Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Hapa sasa ndipo ndipo shida inapoanzia.
Hakuna sehemu nilipochallenge ila nimeongea uhalisi ukisoma story ya masiha yake. Tofautisha uhalisia na kuchallenge. By the way yeye mwenyewe aliwajibu kwanini ana mingle na watu hao.
Hivi hivi ndivyo mnawaambuiwa shetani ni jitu la kutisha linaogopesha, wakati mambo mengi ya shetani ndiyo yenye kumvutia binadamu, mfano: ulevi, uzinzi, yani starehe starehe. Kuna maandiko yanasema shetani alikuwa malaika mzuri kwa mwonekano kuliko wote.
In short, mimi nilichokiandika sio kuchallenge ila nimeongelea namna ambavyo jamii ya kipindi kile ilivyokuwa ikimchukulia. Swali kwako mkuu: Kwanini mpaka leo Wayahudi hawamkubali Yesu?
Swali kwako mkuu: Kwanini mpaka leo Wayahudi hawamkubali Yesu.

Jawabu: Nabii hakubaliki kwao
 
Swali kwako mkuu: Kwanini mpaka leo Wayahudi hawamkubali Yesu.

Jawabu: Nabii hakubaliki kwao
Hili jibu jepesi mkuu. Mbona leo asilimia kubwa ya waarabu wanamkubali Mohamad kama nabii hakubaliki kwao?
Jibu ni kwamba wao walikuwa na taswira ya Yesu atakuwa hivi, yeye akaja kivingine wakamwona kama outcast ndio maana hawaamini kama ni yeye.
 
Yaan ukianza kutumia COMMON SENSE kwenye mambo ya kiroho unapotoka....

Naona umeshiba + Kiburi Cha uzima unajikuta unaanza ku challenge dini (YESU KRISTO WA NAZARETH)

Acha kumtizama YESU KRISTO WA NAZARETH katika hiyo perception (Angle)uliyo mtizama Kuna mengi aliyo anayo yafanya mpaka muda huu ....

Wasalaam
Usitutishe
 
Quran habari za Yesu ilizipataje? Maana Yesu kitambo sana kuliko quran.

Ili
Sasa ndio umeandika nini wewe? Ingekuwa qur an ndio kitambo kuliko yesu isingeweza kupata habari zake, lakini yesu ndio kitambo kuliko qur an ndiomaana ina habari zake
 
Une Elimu gani? Ilimu Duniya.
Haha Elimu Duniya Nimeenda enda shule kidogo nina Vijiwe viwili...

Elimu ya kidini..
Kwenye ukristo nilisoma theology na nikapata diploma..
Kwenye uislam nilisoma mpaka thanawi...

Kwenye Budhism,Hinduism na Other Mystesism nina certificate ila bado naendelea kusoma.....

Kwa hiyo mkuu Sijajua Lengo lako la kuuliza elimu
 
Na mimi pia nayapenda Japo sipo upanxe wwote nilishajitoa Gerezani na siko katika utumwa japo nimepita magereza yote vizuri...
Na nakuambia kuwa Huwezi kusimiliwa yesu wa kweli kwa sbabu hakuna aliyewahi kumuoma akaandika habari zake

Kwahiyo wewe huyo wa kweli umeonana naye wapi mkuu???
 
kwa mujibu wa Quran yesu alikuwa na wanafunzi wangapi? Na kwa mujibu wa Quran ni mtu yupi alifufuliwa na huyo Yesu?
Yesu hakufufuwa yeyote kwa mujibu wa Qur'an na wala hakuna idadi ya wanafunzi iliyowekwa.

Qur'an siyo "bigraphy ya yeyote. Ukikuta visa (hadithi) za mitume (60 to 70 % ya Qur'an) vyote viba mafundisho fulani.

Waliotafsiri Qur'an kuwa Yesu "kafufuwa" wamefanya makosa ya kufata mafundisho ya biblia yenye mikono ya watu ndani yake (corrupted).

Mimi na challenge Waislam na Wakristo (yeyote) tuichambuwe Qur'an tuone wapi kafufuwa mtu. Mimi sijapaona hapo. Kwanza siamini kuwa kwenye Qur'an Yesu (Isa) katajwa kufanya muujiza wowote ule.

Hata kuzaliwa kwake Yesu Qur'an ipo wazi, hakuna muujiza, watafsiri wamechomekea kwa uvivu wa kuchambuwa.

Qur'an siyo kilinganisho cha biblia wala taurati. Qur'an ni ukweli mtupu usiyo na shaka ndani yake.

Twende kisomi.
 
Yesu hakufufuwa yeyote kwa mujibu wa Qur'an na wala hakuna idadi ya wanafunzi iliyowekwa.

Qur'an siyo "bigraphy ya yeyote. Ukikuta visa (hadithi) za mitume (60 to 70 % ya Qur'an) vyote viba mafundisho fulani.

Waliotafsiri Qur'an kuwa Yesu "kafufuwa" wamefanya makosa ya kufata mafundisho ya biblia yenye mikono ya watu ndani yake (corrupted).

Mimi na challenge Waislam na Wakristo (yeyote) tuichambuwe Qur'an tuone wapi kafufuwa mtu. Mimi sijapaona hapo. Kwanza siamini kuwa kwenye Qur'an Yesu (Isa) katajwa kufanya muujiza wowote ule.

Hata kuzaliwa kwake Yesu Qur'an ipo wazi, hakuna muujiza, watafsiri wamechomekea kwa uvivu wa kuchambuwa.

Qur'an siyo kilinganisho cha biblia wala taurati. Qur'an ni ukweli mtupu usiyo na shaka ndani yake.

Twende kisomi.
Sasa Hapa unadanganya Faiza hebu relax utetezi mwingi mwisho wa siku unaharibu kwa kusema uongo
 
Umesahau kuwa jamaa pia alikuwa anafuga rasta..ana masela kama wote anafatana nao,
 
Marko 8:27-38
Yesu aliwauliza wanafunzi wake, watu wanasema mimi ni nani?

Wengine wanasema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine Elia, wengine mmojawapo wa Manabii,

Na ninyi je mnasema Mimi ni nani?

Petro akajibu, "Wewe ndio Kristo"


Hivyo sio wote ambao watamuona Yesu kama Petro alivyoona...

Sio rahisi kuiona taswira ya Yesu halisi ikiwa huna nguvu za Roho Mtakatifu...

Ni kwakuwa wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu...
 
Tuhuma nzito hiyo umenirushia, nimedanganya nini?
Unajua kuwa ni Kujitoa Katika imani na kupituka Mipaka juu ya Mitume Tukufu wa M/Mungu unapo wafanyia hiyana juu ya matendo yao Waliyofanya?
Unajua kuwa Kumtilia kashfa mtume yeyto inaenda kinyume na NGUZO za Imani ya dini ya Kiislamu..

Kuhusu Kisema Yesu/issah Hkufanya Miujiza huoni kama unajiweka kundi la Ahulul Kufar (Kafir) na huoni unapinga aya za Mwenyezi Mungu zilizo wazi na kusema wametafasiri Tofuti..Huoni kama kwa kusema tafasiri zimetupotosha bado unapinga Kuhusu Ahadi ya mwenyezi Mungu iliyopo kwwnye Quran ya kuilinda...
Wewe ni Muislam usiingizwe Na ukafanywa kuwa Ahlul kufar
 
Marko 8:27-38
Yesu aliwauliza wanafunzi wake, watu wanasema mimi ni nani?

Wengine wanasema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine Elia, wengine mmojawapo wa Manabii, Na ninyi je mnasema Mimi ni nani?

Petro akajibu, "Wewe ndio Kristo"

Hivyo sio wote ambao watamuona Yesu kama Petro alivyoona...

Sio rahisi kuiona taswira ya Yesu halisi ikiwa huna nguvu za Roho Mtakatifu...

Ni kwakuwa wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana wa Mungu...
Una uhakika Petro aliongozwa na Roho mtakatifu au aliwah kuambiwa hivyo na Mwanfunzi wa Yohana mbatizaji Andrea Ambaye ni nduguye
 
Una uhakika Petro aliongozwa na Roho mtakatifu au aliwah kuambiwa hivyo na Mwanfunzi wa Yohana mbatizaji Andrea Ambaye ni nduguye
Ndio neno linavyotuambia, na neno la Mungu ni kweli, hata sasa mimi na wewe tunatofautiana ni kwakuwa mi ninavyomuona au kumjua Yesu sio kama wewe...

Ni ngumu sana kumjua YESU kwa kibinadamu lazima uwe mtu wa Rohoni
 
Kwenye quran, visa ama matukio ya yesu yameandikwa kama matukio ya ajabu ajabu sana. Matukio yasiyo na kichwa wala miguu. Childish ambayo hata mtoto mdogo asingeweza kuyafikiria akiachilia mbali kuandikw akwenye kitabu cha watoto lakini yameandikwa kwenye kutabu cha Allah SAW. Ni vituko.
Mfano?..
 
Ndio neno linavyotuambia, na neno la Mungu ni kweli, hata sasa mimi na wewe tunatofautiana ni kwakuwa mi ninavyomuona au kumjua Yesu sio kama wewe...

Ni ngumu sana kumjua YESU kwa kibinadamu lazima uwe mtu wa Rohoni
Sasa hapo point yangu ya msingi ndipo ilipo. Waliokuwepo physically wakamuona physically kwa maisha yake physically wengi walimwona hivyo nilivyoandika. Na ndio maana Wayahudi ambao alisema yeye ni mfalme wao mpaka leo hawamwamini wanahisi bado hajaja maana wana picha yao ya Yesu na physical life ambalo wanadhani ndilo angekuwa nalo.
Huenda hata wewe ungekuwepo usingeamini.
 
Unajua kuwa ni Kujitoa Katika imani na kupituka Mipaka juu ya Mitume Tukufu wa M/Mungu unapo wafanyia hiyana juu ya matendo yao Waliyofanya?
Unajua kuwa Kumtilia kashfa mtume yeyto inaenda kinyume na NGUZO za Imani ya dini ya Kiislamu..

Kuhusu Kisema Yesu/issah Hkufanya Miujiza huoni kama unajiweka kundi la Ahulul Kufar (Kafir) na huoni unapinga aya za Mwenyezi Mungu zilizo wazi na kusema wametafasiri Tofuti..Huoni kama kwa kusema tafasiri zimetupotosha bado unapinga Kuhusu Ahadi ya mwenyezi Mungu iliyopo kwwnye Quran ya kuilinda...
Wewe ni Muislam usiingizwe Na ukafanywa kuwa Ahlul kufar
Sasa wewe ndiyo unarusha maneno yake unayaingiza kinywani mwangu, hapo wewe ndiyo unaleta uzushi au sijuwi ni ushuzi.

Wewe unayesema kafanya muujiza, weka ushahidi wako kuwa kfanya muujiza tuuchambuwe. Mimi nasema hakufanya, sasa nani anayezuwa hapo?
 
Sasa hapo point yangu ya msingi ndipo ilipo. Waliokuwepo physically wakamuona physically kwa maisha yake physically wengi walimwona hivyo nilivyoandika. Na ndio maana Wayahudi ambao alisema yeye ni mfalme wao mpaka leo hawamwamini wanahisi bado hajaja maana wana picha yao ya Yesu na physical life ambalo wanadhani ndilo angekuwa nalo.
Huenda hata wewe ungekuwepo usingeamini.
Wao ni wapumbavu, maana wao walimuona kwa macho, waliona Miujiza anafanya, sisi tunasikia habari zake kwa kupitia Manabii na tunaamini, Inamaana sisi tuna IMANI kubwa sana...
 
Back
Top Bottom