Nimeona hili leo niliseme pengine viongozi wetu hawalifahamu swala hili:
Kweli kumekua na tatizo la vijana wetu waliosomea fani za mafuta na gesi kuzagaa mtaani tangu fani hizi zilipo anzishwa mwaka 2013. Asilimia 80 ya vijana waliosomea fani hizo hawaja ajiriwa mpaka sasa. Na walianza kuhitimu mwaka 2016.
Najua wewe ni mmoja wa Wadau wanaoifuatilia sana hii sekta...
And am certain unafahamu baada ya JPM kuingia madarakani, kila kitu ni kama kilisimama kwa upande huo...
Sasa unashangaa nini kuona wengi wao wapo mtaani wakati kazi hasa zinazowahusu wao hazijaanza?!
Kama Petroleum Companies waliweza kufanya exploration kabla madogo hawajapelekwa nje kusoma hizo bachelosr, it means, as of now wakati development bado haijaanza rasmi, basi hata demand ya hao graduates wetu bado ni ndogo!
I know you know kwamba baada ya wao kumaliza zile bachelor, wasingeanza kwa kuwa decision-makers!! Sasa how come unashangaa?!
Hivi karibuni nilipita kuchungulia pale Likong'o wanapotarajia kujenga LNG Processing Plant, na kazi ambayo ilitarajiwa kuanza kufanyika back in 2016 ndo inaanza sasa huku wakati ule tukiambiwa "Gesi yote ameuziwa Mchina" na watu wakawa wanaamini tu!!
I feel sorry for them...
Wawe na subira
Hapa ndipo naona nilimshauri vizuri sana my nephew ambae back in 2018 alitaka akasome Bachelor ya Industrial Engineering!
Nilipomuuliza kwanini anataka akasema Industrial Engineering, kiwepesi tu akasema "Uncle, si unajua hii ni Serikali ya Viwanda"!
Nikamuuliza kama kuna watu walisoma kilimo kwa kuona Serikali ya JK ilikuwa Kilimo Kwanza, je hivi sasa watarudi tena wakasome Industrial Engineering kama wewe au wasubirie rais mwingine wa Kilimo Kwanza?!
Haya ni Madhara ya Serikali ya Kila Rais na Lwake!!
Anyway, wenye uwezo warudi vyuoni wakasome graduate programs za Oil, Gas, and Petroleum Management. Wasio na uwezo, wa-fight kupata scholarship! Kama vp, wajaribu kutafuta connection and recommendation kupitia LinkedIn kwa ajili ya fursa Middle East!