Nyani haoni kendezake, mbowe si ni kub ana hadhi ya waziri mkuu kivuli
Siamini kama nimesoma ulichoandika kutoka kwa mTanzania. Mkiitwa mjina yanayowakilisha sifa zenu mtasema mmetukanwa. Sheria inakataza viongozi wa serikali kufanya kampeni na imeenda chini mpk kwa mkuu wa wilaya.
Halafu mpumbavu (fool) mmoja anakuja hapa na kusema Mbowe ana hadhi ya waziri mkuu. Majaliwa ni Waziri Mkuu wa nchii hii. Sio Mbowe!! Ondoa ukoko katika akili yako, huenda ukawa ni mtu wa maana tu ila hapa unajichafua.