Ukiona kuna watu wachache wanaulizia utaratibu wa jambo usishupaze shingo kuona hao 98 hawajauliza ukafikiri jambo liko vizuri.hao asilimia 2 niwale majasiri ila wanawakilisha sauti ya wengi ambao hawana uthubutu.Huo ufalme umelindwa kwa miaka mingi sana kwahiyo usifikiri utadumu zaidi ya hapo kama kuna wenye uthubutu wakuhoji wameanza kuuliza.Hawafiki hata 0.05% ya raia wote wa Uingereza!
Kuanzia viongozi wa kisiasa hadi kidini wanaunga mkono Ufalme...
Hakuna anayeelekea kuchoka.
Kwani wamarekani weusi wametoka wapi kama sio afrika?we jamaa muongo duh.
Asili yake mmarekani mweusi
Picha zipo nyingi sana ila nakuletea baadhi tu zinazojieleza na kukupa maswali.
View attachment 2612495
☝🏾Huyu jamaa Prince Harry, aliudhuria sherehe ya kutawazwa kwa baba yake, Mfalme Charles III, ila mnajua shida aliyo nayo.
View attachment 2612501
☝🏾Waziri Mkuu wa Uingereza Sunak na mkewe Akshata Murty wakiwasili kabla ya kutawazwa.
Kuna jambo la kujifunza hapo muhindi kazaliwa uingereza alafu kawa kiongozi wa wazungu na anapewa heshima zote, vipi hapo kwenu!.
View attachment 2612503
☝🏾Mke wa Rais wa Marekani Dk Jill Biden (nguo ya buluu), na mjukuu wake Finnegan Biden wakiingia eneo la tukio mapema.
View attachment 2612505
☝🏾Mfalme Charles III na Malkia Camilla wakisafiri kwenye kigari cha Dhahabu, kilichoundwa mnamo mwaka 1760 na kutumika katika kila unapoapishwa Ufalme mpya tangu ule wa William IV mnamo 1831 hadi leo 2023.
Katika picha hii ndipo unaweza kuona baadhi ya askali wanaume na wanawake kutoka nchi Jumuiya ya madola wakiwakilisha nchi zao.
Jaribu kuzoom kwa karibu askali aliyepo upande wa kushoto unaweza kuwa unamfaham labda katoka kambi ya kikosi gani hapa Tanzania.
Moderator mada hii haifanani na mada yoyote so naomba initegemee kama inavyoonekana.
Waingereza hao wataalam wa siasaSijui kuna nguvu gani kwenye huu utawala wa kifalme. Maana likitokea zigo anabebeshwa Waziri mkuu,anafukuzwa/kuachia madaraka. Mfalme/Malkia yeye katuliaa
Nafikiri kuna kitu kilimuumiza sana huyu ujamaa zaidi ya wanayo tuelezea mbele za macho yetu.
Gold coatedGari la farasi ni dhahabu tupu......
asante kwahilo, amahakika uchunhu alio nao huyo mjamaa hata kwenye sura huwa unajionyesha kabisaaNi kifo cha Mama yake na mabaya yote aliyozushiwa huku Baba yake pamoja na mchepuko wakionekana hawana hatia
Walituibia sana madini yetu?Angalia kwa karibu hapa, uone dhahabu zetu, sijui kama walinunua hawa 😢!.
View attachment 2612956
WazunguWana repair usiwaamini sana wazunggu
WamekufanyajeWazungu
Huyu Prince William ana umri gani mbona kipara kimekubali sana?kinataka kukaribiana na cha Bishop.View attachment 2613402
Bila wenyewe pesa zao kununua dhahabu wakachezee hao vijana hawawezi kwenda kuchimbaChunya vijana wanatafuta dhahabu kwa shida, Uingereza wanachezea mali.
Wamechukua dhahabu zetu...Wamekufanyaje
BbyWalituibia sana madini yetu?
AiseeAna miaka 40, hicho kipara ni cha pesa mkuu!.
Imeibiwa Afrika hiyo dhahabuGari la farasi ni dhahabu tupu......
Tuandamane kudai vitu vyetu,waliwasainisha kina Chief Mangungo mikataba fake wakawapa migolole na vioo wakachukua dhahabu,,,pambafu wazunguMwizi tumemjua, sasa tufanyeje?