Asee kuna saili moja nilipiga ilihitaji GPA ya 3.8 ila bahati mbaya nilikosa ilihitaji mtu mmoja tu na oral tuliingia watatu wakatuambia eti tupo reserve maana kuna institute zilitangaza kazi kwa kada hiyo hiyo lakini GPA ya 3.5 wakasema tuwe tunafatilia placement vizuri zinapokuwa zinatoka za hizo institute mbili je hapo wakuu kuna ukweli au kutiana moyo tu nawasilishaHuyo jamaa nazni alikuwa anaongelea TA wa Institutes ambao wanataka minimum GPA 3.5 ILA kwa vyuo vikuu minimum ni 3.8 GPA
@Mwanamaji Bro samahani hvi kweny presentation za TA kuna weza kuwa na tricks za kuchezewa na panel kaungalia jinsi ya kumiliki darasa ....Naomba nikujibu kuhusu kulimudu darasa. Class handling.
Nitaanzia mbali kidogo.
Wanapomtafuta mtu wa kufundisha, wanaangalia mambo mengi. Wanaangalia contents (je, vitu kichwani vimo), wanaangalia uwezo na maarifa ya kuvifikisha (hivyo vitu) kwa wengine pamoja na mbinu zingine za kiufundishaji (pedagogical skills).
Hayo wanaweza kuya assess kupitia namna unavyofundisha au kwa kupitia aina fulani ya maswali ambayo watakuuliza. (Kumbuka kuna maswali yanayohusiana na ulichofundisha ili ku assess kama una contents, na maswali mengine ambayo yana assess mambo mengine).
Turudi kwenye swali lako. Kulimudu darasa.
Kwa kifupi, kulimudu darasa ni mjumuisho wa mambo yote yatakayofanyika ili kulifanya darasa liwe katika mazingira mazuri ya wanafunzi kujifunza. Hii inajumuisha utulivu, utaratibu, n.k.
Msimamizi mkuu wa haya (wakati wa ufundishaji) ni mwalimu.
Namna ambayo wanaweza kuitumia ku assess uwezo wako wa kulimudu darasa.
Zipo njia nyingi, ila miongoni mwao ni;-
Kama unafundisha kwa sauti ndogo. Wao watajiuliza sasa huyu mtu atawezaje kulimudu darasa zima kwa hiki kisauti kidogo namna hii. Ni lazima usikike ili darasa lijue ni nini unafundisha.
Unaweza kuulizwa, je, wewe kama mwalimu na upo darasani unafundisha, wakati huo nusu ya wanafunzi wako wanachezea simu zao. Utafanya nini ?
Yapo mambo mengi, naishia hapo nikiamini angalau umepata idea juu ya hoja yako.
Sawa nmeelewa kakaNazani kanzidata ipo ,,ikitokea umekosa NAFASI ya kuwa TA ,,lkn si unataakuma fulan unaweza tokea NAFASI inataka taaluma yako ,na Upo kweny kanzidata ulifanya vzr si unaweza pata NAFASI ,,lkn mfn ulifanya vzr lkn nafasi Zilikuwa chache akapata mwingine,,ikitokea wanataka kuongeza mtu ndani ya miezi 6 na ww Upo si watakuchukua Ahmet
Ofcourse unabidi uonyeshe kivipi unaweza kuteach, kwaiyo unaweza kuwauliza kama wameelewa, ukawataka waulize swali n.k.@Ahmet tusaidie uzoefu wa presentation za TA katka kumiliki darasa ..kwa mtazamo wako Nia ni kujifunza na kuwasaidia wengne
Umeshawahi kufundisha olevo au advance Kaka??hivyo ndivyo inavyotakiwaSasa mwanangu Mwifwa panel itakupimaje uwezo wako wa kumiliki darasa ( class management) au wakt unapresent utajuaje Kama hapa unaonesha uwezo wa kulimiliki darasa ,,au ndio kuangalia vimitego wanakuwekea panel au hakunaga vimitego kweny presentation Nini? mfn. Wanaongea panel au hawako serious kukusikiliza WANAFANYA yao labda kulala au kuchezea simu ? Kwa hyo utatakiwa kuwanyamazisha Kama wanaongea au utawaacha ??? Au WANAFANYA mambo zao hutawastopisha au utaendelea na pindi lako?
Tusaidiane maoni Mwifwa na tuulizie kwa wengne
Nmekusoma bro ,,miezi mingap now tunasubria placement??...lkn hicho hcho kidogo kinaweza kutoa mwanga kwa mtu ukamsaidia kkOfcourse unabidi uonyeshe kivipi unaweza kuteach, kwaiyo unaweza kuwauliza kama wameelewa, ukawataka waulize swali n.k.
Shida kubwa inayofanya ushindwe kufanya hivyo ni muda, mara nyingi hutoa dakika Tano Hadi kumi kupresent, Sasa utaangalia ufanyaje kati ya kulecture au kudiscuss na panelist
Siwezi kutumia oral yangu kama reference Kwasababu bado sijapata placement. Kama nitafaulu na kupata kazi basi nitaweka uzi kabisa juu ya nilichokifanya kuanzia kuomba kazi mpka kupangiwa kituo Cha kazi[emoji23][emoji23]
Mwezi wa pili huuNmekusoma bro ,,miezi mingap now tunasubria placement??...lkn hicho hcho kidogo kinaweza kutoa mwanga kwa mtu ukamsaidia kk
Subiri mwezi ujaoMwezi wa pili huu
Sijawahi kufundisha kk wizy ,,Maana nakumbuka wakt Niko collage kuna Dr. Mmoja hv alikuwa mtata sana yy alikuwa akilecture ,anakuambia mie sio mwalimu kufundisha kuelewa mie ni lecture na kukupiga lecture ya mwanga zaidi usome ,, ilikuwa sio poaUmeshawahi kufundisha olevo au advance Kaka??hivyo ndivyo inavyotakiwa
Ulifanya wa mwzi wa 10 au 9 kkMwezi wa pili huu
Unapofundisha pale inatakiwa umsome yule panelist wako maana huwezi kuendelea kufundisha wakati mtu akiendelea na mambo yake kwahiyo kumanage darasa ni muhimu sana na utoe sauti yakusikika hio itaonesha unajiamini na kile unachokifundishaSijawahi kufundisha kk wizy ,,Maana nakumbuka wakt Niko collage kuna Dr. Mmoja hv alikuwa mtata sana yy alikuwa akilecture ,anakuambia mie sio mwalimu kufundisha kuelewa mie ni lecture na kukupiga lecture ya mwanga zaidi usome ,, ilikuwa sio poa
Kwa hyo kuna mitego wanaweza kuchezea kukupima kumanage darasa ,mfn kuongea wenyw waone utachukua hatua gaan wizyUnapofundisha pale inatakiwa umsome yule panelist wako maana huwezi kuendelea kufundisha wakati mtu akiendelea na mambo yake kwahiyo kumanage darasa ni muhimu sana na utoe sauti yakusikika hio itaonesha unajiamini na kile unachokifundisha
Ndio mitego ipo mzee inategemeana wanataka kuaccess nini siku hiyoKwa hyo kuna mitego wanaweza kuchezea kukupima kumanage darasa ,mfn kuongea wenyw waone utachukua hatua gaan wizy
Kama mtakuwa wengi Wana acess content pekeakeHawanaga mitego hao wanakusikiliza tu then wanaweka marks zao hawana mda huo wa kupoteza
Mara nyingi wanakupima kwenye maswali kama Kuna kitu hukueleza kiundani lazima wanakinote afu wanakuuliza swali hapo ili wajue unakijua au umeunga ungawizy ulichonacho kichwani kweny presentation na Q&A kupima understanding yako sio
Ok ok wizy nami nakumbuka kweny oral yangu nilikuaga nmeandaa aspects/characteristics za topic yangu moja hv ,,sijui hawakuzielewa ,,Maana swali la pili nilipigwa give 5 aspects of ..nikawarudishie zile zile nilizo ziandaa uku nazielezea ,,,swali la Tatu nikapigwa Explain 5 characteristics of .. yaani zile zile characteristics/aspects natakiwa nizieleze moja moja ... jobless nilijitahidi kufunguka kwa maelezo ilinioneshe unaa najua vitu ,,mpka point moja unaelezea mpka wakandaji wananiambia unaelezea sana [emoji3][emoji3][emoji3] ,, aisee sio poaMara nyingi wanakupima kwenye maswali kama Kuna kitu hukueleza kiundani lazima wanakinote afu wanakuuliza swali hapo ili wajue unakijua au umeunga unga
๐๐๐๐๐Jiandae kuchukua barua mwezi ujaoOk ok wizy nami nakumbuka kweny oral yangu nilikuaga nmeandaa aspects/characteristics za topic yangu moja hv ,,sijui hawakuzielewa ,,Maana swali la pili nilipigwa give 5 aspects of ..nikawarudishie zile zile nilizo ziandaa uku nazielezea ,,,swali la Tatu nikapigwa Explain 5 characteristics of .. yaani zile zile characteristics/aspects natakiwa nizieleze moja moja ... jobless nilijitahidi kufunguka kwa maelezo ilinioneshe unaa najua vitu ,,mpka point moja unaelezea mpka wakandaji wananiambia unaelezea sana [emoji3][emoji3][emoji3] ,, aisee sio poa