Tazama Baadhi Ya Picha: Kutawazwa kwa Mfalme Charles III

Hawafiki hata 0.05% ya raia wote wa Uingereza!

Kuanzia viongozi wa kisiasa hadi kidini wanaunga mkono Ufalme...

Hakuna anayeelekea kuchoka.
Ukiona kuna watu wachache wanaulizia utaratibu wa jambo usishupaze shingo kuona hao 98 hawajauliza ukafikiri jambo liko vizuri.hao asilimia 2 niwale majasiri ila wanawakilisha sauti ya wengi ambao hawana uthubutu.Huo ufalme umelindwa kwa miaka mingi sana kwahiyo usifikiri utadumu zaidi ya hapo kama kuna wenye uthubutu wakuhoji wameanza kuuliza.
 
Ukoloni uliisha Ila umebaki ule wa mind set Hadi leo , waafrika wanawatetemekea
 
Yaani namba tatu nyeupee na sita nyeupee ukizoom utajua Dunia Haina usawa aisee
 

Attachments

  • gettyimages-1487989293.jpg
    285.2 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…