Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Tuma maombi kwenda serikali yako ya mtaa/ kijiji.

Ukipitishiwa yataenda ngazi ya kata, hapo ukifanikiwa ombi lako litapelekwa kwenye kamati ya ulinzi ya wilaya.
Kumbuka wenye nafasi kubwa ni ngazi yako ya kata, lakini ngazi ya wilaya ni pagumu kiasi.

Baada ya hapo utasubiri idhini ya umiliki.

USHAURI.

Usidhani kuwa uko salama zaidi kumiliki silaha, na kama huwezi ni heri kutifikiria kumiliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Uwe na miaka 31 Au zaidi.

2.Nenda kwenye maduka yanayouza silaha Mzinga,Tanganyika arms au popote chagua silaha unayoipenda unalipia unapewa risiti lakini unaiacha na unapewa form ya kwenda kujaza.

3.Unaenda kuijaza kwanzia kata mpaka mwisho kwa OCD.kila muktasari wa vikao vinaambatanishwa

4.Ocd akiridhia anakupa namba inajazwa ambayo inakuwa ni namba ya silaha.

5 unapewa silaha na accessory zake unaweza kununua pia.risasi kwa mwaka ni 20 tu unless otherwise


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru kwa maelezo yako mkuu
Tuma maombi kwenda serikali yako ya mtaa/ kijiji.

Ukipitishiwa yataenda ngazi ya kata, hapo ukifanikiwa ombi lako litapelekwa kwenye kamati ya ulinzi ya wilaya.
Kumbuka wenye nafasi kubwa ni ngazi yako ya kata, lakini ngazi ya wilaya ni pagumu kiasi.

Baada ya hapo utasubiri idhini ya umiliki.

USHAURI.

Usidhani kuwa uko salama zaidi kumiliki silaha, na kama huwezi ni heri kutifikiria kumiliki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maelezo yako yamenipa mwanga kabisa wapi kwa kuanzia..shukrani sana
1.Uwe na miaka 31 Au zaidi.

2.Nenda kwenye maduka yanayouza silaha Mzinga,Tanganyika arms au popote chagua silaha unayoipenda unalipia unapewa risiti lakini unaiacha na unapewa form ya kwenda kujaza.

3.Unaenda kuijaza kwanzia kata mpaka mwisho kwa OCD.kila muktasari wa vikao vinaambatanishwa

4.Ocd akiridhia anakupa namba inajazwa ambayo inakuwa ni namba ya silaha.

5 unapewa silaha na accessory zake unaweza kununua pia.risasi kwa mwaka ni 20 tu unless otherwise


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaruhusiwa kuiuza lakini Mauzo yatafanyika kituo cha police na silaha itaacha kituoni/office ya msajili mpaka pale mmiliki mpya atakapopewa licence yake ya kumiliki silaha tajwa.
Hivi ni kusema mnunuz mpya atafata taratibu zote za kawaida za maombi mapya ya kumiliki silaha.
Kiongozi habari, taratibu au sheria anazopaswa mwenye silaha ya moto kuzitii ni zipi ili aweze kuwa salama pasipo kuwa na uzembe wa matumizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar hawaruhusiwi kumiliki silaha.

Ukiwa unamiliki bastola lazima ujue kuitumia vizuri, isije ikakudhuru mwenyewe kwa kujipiga risasi, au kuingia katika hali ya kuhatarisha maisha yako. Unapomiliki silaha, hasa ya kujilinda inabidi ujue sheria vizuri, na ni yepi yatakayokusibu ukiwa umejeruhi/kuua mtu.

Hivyo ni vizuri kuifahamu silaha yako vizuri, kwenda range mara kwa mara, na ikiwezekena kujiunga na club za kufanya mazoezi ya kujilinda.

Huko utafundishwa namna ya kufanya pindi utakapojikuta katika hali ambayo itabidi uchomoe bastola yako.
Sheria anazopaswa kuzitii mtu mwenye silaha ni zipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika barua kwa mkuu wa wilaya yako ukimweleza kusudio/ombi la kutaka kumiliki Silaha ya Moto, kwenye barua hiyo umCC Mwenyekiti Seikali ya mtaa wako na afisa mtendaji wa kata yako, Utaratibu Utajadiliwa na kamati ya ulinzi ya mtaa,Kata na ya wilaya, ukikidhi vigezo unapewa kibali cha kwenda kununua silaha *angalizo* Usianze kwenda kununua kabla ya kibali wanaweza kupokea pesa na wakakupa risiti badala ya silaha na maelekezo kashughulikie KIBALI
Hakuna kitu kama hicho mkuu unaaza kwaza kununua silaha ndipo ziaza taratibu za kisheria kumiliki chuma usipopewa kibali cha kumiliki bunduki utarudi dukani unaandika barua ya kurudishiwa pesa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom