Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Acha upumbavu jibu comment hiyo
 
Ameulizwa vp hizo nchi nyengine serikali zao zilizembea Kama mipaka wamefunga Kama lockdown ipo na wanakufa vp mwenzetu au unafikiria kwa kutumia 0713
 
Sasa wakifa kwani nani anadhulika? Hizi akili mi za watu kama wewe mkuu. Eti watu wakifa hauna hata huruma! Hooeless kabisa. Afe mama yako pia usiwe na huruma.
Msukule huo Hana hata ufahamu wa kujitambua mwenyewe hopeless kabisa
 
Naona wapumbavu mlivyo wengi humu alafu mnajiita great thinkers.

Umeoewa njia za kujikinga na huu ugonjwa hutaki kuzifuata then unalaumu serikali.

Na basi mtakufa sana mipaka haifungwi.

God save us
 
Naona wapumbavu mlivyo wengi humu alafu mnajiita great thinkers.

Umeoewa njia za kujikinga na huu ugonjwa hutaki kuzifuata then unalaumu serikali.

Na basi mtakufa sana mipaka haifungwi.

God save us
Ndio ujue misukule haina ufahamu ipo tu kulaumu tu na kulazimisha serikali iwagawie chakula Basi
 
Jamaa akiibuka kutoka mafichoni utasikia kwani ccm iliahidi kuleta corona?
 
Tahadhari gani unazungumzia bara wakati leo makanisani watu walijazana na tbc inarusha
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Huyu ngoma ikipamba moto ataturuka tu kuwa nilimwambia mfunge na kusali hamkusikia
 
WA KULAUMIWA WACHINA.
yaani vile vijamaa ningekuwa na uwezo ningewafuta kwenye uso wa dunia.
Yaani wewe kila kitu unakula popo,panya, mbwa,paka
Wewe binadamu gani?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
SIO KWELI..
na hyo lock down ni nyie wa mitandaoni ndo mnaopiga kelele.
Na hata mkiulizwa nyie mpo lockdown hamuwezi KUJIBU.
Kwasasa Wananchi waliowengi wamemchukia kiasi cha kutisha kwa kweli waliobaki wanampenda ni Mapolisi tu kwa sababu amekuwa akiwaongezea mishahara kila wanapowapiga na kuwadhalilisha Chadema ila Zitto hawamgusi

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Mfano haya masoko ya minada kwanini isifungwe kwa muda sababu haya masoko yanakusanya watu wengi sana.kwa mfano hapa kwetu muheza Mjini tanga Leo jumaa tatu ndio siku yetu ya soko.watu wanabanana kununua vitu .kwanini yasifungwe haya nakubakiza masoko ya kawaida haya ambalo kila duka kuna utaratibu mzuri wa kuweka maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimeota umepata Coronavirus dada! Kuwa makini sana kama inawezekana njoo tujilockdown na mimi ndiyo pona yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…