mnaoulizia ni nyie ambao hamkuchanga na mlikuwa mnatuzodoa kuwa hatutafanikiwa kukamilisha michangoWe jitoe akilitu.
Juzi hapa mmeonyeshwa jinsi mzee wa Miga anavyo tifua minyamachoma pembeni ya beberu, nyie mnakula marage 7dys kila wiki alafu utasikia mnaambiwa mumchangie nauli arudi nyumbani, mambo kamahayo ndio watu wanaulizia chenchi zao ilizitumike.
Kwa nin unaamin kuwa mm si mwanachadema na sijachanga!!!???Wewe sio mwanachadema, na haujachanga, sasa kwanini unataka kulazimisha upewe taarifa ya michango?
Wachawi wataonagere na kuanza vile vitimbi vya kipindi kifupi kilicho pita.Zaidi mlijua kupora zile nafasi za kupata ruzuku ndio kifo kwa wale msiowapenda, shida ni kuwa mawazo mandala ni imani ndani ya mioyo ya watu.Kwahiyo kama ni hiyari ndio taarifa za kilichopatikana kilicho tumika na kilichobaki iwe ni siri?.
Sisitiza uwazi mkuu ilikudhibiti upigaji,kunasiku watu wakigundua wenyewe kama kuna upigaji alafu viongizi wakitoa ufafanuzi itakuwa too late. Likitokea bakuli jingine tutaliangaliatu.
kwa kuwa hu mwanachadema na hujachanga.Kwa nin unaamin kuwa mm si mwanachadema na sijachanga!!!???
Shida ni kuwa mamluki wengi na hasa wasiopenda mawazo mbadala ,uhuru ,haki na maendeleo ya kweli kwa taiga letu.CHADEMA ni chama ambacho kinajitanabaisha km chama kinachojiendesha kidemokrasia,na ktk demokrasia Uhuru wa kujieleza na kusikilizwa ni miongon mwa nguzo zake sasa inashangaza miongon mwetu tunaleteana kebeh linapokuja swala LA kujieleza.
Ngoja nikuache labda upo kazinkwa kuwa hu mwanachadema na hujachanga.
KweliShida ni kuwa mamluki wengi na hasa wasiopenda mawazo mbadala ,uhuru ,haki na maendeleo ya kweli kwa taiga letu.
mimi sio mzururaji kama wewe ni kweli nipo kaziniNgoja nikuache labda upo kazin
Nifanyie mpango na mim nipate kazi Mnamamimi sio mzururaji kama wewe ni kweli nipo kazini
Kuwa ya hiari ndio muitafune.Uzuri michango hii ni yahiari,kwa wale wenye moyo na wapenda haki.
Kwani mlivyo pora ule mfumo halali wa kupata ruzuku,mlifikiria ndio mnawakwamisha,wenyewe Wana akili na wameamua kuja kivingine na mipango inaendelea.kama unaona wivu jinyonge.Kuwa ya hiari ndio muitafune.