Tatizo la kurudiwa kutangazwa kwa nafasi za kazi za Assistant Lecturers

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiandae kuchukua barua mwezi ujao
Sio rahisi kihvyo kwa wakandaji wizy mpka tuone mkeka ...nami niseme Kama Ahmet " siku nikitoboa kwenye placement na ntakuja kuwaeleza mwanzo mwenga , kweny usahili na kuwapa experience ya nguvu".

Mungu atusaidie kwakweli
 
Hawanaga mitego hao wanakusikiliza tu then wanaweka marks zao hawana mda huo wa kupoteza
Ss meck pro mfno ww una present/una teach zen unamwona mwanafunzi wako anachezea simu? Au kalala kabisa Utaacha tu vp ? Assume panel ni students wako kwa wakt huo wa kuprisent
 
Ss meck pro mfno ww una present/una teach zen unamwona mwanafunzi wako anachezea simu? Au kalala kabisa Utaacha tu vp ? Assume panel ni students wako kwa wakt huo wa kuprisent
Kwan chuo hakuna wanafunzi walikua wanalala na jamaaa yupo hapo mbele na anawaona kabisa 🀣🀣🀣🀣

Oyaaaa hapa jiongeze kama vip akilala mtoe njee tu mkuu
 
"Have you understand?"!!!!
[emoji115]
Kwa Kiingereza hicho hapo ushakosa job tayari hapo.
 
Kufaulu kwenye makaratasi sio kipimo cha kwamba mtu yuko smart, kuna maboya kibao tuu na GPA kali na hamna kitu.
 
Amnaa me siwezi kujinad hata taaluma angu hapa, ilaa mkuu km una GPA kali kapigwe oral watu wapime oblangata hiyo
Hivi kati ya mwenye GPA kubwa na ndogo yupi ataweza kuendelea na PhD au masters na kufaulu vizuri. .πŸ˜€πŸ˜€
 
Amnaa me siwezi kujinad hata taaluma angu hapa, ilaa mkuu km una GPA kali kapigwe oral watu wapime oblangata hiyo
Mimi sina GPA kali tu. Nimeongoza toka chekechea hadi chuo kikuu boss. πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Sasa nipo na biashara nahitaji kupenya kama Elon Musk.
 
Hivi kati ya mwenye GPA kubwa na ndogo yupi ataweza kuendelea na PhD au masters na kufaulu vizuri. .πŸ˜€πŸ˜€
Tunazungumziaa kipimo cha mtu uelewa sio ukubwa wa GPA, hatujaongeleaa nan mwenye fursa ya kuendelea na masomo. Af mkuu bado unateseka ww na ajira sema hujakua muwazπŸ˜…
 
Tunazungumziaa kipimo cha mtu uelewa sio ukubwa wa GPA, hatujaongeleaa nan mwenye fursa ya kuendelea na masomo. Af mkuu bado unateseka ww na ajira sema hujakua muwazπŸ˜…
Nilishafanya kazi boss nikaacha. Saivi nateseka kuwaajiri wenzangu. πŸ˜€πŸ˜€
 
Kozi za afya sio wanazoa zoa tu ...wakiwa vyuoni kule wanafanya kazi za VITENDO Kwa sana na wengine Hadi mitihani ya oral jinsi ya kutibu mgonjwa ...pia wengine ambao sio ma Dr wana pitia kufanya mitihani ya leseni so ukisema KWENYE wana zoa zoa tu UNAKUWA kama UNADHARAU fani za watu maana mtu WA afya wa diploma ni sawa time yake chuoni na mtu wa degree plus leseni .....wa degree ndio MIAKA.mitano.hadi sita plus leseni so usiseme.wanazoa zoa mtoa MADA
 
Hizo porojo kawapige wadogo zako nyumbani kiongoz
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Sasa unadhani natania boss. Lkn kuongoza darasani haina maana kama unashindwa kuongoza mtaani. Kwasasa natafuta kuongoza mtaani boss. Hicho ndio kitu pekee kinaweza kuonyesha umesoma kwa kutatua matatizo ya jamii..
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Sasa unadhani natania boss. Lkn kuongoza darasani haina maana kama unashindwa kuongoza mtaani. Kwasasa natafuta kuongoza mtaani boss. Hicho ndio kitu pekee kinaweza kuonyesha umesoma kwa kutatua matatizo ya jamii..
Kidogo umeanza kufunguka mapambano ya mtaa hapo shikiliaa hapo sasa🀣
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Boss huwezi badilisha ukweli plus kama kuna kozi huwa wanafanya mapractical basi ni BSc Physics πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€.
 
Ukweli ni kwamba kufundisha ni wito, hivyo wengi wanaochukuliwa kwa nafasi hizo za assistant lecturers wakipata green pastures lazima wakimbie. Kumbuka wengi wanaopata hizi nafasi ni rahisi kupata ajira sehemu nyingine. My mtazamo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…