Na Idda NJAU MIJIZI HIII nawachukia sana hawa hatuFrank MUSHI. Jibu mmelipata.
Kwani wamenyimwa mshahara? Wamepewa mapumziko ya siku 10Naombeni sana, hao ndugu watatu wa TANESCO wanafamilia zinawategemea Hata kama wamekosea tuangalie pia upande wa pili
Umekomboka vipi.kudumu mrefu maana yake nini. ungesema haina kikomo.ya muda itakwisha tu na unaweza kununua siku mitambo imelala kama wakati huu. jiongezeNanunua luku ya kudumu muda mrefu.. sipendi nunua nunua ya kila mara.. nimekomboleka hapo..
Poleni..
Vipi kariakoo leo, majenereta yameanza kuvuma kama 2010-2015?
Badala waziri ujiuzulu unatafta wepesi kupitia watumishi wako
Navyoona Mimi amekurupuka kwa kuwasimamisha bila ya ku solve kwanza tatizo.Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amewasimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA na Huduma za Biashara wa TANESCO, Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Nja.
Ametaka watoe maelezo ya tatizo la mifumo ya LUKU, na kuagiza maelezo yao yasipojitosheleza waondolewe kazini.
==
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amemsimamisha kazi kwa siku kumi Meneja wa Tehama na huduma za biashara wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Njau, ili watoe maelezo kufuatia kuwepo kwa tatizo katika huduma ya manunuzi ya LUKU kupitia njia za Kielekroniki.
Dkt. Kalemani amewaambia Waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kuwa, endapo maelezo yao hayatajitosheleza Watumishi hao waondolewe kazini.
Kwa muda wa takribani siku tatu, wateja wa TANESCO wameshindwa kununua umeme wa LUKU kwa njia.ya Kielekroniki, na hivyo kulilazimu shirika hilo kuwaelekeza Wateja wake kununua umeme kwenye ofisi zake za mikoa na wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Uliowataja hao ni wasukuma under Sukuma Gang Empire!!Tangu tupate Uhuru sijawahi kusikia mtumishi anasimamishwa kaxi kwa siku 10. Sheria unasemaje? Medard kalemani na doto biteko mtamsumbua huyu mama sana.
Kwa nini waziri anafanya kazi ya Mtendaji Mkuu? Anasimamishaje watu kabla ya kufanya uchunguzi? Na wakishindwa kurudisha katika muda aliotoa atawafanya nini? Au wakirudisha lakini wakasababisha madhara mengine atakubali kuwajibika?Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amewasimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA na Huduma za Biashara wa TANESCO, Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Nja.
Ametaka watoe maelezo ya tatizo la mifumo ya LUKU, na kuagiza maelezo yao yasipojitosheleza waondolewe kazini.
==
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amemsimamisha kazi kwa siku kumi Meneja wa Tehama na huduma za biashara wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Njau, ili watoe maelezo kufuatia kuwepo kwa tatizo katika huduma ya manunuzi ya LUKU kupitia njia za Kielekroniki.
Dkt. Kalemani amewaambia Waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kuwa, endapo maelezo yao hayatajitosheleza Watumishi hao waondolewe kazini.
Kwa muda wa takribani siku tatu, wateja wa TANESCO wameshindwa kununua umeme wa LUKU kwa njia.ya Kielekroniki, na hivyo kulilazimu shirika hilo kuwaelekeza Wateja wake kununua umeme kwenye ofisi zake za mikoa na wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Ina maana hata wa vijijini waende ofisi za wilayani? Hii nchi hii!!
Hii hata mimi sijawahi kuisikia mtu anahusishwa na hujuma anasimamishwa siku 10?hapa kuna namna mama anatakiwa afanye anazidiwa kete hapa ahtuke mapema usalama wa taifa tunawategemea sana kwa sanaKusimamishwa kazi siku 10 maana yake nini?
Mshahara wake utakatwa hizo siku ambazo hajafanya kazi au inakuaje? Ni kama vile kapewa mapumziko
Sasa hivi watu wanajiamini.Waziri wa Nishati, Medard Kalemani amewasimamisha kazi kwa siku 10 Meneja wa TEHAMA na Huduma za Biashara wa TANESCO, Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Nja.
Ametaka watoe maelezo ya tatizo la mifumo ya LUKU, na kuagiza maelezo yao yasipojitosheleza waondolewe kazini.
==
Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amemsimamisha kazi kwa siku kumi Meneja wa Tehama na huduma za biashara wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Lonus Feruzi na wasaidizi wake Frank Mushi na Idda Njau, ili watoe maelezo kufuatia kuwepo kwa tatizo katika huduma ya manunuzi ya LUKU kupitia njia za Kielekroniki.
Dkt. Kalemani amewaambia Waandishi wa habari mkoani Dar es salaam kuwa, endapo maelezo yao hayatajitosheleza Watumishi hao waondolewe kazini.
Kwa muda wa takribani siku tatu, wateja wa TANESCO wameshindwa kununua umeme wa LUKU kwa njia.ya Kielekroniki, na hivyo kulilazimu shirika hilo kuwaelekeza Wateja wake kununua umeme kwenye ofisi zake za mikoa na wilaya katika maeneo mbalimbali nchini.
Unataka kusemaje labdaYaani muda wote JPM yupo hakukua na haya mambo...
Saa nane tayari... Waziri unasemaje ? Amri yako haijatekelezwa ....!!!Jamaa kaamua ku take action kabla hakashughulikiwa na mama[emoji28][emoji28]
Simple tutamkumbuka.....Unataka kusemaje labda
πππSimple tutamkumbuka.....
tupo gizani saa hii...
Hakuna uzembe hapo....ina maana hawakuwa na backup kweli ni uzembe wa juu kabisa