Tatizo la kurudiwa kutangazwa kwa nafasi za kazi za Assistant Lecturers

Tatizo la kurudiwa kutangazwa kwa nafasi za kazi za Assistant Lecturers

Waache kuweka vigezo vya GPA kuna watu wana GPA ndogo na wako na talent ya kufundisha na wanasahau chuo watu wanafaulu kwa mengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂😂Sema GPA zina mambo mengi sana aseeh nikikumbuka Kuna mademu hawakusubmit hata report za prac lakini waligonga A shenzi kabisa😂
 
😂😂😂😂😂😂Sema GPA zina mambo mengi sana aseeh nikikumbuka Kuna mademu hawakusubmit hata report za prac lakini waligonga A shenzi kabisa😂
Degree za UDSM, SUA, zinatafutwa huko kwingine sijui
 
Nadhani lengo la usaili ni pamoja na yafuatayo:-

1. Kutenda haki ya uwazi na usawa (fairness and openness). Ukipigiwa simu watu watasema "ujomba ujomba" umetumika.

2. Kuchuja baina ya wengi (kama mko wengi mnaokidhi vigezo) ili kumpata aliye bora zaidi kwa ajili ya kazi husika.

3. Kujiridhisha juu ya uwezo wako wa kufundisha, kuelewesha, kulimudu darasa pamoja na kiwango chako cha kujiamini. Hivi ni vitu muhimu sana katika mkufunzi/mhadhiri lakini huwezi kuvitambua kwa kutumia ufaulu wa kwenye cheti (GPA).
Kweny point ya 4 ,,kuandaa presentation yako ,kupima ufundishaji wako ,kumanage darasan ..SASA USAHILI WA UTUMISHI WANAMARK UANDAJI WA PRESENTATION, PRESENTATION and Q&A ili uapate 70% za UFAULU ....UNAPITIA UWASILISHAJI WA MADA (PRESENTATION) ZEN Q & A FROM UR PRESENTATION WANAPIMA NN HAPA AU KUANGALIA UWEZO WAKO KUIDEFEND PRESENTATION YAKO ..KAMA VILE TUKIWA CHUO WAKT UPRESENT RESEARCH YAKO BAADA YA KUPRESENT PANEL INAKUKANDA MASWALI KUONA UMEFANYA HII RESEARCH YAKO WW AU UMEPIKA AU UMEFANYIWA KUJILIDHISHA NA MAJIBU YAKO KUIDEFEND RESEARCH YAKO

Maana unaweza kupresent vzr ukashindwa KUIDEFEND presentation yako , kweny Q&A kukapunguzia marks za UFAULU
..mfno unapresent kweny usahili WA lecture utajuaje kuhandale darasa wakt unapresent..NAOMBA NISAIDIWE HAPA
 
Nadhani lengo la usaili ni pamoja na yafuatayo:-

1. Kutenda haki ya uwazi na usawa (fairness and openness). Ukipigiwa simu watu watasema "ujomba ujomba" umetumika.

2. Kuchuja baina ya wengi (kama mko wengi mnaokidhi vigezo) ili kumpata aliye bora zaidi kwa ajili ya kazi husika.

3. Kujiridhisha juu ya uwezo wako wa kufundisha, kuelewesha, kulimudu darasa pamoja na kiwango chako cha kujiamini. Hivi ni vitu muhimu sana katika mkufunzi/mhadhiri lakini huwezi kuvitambua kwa kutumia ufaulu wa kwenye cheti (GPA).
Halaf kweny presentation unatakiwa kuprisent ka unapresent research au unafundisha kabisa KUNA TOFAUTI YA PRESENTATION NA TEACHING DEMONSTRATION???
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema GPA zina mambo mengi sana aseeh nikikumbuka Kuna mademu hawakusubmit hata report za prac lakini waligonga A shenzi kabisa[emoji23]
Wao wanaprac zao special wanazozitolea jasho kama wewe ulivyoitolea jasho kuiandaa hadi kuiwasilisha
 
Tuajiri wageni ? Hapana.
Vyuo viajiri wakufunzi wasaidizi (tutorial assistants) hawa wapo wengi sana, na wawaendeleze wao wenyewe kielimu ili kuwapata hao wahadhiri wa ngazi za juu. Wasitegemee kuokota mtaani masters na PhD zinazozagaa.
Hakika. Na vyuo vya Tanzania kwa bahati mbaya sana havifanyi hivi siku hizi.
Ilhali, professors wengi waliopo kwenye vyuo TZ waliajiriwa kama TAs, wakawa groomed kuwa walivyo leo.
 
Hakika. Na vyuo vya Tanzania kwa bahati mbaya sana havifanyi hivi siku hizi.
Ilhali, professors wengi waliopo kwenye vyuo TZ waliajiriwa kama TAs, wakawa groomed kuwa walivyo leo.
Professional hizo mbwembwe tu, kaulize hao viongozi wakubwa kama wanahizo professional, tufanye kazi kwa bidii tu.
 
Ukweli ni kwamba wengi wanatamba ni wasomi na wahitimu wazuri, kiundani ni wasomi hewa na hawana ufaulu mzuri... hawajafikia kigezo au kiwango, mbali na hiyo hata kujielezea mwenyewe hajui! Kusimama mbele ya hadhira na kuzungumza hata kwa takribani dakika 20 ni shughuli pevu! Itoshe kusema walio wengi ni wasomi hewa! Vijana wengi ni wajinga wajinga tu!
 
Vigezo vinavyozidi kwenda juu, kupata watu inazidi kuwa ngumu. Watu wenye hizo elimu unakuta tayari wako established sehemu, na mishahara mikono! Are they ready to compete?
 
Back
Top Bottom