Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri michango hii ni yahiari,kwa wale wenye moyo na wapenda haki.Hii hoja naunga mkono, akili zitumike kuwasimamia wale wanaochangisha michango ya aina hii, namba za simu zisiwe zao private na michango yote lazima ipite kwa Katibu Mkuu.
Kwahiyo kama ni hiyari ndio taarifa za kilichopatikana kilicho tumika na kilichobaki iwe ni siri?.Uzuri michango hii ni yahiari,kwa wale wenye moyo na wapenda haki.
Mimi nilichanga ili waliokuwa mahabusu/jela watoke na wametoka sihitaji kujua zilizozidi zimefanyia nini maadam lengo la kuchanga limetimia.Kwahiyo kama ni hiyari ndio taarifa za kilichopatikana kilicho tumika na kilichobaki iwe ni siri?.
Sisitiza uwazi mkuu ilikudhibiti upigaji,kunasiku watu wakigundua wenyewe kama kuna upigaji alafu viongizi wakitoa ufafanuzi itakuwa too late. Likitokea bakuli jingine tutaliangaliatu.
Kwanini huitajikujua zilizobakizilipo, huoni kama zikijulikana nikiasigani zinaweza kusaidia wengine sikuambayo wewe huna.Mimi nilichanga ili waliokuwa mahabusu/jela watoke na wametoka sihitaji kujua zilizozidi zimefanyia nini maadam lengo la kuchanga limetimia.
tuliochanga tumeridhika na matumizi, sasa nyie ambao hamjachanga kelele za nini?Kwanini huitajikujua zilizobakizilipo, huoni kama zikijulikana nikiasigani zinaweza kusaidia wengine sikuambayo wewe huna.
Huoni haja zilizobaki zibaki kama akiba ya baadae, wewe nimfanyakazi,mfanya biadhara ama kipatochako unapataje kiasichakutotaka kujua mahesabu ya jinsi pesa zinavyotumika.
Hizoesabu nilazima zijulikane mkuu labda kama upokwa shemejiyako ndio hutaona haja ya kujua mapato matumizi na ballance.
Watu wamechanga ndio mana wanauliza jinsi zinavyotumika. Kumbuka wajinga ndio wanaoliwa.tuliochanga tumeridhika na matumizi, sasa nyie ambao hamjachanga kelele za nini?
waliochanga hawaulizi, mnaouliza ni vijana wa Lumumba7Watu wamechanga ndio mana wanauliza jinsi zinavyotumika. Kumbuka wajinga ndio wanaoliwa.
Unabahati hiyo avatar imekuokoa ninge kufyatua neno ungejikuta katikati ya vyura utopoz wa kijani, maana leo ndio sikuyenyewe.waliochanga hawaulizi, mnaouliza ni vijana wa Lumumba7
Kiutaratibu taasisi kubwa yoyote lazima iweke mahesabu ya mapato na matumizi na lazima hayo mahesabu yakaguliwe haijulish hiyo pesa ni ya kutembeza bakuli au ya fee na lengo LA haya yote ili kuondoa ukakas ktk taasis husikawaliochanga hawaulizi, mnaouliza ni vijana wa Lumumba7
Nilimuona kiongozi mmoja wa chama chetu anaitwa Mwaipaya alichangisha pesa kujenga ofisi huko Njombe lakini pesa zilipitia kwenye akaunti yake ya M pesa na Tigo pesa hii ni janjajanja.
John Pambalu alipochangisha pesa kumtoa lupango yule mwandishi vitabu vya kijasusi anayeitwa Yeriko alitumia akaunti yake binafsi ya M pesa na Tigo pesa na hata hakusema kiasi kilichozidi.
Hiii janjajanja ya kutafuna michango kupitia Chadema imezidi sana. Tuache mara moja.
Wewe usilete habari za kitembere hapaUnabahati hiyo avatar imekuokoa ninge kufyatua neno ungejikuta katikati ya vyura utopoz wa kijani, maana leo ndio sikuyenyewe.
Hao mnao waita buku7 ndio wanawaokoa nyie bilakujua sasa msigwa lazima ataleta mrejesho kiasigani kinatakiwa na zikizidi atatolea ufafanuzi zinakwenda wapi sio kutembeza bakuli tu bila maelezo.
Wakati tunatembeza bakuli mlikuwa mnatuzodoa kuwa hatutapata kitu, baada ya kuona jinsi tulivyofanikisha zoezi letu tayari mmeshaanza kunyanyua midomo.Kiutaratibu taasisi kubwa yoyote lazima iweke mahesabu ya mapato na matumizi na lazima hayo mahesabu yakaguliwe haijulish hiyo pesa ni ya kutembeza bakuli au ya fee na lengo LA haya yote ili kuondoa ukakas ktk taasis husika
We jitoe akilitu.Wewe usilete habari za kitembere hapa
CHADEMA ni chama ambacho kinajitanabaisha km chama kinachojiendesha kidemokrasia,na ktk demokrasia Uhuru wa kujieleza na kusikilizwa ni miongon mwa nguzo zake sasa inashangaza miongon mwetu tunaleteana kebeh linapokuja swala LA kujieleza.Wakati tunatembeza bakuli mlikuwa mnatuzodoa kuwa hatutapata kitu, baada ya kuona jinsi tulivyofanikisha zoezi letu tayari mmeshaanza kunyanyua midomo.
Wewe sio mwanachadema, na haujachanga, sasa kwanini unataka kulazimisha upewe taarifa ya michango?CHADEMA ni chama ambacho kinajitanabaisha km chama kinachojiendesha kidemokrasia,na ktk demokrasia Uhuru wa kujieleza na kusikilizwa ni miongon mwa nguzo zake sasa inashangaza miongon mwetu tunaleteana kebeh linapokuja swala LA kujieleza.