Sio rahisi kihvyo kwa wakandaji wizy mpka tuone mkeka ...nami niseme Kama Ahmet " siku nikitoboa kwenye placement na ntakuja kuwaeleza mwanzo mwenga , kweny usahili na kuwapa experience ya nguvu".[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiandae kuchukua barua mwezi ujao
Ss meck pro mfno ww una present/una teach zen unamwona mwanafunzi wako anachezea simu? Au kalala kabisa Utaacha tu vp ? Assume panel ni students wako kwa wakt huo wa kuprisentHawanaga mitego hao wanakusikiliza tu then wanaweka marks zao hawana mda huo wa kupoteza
Kwan chuo hakuna wanafunzi walikua wanalala na jamaaa yupo hapo mbele na anawaona kabisa π€£π€£π€£π€£Ss meck pro mfno ww una present/una teach zen unamwona mwanafunzi wako anachezea simu? Au kalala kabisa Utaacha tu vp ? Assume panel ni students wako kwa wakt huo wa kuprisent
"Have you understand?"!!!!Kweli muda ni changamoto kwa kweli ,,au inafika kipindi unafundisha kwa kusoma nondo zako ulizoziandaa kwa ajili ya kufanya time management tu...
Mfno ukiwauliza panel have u understand,any doubt in meaning? Wakawa buyu au kimya kukujibu vp hapo utaisi wamekuelewa/ hawajakuelewa Ahmet
Kufaulu kwenye makaratasi sio kipimo cha kwamba mtu yuko smart, kuna maboya kibao tuu na GPA kali na hamna kitu.πππππWe jamaa umemaliza comment. Ila kwasasa kuna masters zipo mtaani wengine hawapendi usumbufu wa kuhojiwa wakati walishafaulu. Hivi mtu ana GPA ya 4.5 na 4.4 unaanza kumhoji wa nini. Na amesoma kwenye chuo chako. Hapo ni kumwita na kuanza kufanya kazi.
GPA ndio kipimo cha uelewa wa mtu na no excuse. πππππWw sema una GPA ndogo ndio mpaka unaumia. Ndio ilishatoka hiyo boss.Kufaulu kwenye makaratasi sio kipimo cha kwamba mtu yuko smart, kuna maboya kibao tuu na GPA kali na hamna kitu.
Amnaa me siwezi kujinad hata taaluma angu hapa, ilaa mkuu km una GPA kali kapigwe oral watu wapime oblangata hiyoGPA ndio kipimo cha uelewa wa mtu na no excuse. πππππWw sema una GPA ndio mpaka unaumia. Ndio ilishatoka hiyo boss.
Hivi kati ya mwenye GPA kubwa na ndogo yupi ataweza kuendelea na PhD au masters na kufaulu vizuri. .ππAmnaa me siwezi kujinad hata taaluma angu hapa, ilaa mkuu km una GPA kali kapigwe oral watu wapime oblangata hiyo
Mimi sina GPA kali tu. Nimeongoza toka chekechea hadi chuo kikuu boss. πππππSasa nipo na biashara nahitaji kupenya kama Elon Musk.Amnaa me siwezi kujinad hata taaluma angu hapa, ilaa mkuu km una GPA kali kapigwe oral watu wapime oblangata hiyo
Tunazungumziaa kipimo cha mtu uelewa sio ukubwa wa GPA, hatujaongeleaa nan mwenye fursa ya kuendelea na masomo. Af mkuu bado unateseka ww na ajira sema hujakua muwazπHivi kati ya mwenye GPA kubwa na ndogo yupi ataweza kuendelea na PhD au masters na kufaulu vizuri. .ππ
Nilishafanya kazi boss nikaacha. Saivi nateseka kuwaajiri wenzangu. ππTunazungumziaa kipimo cha mtu uelewa sio ukubwa wa GPA, hatujaongeleaa nan mwenye fursa ya kuendelea na masomo. Af mkuu bado unateseka ww na ajira sema hujakua muwazπ
Hizo porojo kawapige wadogo zako nyumbani kiongozMimi sina GPA kali tu. Nimeongoza toka chekechea hadi chuo kikuu boss. πππππSasa nipo na biashara nahitaji kupenya kama Elon Musk.
ππππSasa unadhani natania boss. Lkn kuongoza darasani haina maana kama unashindwa kuongoza mtaani. Kwasasa natafuta kuongoza mtaani boss. Hicho ndio kitu pekee kinaweza kuonyesha umesoma kwa kutatua matatizo ya jamii..Hizo porojo kawapige wadogo zako nyumbani kiongoz
Kidogo umeanza kufunguka mapambano ya mtaa hapo shikiliaa hapo sasaπ€£ππππSasa unadhani natania boss. Lkn kuongoza darasani haina maana kama unashindwa kuongoza mtaani. Kwasasa natafuta kuongoza mtaani boss. Hicho ndio kitu pekee kinaweza kuonyesha umesoma kwa kutatua matatizo ya jamii..
ππππBoss huwezi badilisha ukweli plus kama kuna kozi huwa wanafanya mapractical basi ni BSc Physics πππ.Kozi za afya sio wanazoa zoa tu ...wakiwa vyuoni kule wanafanya kazi za VITENDO Kwa sana na wengine Hadi mitihani ya oral jinsi ya kutibu mgonjwa ...pia wengine ambao sio ma Dr wana pitia kufanya mitihani ya leseni so ukisema KWENYE wana zoa zoa tu UNAKUWA kama UNADHARAU fani za watu maana mtu WA afya wa diploma ni sawa time yake chuoni na mtu wa degree plus leseni .....wa degree ndio MIAKA.mitano.hadi sita plus leseni so usiseme.wanazoa zoa mtoa MADA
Zile prack za pendulum au...ππππBoss huwezi badilisha ukweli plus kama kuna kozi huwa wanafanya mapractical basi ni BSc Physics πππ.
Graduate anashindwa kutengeneza ajira yake mwenyewe. πππNi aibu sanaKidogo umeanza kufunguka mapambano ya mtaa hapo shikiliaa hapo sasaπ€£