Kwamba alikuwa kama mtu aliyepinda halafu hapo hapo unamfananisha na mtu mwenye heshima zake anayeshangawa na wengine kwa kula na wenye dhambi!!!!embu nawa maji uso kwanza.
Kwa taarifa yako,Yesu alikuja kutengua dhana ya uyahudi kwamba Mungu ni wa sheria na masharti yasiyosameheka yakivunjwa,waliomuelewa walimuelewa kweli kweli,na waliompuuza walimchukulia kama mwenye kukufuru,mwenye kutengua kanuni za waheshimiwa makuhani na wafalme,ndio sababu ya pazia la hekalu kupasuka kati.
Alikuja kuwa jamaa wa usawa na haki kwa wote,masikini na matajiri,kwa vitendo na njia sahihi.