Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Nyani haoni kendezake, mbowe si ni kub ana hadhi ya waziri mkuu kivuli

Siamini kama nimesoma ulichoandika kutoka kwa mTanzania. Mkiitwa mjina yanayowakilisha sifa zenu mtasema mmetukanwa. Sheria inakataza viongozi wa serikali kufanya kampeni na imeenda chini mpk kwa mkuu wa wilaya.

Halafu mpumbavu (fool) mmoja anakuja hapa na kusema Mbowe ana hadhi ya waziri mkuu. Majaliwa ni Waziri Mkuu wa nchii hii. Sio Mbowe!! Ondoa ukoko katika akili yako, huenda ukawa ni mtu wa maana tu ila hapa unajichafua.
 
Siamini kama nimesoma ulichoandika kutoka kwa mTanzania. Mkiitwa mjina yanayowakilisha sifa zenu mtasema mmetukanwa. Sheria inakataza viongozi wa serikali kufanya kampeni na imeenda chini mpk kwa mkuu wa wilaya.

Halafu mpumbavu (fool) mmoja anakuja hapa na kusema Mbowe ana hadhi ya waziri mkuu. Majaliwa ni Waziri Mkuu wa nchii hii. Sio Mbowe!! Ondoa ukoko katika akili yako, huenda ukawa ni mtu wa maana tu ila hapa unajichafua.
Mkuu tuwekewe vifungu tukasome sio kutuletea porojo
 
Mgombea Urais kupitia Chadema Mh Tundu Lissu amemuonya Kasimu Majaliwa kwa kitendo chake cha kufanya kampeni za Urais kote anakopita , kwa vile kitendo hicho ni kukiuka maadili ya uchaguzi .

Kwa mujibu wa Lissu Waziri Mkuu kikatiba hatakiwi kumpiga kampeni mgombea urais wa chama chake nje ya jimbo lake la uchaguzi ambalo ni Ruangwa tu na ameonya kwamba NEC isipochukua hatua kwenye hili basi itajisimika rasmi kuwa TUMECCM .

Je, Wanasheria mliopo hapa JF hili jambo limekaaje?

Hakuna popote ambapo Kasim Majaliwa amejitambulisha Kama waziri mkuu hata media hazimtaji kwa cheo chake zinamtaja kwa cheo Cha chama yani ni mjumbe wa kamati kuu kwa hyo tusikaririshwe vinginevyo angetuambia ni kanuni ipi ya Tume iliyovunjwa ili tuwadai nao Tume waje kutoa ufafanuzi juu ya hili
 
Hahaha sikujua nabishana na ccm, alitaka kufahamu kuhusu Mbowe, nikamjibu nawewe umekuja, duh.

Ndiyo kahamia Mbagala.
Ni kufanya mlingano tuu Kaka wala sikubishii, Lissu ni MTU smart sana lakini Kaka sitaki kuamini kwamba the rest of all Tanzania especially members wa CCM wote ni wajinga. SASA kamusi ya nchi ( Tundu Lissu) kasema Majaliwa kakosea, lakini hajamtaja Pinda,Mwanri,Nassari,Ndugai , Bashiru au Wasanii wa Muziki ambao wote wanazunguka Nchi nzima wakiwanadi wagombea wa CCM...SASA Sisi tusiojua vizuri tunaanzaga Kwa kufanya comparison and then tunahoji ili tueleweshwe zaidi..wala hakuna ubishani ndugu..Mimi na wewe ni kitu kimoja tunatofautiana mawazo tuu.
 
Hapo uliposema he is no longer a PM panaonyesha katiba ya nchi huijui vizuri

Bunge lilishavunjwa Mzee. Majaliwa ni Mbunge wa Ruangwa kwa tiketi ya CCM. Wabunge wote walilipwa Mafao yao hivo muda wao wa Ubunge kukoma.
Kama majaliwa siyo Mbunge anaendeleaje kuwa PM?
Wasikilize TBC kwenye taarifa zao kuhusiana na Kampeni za Majaliwa: Wanam- address Kama MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM......Not as a Prime Minister!!!
 
Jikite kwenye hoja. Wewe jiulize anapiga kampeni Kama Nani? He huko anakozunguka anaendelea kutoa maagizo na kufanya kazi za kiutendaji wa serikali? Sina upande wowote kwenye hili najaribu kufafanua hoja kuu.
Hivi leo yuko wapi karagwe au geita
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?

Akili za kinyumbu tu.
Utaratibu wa kuingia barabara siyo kuvunja sheria Wewe! Na mkitaka watu wabakie majumbani, shindeni kwa halali kwenye Box la sivyo mtaongezewa maumivu zaidi ya haya mnayopata sasa!
 
Bunge lilishavunjwa Mzee. Majaliwa ni Mbunge wa Ruangwa kwa tiketi ya CCM. Wabunge wote walilipwa Mafao yao hivo muda wao wa Ubunge kukoma.
Kama majaliwa siyo Mbunge anaendeleaje kuwa PM?
Wasikilize TBC kwenye taarifa zao kuhusiana na Kampeni za Majaliwa: Wanam- address Kama MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM......Not as a Prime Minister!!!
Sio sahihi
Soma katiba
Spika bado ni Job Ndugai
Naibu spika bado ni Betina atulie akson
Waziri mkuu ni majaliwa
Mawaziri na manaibu waziri bado wapo kwenye nafasi zao hadi atakapo apishwa rais mpya.

Muwe mnasoma soma basi, msiwe wavivu kama maccm
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?

Akili za kinyumbu tu.
isome vizuri katiba vizuri siyo unakata mauno humu
 
Kwenye hili sidhani kama Lissu yuko sahihi.

Godbless Lema alikuwepo kwenye uzinduzi wa kampeni za Lissu Dar na alimpigia kampeni wakati ni mgombea Arusha.

Lakini, Kassim Majaliwa bado ni mtanzania, kwa mujibu wa katiba ya nchi ana haki ya kwenda mahali popote nchini.

Na kwa mujibu wa katiba ya nchi Kassim Majaliwa ana haki ya kufanya kazi ya kisiasa aliyotumwa na chama chake kwa sababu chama chake ni chama halali kilichosajiliwa nchini.

Kazi ya kuomba kura ni kazi ya wanachama wote, siyo wagombea peke yao!. It is not about individuals, it is about the party

Miaka michache iliyopita Chadema walikuwa wakilalamika kuzuiwa kufanya siasa nchi nzima, yaani mbunge wa Jimbo X kushiriki siasa za Jimbo Y, Leo Lissu anakubaliana na katazo lilelile la Magufuli ambalo walilipinga kipindi kile?

Labda Lissu anukuu vifungu vya sheria tujionee otherwise hoja yake hii naona haina mashiko
Lema si alikua na mgombea urais, hata majaliwa akiwa jpm hakuna shida ,shida ni pale anapozunguka peke yake tz tunasheria nyingi mpaka zingine tunazisahau
 
Mimi si mmoja wao wa kujadili ya kusikia, watu au matukio. Hoja kwa hoja na siyo vioja.

Wapiga kura siyo wajinga kiasi hicho. Mmoja mmoja anaporudi nyumbani kwake anachambua pumba na mchele.

MNA MGOMBEA JASIRI WA KUSEMA UWONGO UWE UKWELI, MATUSI YAWE HOJA
Unaweza kuainisha matusi na uongo wake?
 
Otherwise Kama anatumia mwamvuli wa uwaziri mkuu. Ila Kama anatumia mwamvuli wa kada na mjumbe wa kamati kuu ya ccm Sheria Wala maadili ya tume hayambani hata kidogo. Endapo anajiamini Hana haja ya kampeni Jimboni kwake Basi habanwi kumwombea kura magufuli popote Tanzania.
Na hata kwenye mikutano yake haipandishwi bendera ya taifa bali ya chama. Kwa mikutano niliyoiona mimi
 
Mgombea Urais kupitia Chadema Mh Tundu Lissu amemuonya Kasimu Majaliwa kwa kitendo chake cha kufanya kampeni za Urais kote anakopita , kwa vile kitendo hicho ni kukiuka maadili ya uchaguzi .

Kwa mujibu wa Lissu Waziri Mkuu kikatiba hatakiwi kumpiga kampeni mgombea urais wa chama chake nje ya jimbo lake la uchaguzi ambalo ni Ruangwa tu na ameonya kwamba NEC isipochukua hatua kwenye hili basi itajisimika rasmi kuwa TUMECCM .

Je, Wanasheria mliopo hapa JF hili jambo limekaaje?

Huyo majaliwa badala ya kufanya kazi za kiserikali anampigia kampeni Jiwe. Nani kampa hayo mamlaka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siamini kama nimesoma ulichoandika kutoka kwa mTanzania. Mkiitwa mjina yanayowakilisha sifa zenu mtasema mmetukanwa. Sheria inakataza viongozi wa serikali kufanya kampeni na imeenda chini mpk kwa mkuu wa wilaya.

Halafu mpumbavu (fool) mmoja anakuja hapa na kusema Mbowe ana hadhi ya waziri mkuu. Majaliwa ni Waziri Mkuu wa nchii hii. Sio Mbowe!! Ondoa ukoko katika akili yako, huenda ukawa ni mtu wa maana tu ila hapa unajichafua.
Waziri Mkuu wa Tanzania atakua mbunge wa kuchaguliwa na atapatikana Kwa kupigiwa Kura na wabunge baada ya jina lake kupendekezwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. mara nyingi ni chama chenye wabunge wengi ndicho kinatoa PM, Majaliwa kapata uteuzi kutoka Kwa Rais ambaye pia ni chairman wa CCM na alikuwa confirmed na wabunge walio wengi kutokea CCM. Na Kwa katiba ya CCM prime minister automatically anakua mjumbe wa NEC. Kumtenganisha PM na Siasa za chama Kwa wakati huu nahisi ni kumuonea bure.
 
Je kwenye ratiba ya Tume ya Uchaguzi Waziri Mkuu yumo?mda na mahali? Kwanini Tume imekaa kimya? Huyu anatumia vyombo vya wananchi kunadi mgombea mahali popote! Kwanini Tume hawajawa fair katika hili?

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Uko sahihi mkuu,hivi huu ni uchaguzi wa ndani ya ccm au ni uchaguzi wa vyama vingi??Eti mjumbe wa NEC kwa hiyo wajumbe wa kamati kuu ya Chadema nao wazunguke nchi nzima kumpigia kampeni Lissu??Kumbe yote waliyofanya kwa miaka mitano na Boss wake wanaona watu hawajawaelewa MLIYEKUWA HAMUMUTAKI KAJA NI YEYE YULEE ALIEONJA KIFO. Hangaikeni nae.
 
Sio sahihi
Soma katiba
Spika bado ni Job Ndugai
Naibu spika bado ni Betina atulie akson
Waziri mkuu ni majaliwa
Mawaziri na manaibu waziri bado wapo kwenye nafasi zao hadi atakapo apishwa rais mpya.

Muwe mnasoma soma basi, msiwe wavivu kama maccm

Inawezekana unasoma lakini HUELEWI. Ulichoandika hapa ni utopolo. Unaposema Spika bado ni Job Ndugai, sijui Tulia Ackson bado ni N/Spika......!!Kwa Bunge lijalo au lipi Kaka? Walokuwa Mawaziri Sasa ndo wanaomba Tena ridhaa ya kurudi Bungeni inawezekanaje waendelee kuwa Mawaziri?
 
Back
Top Bottom