Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Taswira ya Yesu anayehubiriwa ni tofauti na Yesu halisi

Umeuliza maana ya hori nimekujibu kwa Kiswahili maana yake na nimekupa link ya wikipedia dictionaty au unataka mpaka Niwaite BaKITA kina sigara
Labda aje kiranga ( Mr thibitisha) atanishinda kwa ubishi ila sigara haniwezi
 
Kwani mzee habari za UUMBAJi biblia ilizipataje wakati Musa ndo mwandishi wa kwanza wa biblia na amezaliwa miaka 3500 baada ya Uumbaji?
Moses hakuandika kitabu alipewa yoke yenye amri 10 ilio adikwa na alie mpa na hakumuona isitoshe hajui nani aliandika kama unabisha siku ukikutana nae haven muulize atakupa majibu marthawa.
 
Moses hakuandika kitabu alipewa yoke yenye amri 10 ilio adikwa na alie mpa na hakumuona isitoshe hajui nani aliandika kama unabisha siku ukikutana nae haven muulize atakupa majibu marthawa.
Amri kumi Nazijua vizuri vipi kuhusu Vitabu vitano vya Musa au na vyenyewe mkuu ni vya kufoji 😅
 
Ukisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.

Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.

Ndio maana kuna sehemu hadi anaulizwa, inakuaje anakula na kunywa na wenye dhambi? Hii bila shaka haina tofauti na sasa unamuuliza, we jamaa unaonekana ni mwenye ehshima inakuaje unashinda na wazinzi na walevi?

Hebu fikiria mtu unayemheshimu sana anakuja kahaba analia miguuni mwake anampangusa kwa nywele anambusu miguu, assume huyo jamaa anayefanyiwa hivyo ni hakimu na huyo kahaba ana kesi. Halafu baada ya kufanyiwa hivyo hakimu anamwambia kesi yako utashinda!

Bila shaka utasema hakimu kasema hayo kwa sababu kahaba kamtamanisha kwa kumshika shika na kumbusu miguu huenda watamalizana huko mebeleni. Hiki ndicho kilichotokea kwa yule kahaba na bila shaka wale jamaa walisema moyoni huyu jamaa amelegea kwa kahaba atakuwa msela tu anatuigizia.

Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masela au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.

Kama akirudi kwa style hiyo hiyo sijui ni wangapi wataamini kuwa ni Yesu.
Yesu alisema waniabuduo halisi wataniabudu katika roho na kweli. Sio picha, wala chochote. Kumbuka amri ya kwanza ya Mungu inasema,”Mimi ndimi Bwana Mungu wako, niliyekutoa kwenye nyumba ya utumwa, usiabudu miungu mingine, usifanye sanamu ya kuchonga wala mfano wa chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia maana mimi Bwana Mungu wako ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao.”
Yesu hakutangua hii amri hii popote. So hiyo picha ni batili.
 
Yesu alisema waniabuduo halisi wataniabudu katika roho na kweli. Sio picha, wala chochote. Kumbuka amri ya kwanza ya Mungu inasema,”Mimi ndimi Bwana Mungu wako, niliyekutoa kwenye nyumba ya utumwa, usiabudu miungu mingine, usifanye sanamu ya kuchonga wala mfano wa chochote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia maana mimi Bwana Mungu wako ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao.”
Yesu hakutangua hii amri hii popote. So hiyo picha ni batili.
Hoja hapa naongelea watu walichokuwa wanakiona kwa macho ya nyama hayo mengine mnayaleta nyinyi..
 
Kwamba alikuwa kama mtu aliyepinda halafu hapo hapo unamfananisha na mtu mwenye heshima zake anayeshangawa na wengine kwa kula na wenye dhambi!!!!embu nawa maji uso kwanza.


Kwa taarifa yako,Yesu alikuja kutengua dhana ya uyahudi kwamba Mungu ni wa sheria na masharti yasiyosameheka yakivunjwa,waliomuelewa walimuelewa kweli kweli,na waliompuuza walimchukulia kama mwenye kukufuru,mwenye kutengua kanuni za waheshimiwa makuhani na wafalme,ndio sababu ya pazia la hekalu kupasuka kati.

Alikuja kuwa jamaa wa usawa na haki kwa wote,masikini na matajiri,kwa vitendo na njia sahihi.
Ukilifuata kusudi la Mungu hasa ni kuokoa ulimwengu wote. Alimtoa Yesu kama mtoto wa kwanza kufufuka kama malimbuko wa ndugu wengi. Kupasuka kwa pazia la hekalu ni kutupa neema ya kuvuka na kukiendea kiti cha rehema. Mbele za Mungu kuna viti vingi. Kimojawapo ni kiti cha rehema. Hapo Mungu anakaa ili kutoa msamaha kwa wanadamu. Pia kuna kiti cha Enzi alipoketi Yesu mkono wa kuume na kuna kiti cha Hukumu alichokasimishwa Yesu ili kuhukumu ulimwengu. Basi sasa tunao ujasiri wa kupaingia Patakatifu kwa Damu ya Yesu ili tupewe neema na Rehema.
 
Tasbee, Rozali,Msalaba,Nyota na mwezi. Hivi vitu unawajua wenyewe?
Mimi nmeongelea lifestyle na kampani yake. Ndio hoja ya nilichoandika kwenye main thread. Mengine huku kwenye comment ni ziada tu.
 
Mimk nmeongelea lifestyle na kampani yake. Ndio hoja ya nilichoandika kwenye main thread. Mengine huku kwenye comment ni ziada tu.
Hao wakuu wate walio pita mf, Adam,Ibrah,Musa,Daud,YESU. Wakitokea Leo hakuna atakae amini kama hii Dunia ni ile au ni nyingine. Maendeleo hayana chama na wakati hausubiri mambo ya kale.
 
Yesu hakufufuwa yeyote kwa mujibu wa Qur'an na wala hakuna idadi ya wanafunzi iliyowekwa.

Qur'an siyo "bigraphy ya yeyote. Ukikuta visa (hadithi) za mitume (60 to 70 % ya Qur'an) vyote viba mafundisho fulani.

Waliotafsiri Qur'an kuwa Yesu "kafufuwa" wamefanya makosa ya kufata mafundisho ya biblia yenye mikono ya watu ndani yake (corrupted).

Mimi na challenge Waislam na Wakristo (yeyote) tuichambuwe Qur'an tuone wapi kafufuwa mtu. Mimi sijapaona hapo. Kwanza siamini kuwa kwenye Qur'an Yesu (Isa) katajwa kufanya muujiza wowote ule.

Hata kuzaliwa kwake Yesu Qur'an ipo wazi, hakuna muujiza, watafsiri wamechomekea kwa uvivu wa kuchambuwa.

Qur'an siyo kilinganisho cha biblia wala taurati. Qur'an ni ukweli mtupu usiyo na shaka ndani yake.

Twende kisomi.
Madam hapa,... umeenda wrong turn sasa
 
Hao wakuu wate walio pita mf, Adam,Ibrah,Musa,Daud,YESU. Wakitokea Leo hakuna atakae amini kama hii Dunia ni ile au ni nyingine. Maendeleo hayana chama na wakati hausubiri mambo ya kale.
Mkuu hivi nlichokiandika umekielewa kweli? Uwe na usku mwema kama uko kwenye GMT+3 time zone
 
Back
Top Bottom