Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Mariam au Miriam kwa lugha ya Hebrew ni jina la ukoo Hivyo kuna maelfu ya Yehoshua waliozaliwa na miriam au maryam

Ukizungumzia kuhusu Kuwa na wanafunzi 12 kuna mystical kibao zina walimu wanaofanana na yesu kila kitu Go and read them..

Nenda kasome kuhusu Horus ,Krishna,ISIS na wengine kabla sijakupa hao wayahudi

Kuna Yehoshua(Jesus) Ben Ananias huyu maarufu sana kama wewe umesoma Dini vizuri pia utampata mwingine Simon bar Kokhba (ambaye kuna baadhi ya wazayuni wanasema ndiyo Masihi wao)
Theudas , Yehoshua (Jesus) Ben Damneus..

kifupi mkuu WKo wengi natamani hata kuwataja sote lakini kasome ili nawe uwe na maarifa ya kuwajua..

Hizi ni hekaya unaleta.

Nimeuliza maswali mepesi tu,unaniandikia "kasome,kasome" kwani huwezi kuleta hapa ulichokisoma huko!!

Hao yeshua maelfu ndio nawataka hapa na wasifu wa kila mmoja.
 
Mkuu watu wengi jambo hili hawalijui la kuna story kibao zinazofanana na Yesu. Hata ukisoma story ya Krishna inafanana sana na yesu na hao uliowataja na ni za kale zaidi.

Unawezakuwa unajua kitu lakini si kitu sahihi,
Kitendo cha kutotambua kwamba jambo fulani kufanana na jingine hakufanyi mambo hayo kuwa moja.

Story ya Yesu mwenye ndani ya biblia inafanana na ile ya Kondoo aliyechinjwa na abraham mbadala wa isaka,nyoka wa shaba ktk fimbo ya Mussa.

Neno kufanana ndio msingi wahoja yako???
 
Unawezakuwa unajua kitu lakini si kitu sahihi,
Kitendo cha kutotambua kwamba jambo fulani kufanana na jingine hakufanyi mambo hayo kuwa moja.

Story ya Yesu mwenye ndani ya biblia inafanana na ile ya Kondoo aliyechinjwa na abraham mbadala wa isaka,nyoka wa shaba ktk fimbo ya Mussa.

Neno kufanana ndio msingi wahoja yako???
Mkuu hizi mystical stories tunazozungumzia hapa ni zile za kuzaliwa na bikra, kutenda miujiza kuwa na wafuasi 12. Zina mfanano sana.
 
Mkuu hizi mystical stories tunazozungumzia hapa ni zile za kuzaliwa na bikra, kutenda miujiza kuwa na wafuasi 12. Zina mfanano sana.

Kwahiyo hoja hapa hizi ni story za aina moja??

Krishna amepata kuishi miaka mingapi iliyopita??
 
Sasa wewe ndiyo unarusha maneno yake unayaingiza kinywani mwangu, hapo wewe ndiyo unaleta uzushi au sijuwi ni ushuzi.

Wewe unayesema kafanya muujiza, weka ushahidi wako kuwa kfanya muujiza tuuchambuwe. Mimi nasema hakufanya, sasa nani anayezuwa hapo?
Ok sawa ngoja nianze kukuonyesha baadhi..

Aliongea akiwa na umri Mdogo...

Soma Quran 19 anzia aya ya 29 au suratul Maryam aa kuanzia 29

فَأَشَارَتْ إِلَيْهِ ۖ قَالُوا۟ كَيْفَ نُكَلِّمُ مَن كَانَ فِى ٱلْمَهْدِ صَبِيًّۭا

inatamkwa hivi..

Faasharat ilayhi qaluu kayfa nukallimu man kana fii almahdi sabiyyan

kwa lugha ya mama samia

Akawaashiria (mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo na angali yumo katika malezi?



قَالَ إِنِّى عَبْدُ ٱللَّهِ ءَاتَىٰنِىَ ٱلْكِتَٰبَ وَجَعَلَنِى نَبِيًّۭا

Qala innii AAabdu Allahi ataniya alkitaba wajaAAalanii nabiyyan

kwa lugha ya mama samia

(Mtoto Issa) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi Mungu. Amenipa Kitabu, na amenifanya Nabii.

وَجَعَلَنِى مُبَارَكًا أَيْنَ مَا كُنتُ وَأَوْصَٰنِى بِٱلصَّلَوٰةِ وَٱلزَّكَوٰةِ مَا دُمْتُ حَيًّۭا

inatankwa hivi..

WajaAAalanii mubarakan ayna ma kuntu waawsanii bialssalati waalzzakati ma dumtu hayyan

kwa lugha ya mama samia

Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai,

وَبَرًّۢا بِوَٰلِدَتِى وَلَمْ يَجْعَلْنِى جَبَّارًۭا شَقِيًّۭا

inatamkwa hivi...

Wabarran biwalidatee walam yajAAalnee jabbaran shaqiyyan

kwa lugha ya mama samia

Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri, mwovu.

وَٱلسَّلَٰمُ عَلَىَّ يَوْمَ وُلِدتُّ وَيَوْمَ أَمُوتُ وَيَوْمَ أُبْعَثُ حَيًّۭا

Inatamkwa hivi..

Waalssalamu AAalayya yawma wulidtu wayawma amootu wayawma obAAathu hayyan

kwa lugha ya mama samia

Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa, na siku nitakayo kufa, na siku nitakayo fufuliwa tena kuwa hai.

Miujiza Mingine

Chakula Kutoka Mbinguni na kulisha halaiki ya watu..
SURATUL MAIDA Aya ya 112-115
Screenshot_20231031-121216.png



KUPONYA WAGONJWA ,KUFUFUA WAFU,VIPOFU ,KUUNDA NDEGE NA KUMPULIZIA PUMZI NA KUWA HAI,
SURATUL IMRAN Aya kuanzia ya 47 mpaka 51..

Screenshot_20231031-121650.png


CC: Sheikha FaizaFoxy nasubiri
 
Hizi ni hekaya unaleta.

Nimeuliza maswali mepesi tu,unaniandikia "kasome,kasome" kwani huwezi kuleta hapa ulichokisoma huko!!

Hao yeshua maelfu ndio nawataka hapa na wasifu wa kila mmoja.
Nimeshawataja Na sijaweka hekaya yoyote nimekutajia hao baadhi nenda kawasome..umeomba kutajiwa umetajiwa Haya shida gani tena
 
Kwahiyo hoja hapa hizi ni story za aina moja??

Krishna amepata kuishi miaka mingapi iliyopita??
Krishna. Imani ya Hinduism ni ya kale zaidi kuliko imani nyingi. Pia kuna ufanano ma story ya osiris. It seems hii ni mystical story ambayo imekuwa katika jamii mbalimbali.
Kusoma mambo mengi ni vizuri ila ukisoma mengi sana unajikuta unaanza kuquestion baadhi ya vitu.
Mimi napenda kusoma soma vitu. Nimesoma vitu kwenye Hinduism, Budhism pia Quran na imani za kale za wa Egypt.
Hivi unajua kuna wanaoamini kwamba Yesu alikuwa Lama, yani kiongozi wa Mabudha na ndio maana alipozaliwa wale watu waliokuwa wanafuata nyota kwenda kwake ni utaratibu wa Kibudha wa kufuata nyota kumtafuta the new lama.
Mwisho wa siku the world now is full of information, ni mtu mwenyewe kuzisoma na kuzichambua zipi zinafaa na zipi hazifai
 
Nimeshawataja Na sijaweka hekaya yoyote nimekutajia hao baadhi nenda kawasome..umeomba kutajiwa umetajiwa Haya shida gani tena

Ni hekaya sababu sio maelfu kama ulivyosema,na hakuna hata mmoja aliyeitwa yeshua aliyezaliwa na mariam kama ulivyodai.
 
Krishna. Imani ya Hinduism ni ya kale zaidi kuliko imani nyingi. Pia kuna ufanano ma story ya osiris. It seems hii ni mystical story ambayo imekuwa katika jamii mbalimbali.
Kusoma mambo mengi ni vizuri ila ukisoma mengi sana unajikuta unaanza kuquestion baadhi ya vitu.
Mimi napenda kusoma soma vitu. Nimesoma vitu kwenye Hinduism, Budhism pia Quran na imani za kale za wa Egypt.
Hivi unajua kuna wanaoamini kwamba Yesu alikuwa Lama, yani kiongozi wa Mabudha na ndio maana alipozaliwa wale watu waliokuwa wanafuata nyota kwenda kwake ni utaratibu wa Kibudha wa kufuata nyota kumtafuta the new lama.
Mwisho wa siku the world now is full of information, ni mtu mwenyewe kuzisoma na kuzichambua zipi zinafaa na zipi hazifai

Hakuna tatiz Yesu kuwa na cheo kingine kwingine,sisi hilo tunalitambua vyema,ila sifa zake ni zile zile.

Kumlinganisha na kiumbe mwingine urajikuta unachoka sana.
 
Hakuna tatiz Yesu kuwa na cheo kingine kwingine,sisi hilo tunalitambua vyema,ila sifa zake ni zile zile.

Kumlinganisha na kiumbe mwingine urajikuta unachoka sana.
Krishna kwenyé imani ya Kihundu ambayo ni ya kale zaidi amekuwepo miaka karibu 1000 kabla ya Yesu, same to osiris, born by a virgin woman, akiwa na wanafunzi wake mission kusave human kind
 
Ni hekaya sababu sio maelfu kama ulivyosema,na hakuna hata mmoja aliyeitwa yeshua aliyezaliwa na mariam kama ulivyodai.
Mkee Twende polepole na ningeomba uww na Religion Critic Torelace naona naona your patient rate inashuka samahani lakini mkuu tupo kwenye kuelimishna...

Ngoja Twende polepole...
Jina Miriam (Hebrew) au Mariam (Arabic version) au Mary (English version)

Ni jina lenye trace mpaka kwa nabii mke Miriam miaka 4000-3500 Iliyopita Limeitwa na wayahudi wengi sana..
So Mimi kusema kuna Yehoshua wengi sana waliozaliwa na Mama Aliyeitwa Miriam its mater of simple algorism tu...
Yehoshua (Hebrew) au yoshua (Kwa kiaramu) Halikuwa Jina Special sana miongoni mwa wayahudi na liliitwa saana Wakiwemo kina Yeshoshua Bin Nun, Yehoshua Bin sira na wengine wengi...

Kuhusu watu wenye ufanano Wa maisha na Ujumbe Walioleta wa kwanza kabisa me ningekutajia Krishna na yesu kabla ya kwenda kwahao wengine ....
Kitabu cha baghavad gita Kimekuwa kitabu cha mwaka 500Bc na kinaeleza exactly kama Ujumbe aliouleta Yesu wa aliyezaliwa 6 BC na kufafiki 27 AD..

Huu ni mfanano wa HORUS NA WENGINE NIKIWATJA KWENYE MYSTICISM ZINGINE ZA ZAMANI KULIKO YESU
images - 2023-10-31T122509.967.jpeg

images - 2023-10-31T122409.479.jpeg

images - 2023-10-31T122349.766.jpeg
 
Hakuna tatiz Yesu kuwa na cheo kingine kwingine,sisi hilo tunalitambua vyema,ila sifa zake ni zile zile.

Kumlinganisha na kiumbe mwingine urajikuta unachoka sana.
Story ya Yesu ni Ya AD story ya Krishna ni ya 500BC
 
Mtoa mada kakurupuka kumponda Yesu kwamba alikaa na watu waliopinda.

Angesoma Biblia kwa utulivu asingeanzisha huu uzi. Lakini kwa kuwa hamjui Yesu Kristo, na hajui alikuja kufanya nini duniani ndio kaleta uzi wa kitoto kabisa.

Mzee wa kupambania ubarikiwe sana kwa kumkumbusha mleta uzi ni nini kilichomleta Yesu Kristo duniani.
Amina 🙏
 
Mwanzoni ilikuwa na dhumuni kama la character ambaye kabeba ujumne na ipo wazi kabisa ,tatizo ni pale watoto walipokuwa na kuona picha inawekwa kweny nyumba zao na makanisaa hapo ndio balaa.
 
Hatushindani kwa hoja kwa Yesu..

Ila tunamshinda Shetani ...


Tukishamshinda shetani basi ufalme wa Mungu ni wetu..

Tumia nguvu za Roho Mtakatifu kusoma neno sio nguvu za elimu yako ya darasani...

Utasoma vitabu vyote, Ila Yesu hutamjua maana Yesu ni Roho..
Unampa makavu live,hana pa kutokea! Mhurumie na umuombee😀😀
 
Back
Top Bottom