharama kidogo na unachukua muda maana vikao kama 6 hivi vitaipitia maombi yako!!!
<br /><span style="font-family: Comic Sans MS"><font size="4"><font color="purple">dah....hapa umeamua kweli.....kuna jirani yangu ana kifaru anauza....vipi utafika bei?</font></font></span>
Mkuu mie si mjuzi sana wa aina za silaha, ila ninachohitaji ni silaha ya kujilinda ambayo naweza kummaliza adui akiwa angalau umbali wa mita 100.
Duh hii balaa, yaani hapa leo umenichekesha ile mbaya. Ndipo nakumbuka sisi sote ni watanzania. Yaani kwa kicheko hiki ungekuwa karibu ningekukumbatia.![]()
Chagua moja tukupe bei
Mkuu unataka kumkumbatia FF? Shauri yako bwana,Duh hii balaa, yaani hapa leo umenichekesha ile mbaya. Ndipo nakumbuka sisi sote ni watanzania. Yaani kwa kicheko hiki ungekuwa karibu ningekukumbatia.