Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulipe tu kodi wengine watazitumia ipasavyoDawa sio kupinga kodi bali kudai wasiokatwa kodi nao wakatwe kama hao wabunge nk
Pili lazima muelewe kwamba covid 19 imeharibu uchumi hususani biashara ya utalii ambayo ilikuwa inaongoza kuchangia mapato hasa fedha za kigeni,pamoja na biashara zingine.
Hivyo basi lazima pengo lizibwe Ili maendeleo yasisimame ndio maana tozo hizo lazima ziwekwe.Unataka nani akuletee maendeleo? Kuna watu walikufa ndio upo huru sasa wewe vikodi vya bando ndio unalia Lia kama mtoto yatima?
Kwa taarifa yako nimekwambia sina undugu na maccm wala Mwigulu ila naunga mkono hizi tozo kwa sababu tuu zimeelekezwa kwenye sekta mahsusi kwa hiyo nasubiria utekelezaji.
Wewe unaishi mjini sie wa Vijijini tunajua ugumu ulioko,kwamba wake zetu wafie njiani Kisa hakuna barabara na vituo vya afya?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwa najiuliza zile raslimali ambazo tunaambiwa tunazo mpaka wazungu wanaitamani nchi yetu, yako wapi ili yatupunguzie hizi double taxation? Au hizo raslimali ni hizi line zetu za simu?
Haiingii akilini mtuanatajwa kwenye report.ya CAG kwamba ametumia vibaya mabilioni ya serikali lkn yupo tu mtaani anadunda.Ndio unachojua tuu kulaumu huna suluhisho,watu aina ya nyie ni kupuuzwa tuu.. pengine kwa kodi hizi mambo ya hovyo na umbea mtapunguza sasa.
Mbunge fulani alisema ukimtukana mtandaoni kama wewe hapa unalipa kodi kwa jambo ambalo halitakusaidia,na wewe nakuhimiza
Pesa haiendi kwenye mfuko wa Mwigulu au Rais ,,wakibainika kutumia pesa za umma vibaya hatua zitachukuliwa.Watu wasiende kula Bata ulaya na dubei ama paris na kufanyiwa masaje na watt wakali Kama Hawa.
Afu eti wakukumbuke wewe so unadhani hapo nyuma kulikuwa hakuna sehemu nyingine ya Kodi ya kuyafanya hayo mambo.
Yaani mtu anaiba ama anafuja pesa yetu Ila anadunda mtaani tu.
View attachment 1853953
Vyombo husika vipo na vinashughulika ,kutajwa ni jambo moja na kuthibitisha ni jambo tofauti .Haiingii akilini mtuanatajwa kwenye report.ya CAG kwamba ametumia vibaya mabilioni ya serikali lkn yupo tu mtaani anadunda.
Halafu mnataka mkamuwe watu hela muende mkafuje tena.
Watu mmejaa funza kichwani
Kwani unatuma au kutoa pesa for leisure? Unachekesha sanaHivi jaman si tugome kutuma pesa na kutoa hata wiki tuone mbona watz tupo hivi kila kitu tunakubali tu?
Vitaje hapaKuna vitu vingi sana ambavyo vinaweza kutumika kama vyanzo vipya vya mapato sio kama hivi wanavyofanya kurundika kodi sehemu ambapo walishaweka kodi.
Unapoongeza kodi na kuwa kubwa mara dufu unakimbiza wateja. Watu watatafuta njia nyingine ya kutumiana hela.Dawa sio kupinga kodi bali kudai wasiokatwa kodi nao wakatwe kama hao wabunge nk
Pili lazima muelewe kwamba covid 19 imeharibu uchumi hususani biashara ya utalii ambayo ilikuwa inaongoza kuchangia mapato hasa fedha za kigeni,pamoja na biashara zingine.
Hivyo basi lazima pengo lizibwe Ili maendeleo yasisimame ndio maana tozo hizo lazima ziwekwe.Unataka nani akuletee maendeleo? Kuna watu walikufa ndio upo huru sasa wewe vikodi vya bando ndio unalia Lia kama mtoto yatima?
Kwa taarifa yako nimekwambia sina undugu na maccm wala Mwigulu ila naunga mkono hizi tozo kwa sababu tuu zimeelekezwa kwenye sekta mahsusi kwa hiyo nasubiria utekelezaji.
Wewe unaishi mjini sie wa Vijijini tunajua ugumu ulioko,kwamba wake zetu wafie njiani Kisa hakuna barabara na vituo vya afya?
Na ilijadiliwa kwenye Baraza la mawaziri ikapitishwa ndio ikaja bungeni...Utamlaumu Mwigulu bure, bajeti inatungwa na serikali nzima, wanakaa baraza la mawaziri na kutoa maamuzi
unapomtumia mtu hela unakatwa,Hii yako umetoa wapi?.
Sasa tutajengaje nchi yetu kama hatutaki kuumia kidogo kea maendeleo yetu. Tukubaliane tu mambo mwisho yatakuwa sawa. Mbaya tune kusikia escrow,meremeta nk . Hamna jinsi tuswe wazalendo tu
Kungekuwa na matumizi sahihi ya kodi zetu ingekuwa hakuna shida , tatizo tunabanwa na makodi lukuki hakafu watu wanaenda kujenga useless airport chatoSasa tutajengaje nchi yetu kama hatutaki kuumia kidogo kea maendeleo yetu. Tukubaliane tu mambo mwisho yatakuwa sawa. Mbaya tune kusikia escrow,meremeta nk . Hamna jinsi tuswe wazalendo tu.
View attachment 1853406
View attachment 1853410
View attachment 1853411
View attachment 1853412
View attachment 1853415
KUMBUKA
• Hakuna makato yoyote unapoweka pesa kwenye akaunti yako kupitia wakala wa M-Pesa
• Hakikisha taarifa zako za M-Pesa ni sahihi vinginevyo fika katika duka la Vodacom lililopo karibu nawe kuhakiki taarifa zako
• Unaweza kutuma hadi Tshs 5m kwa siku au kuwa na hadi Tshs 10m kwenye akaunti yako ya M-Pesa wakati wowote ukikamilisha usajili wako
• Hakikisha kama umesajiliwa kikamilifu kwa kupiga *106#
• Unapotuma pesa, siku zote kumbuka kuhakikisha namba ya mpokeaji kuepuka usumbufu
• Unapofanya muamala kwa wakala utahitajika kuonyesha kitambu-lisho chako
• Baada ya ku swap namba yako ya Vodacom, unaweza kuanza kutumia M-Pesa baada ya masaa 48
• Kupata vigezo na masharti ya kutumia M-Pesa tembelea duka la Vodacom lililopo karibu nawe au www.vodacom.co.tz
• M-Pesa huonyesha salio kwenye SMS ya kila muamala BURE. Endapo utafanya muamala wa kuangalia salio, utatozwa gharama ya Tsh 60
• Unapofanya malipo kwa wafanyabiashara waliosajiliwa na huduma ya LIPA KWA SIMU kupitia M-Pesa, utatozwa gharama za kawaida za kutuma pesa kwa wateja waliosajiliwa
• Ada za M-Pesa zilizoainishwa zimejumuisha ushuru wa serikali (Excise duty)
• PIN yako ya M-Pesa ni SIRI yako. Usimpatie mtu yeyote, hata kama ni wakala wa M-Pesa au mfanyakazi wa Vodacom
• Kwa msaada zaidi wasiliana na huduma kwa wateja kwa kupiga
Tafuta tuu hizo njia nyingine ukiweza,ukienda bank kodi iko pale pale ukibeba kwenye mabegi unahatarisha usalama wako kwa hiyo pima mwenyewe.Unapoongeza kodi na kuwa kubwa mara dufu unakimbiza wateja. Watu watatafuta njia nyingine ya kutumiana hela.
Tukiwaita wapumbavu mnatuona tunawaonea lakini huo ndo ukweli.
Unapoongeza kodi na kuwa kubwa mara dufu unakimbiza wateja. Watu watatafuta njia nyingine ya kutumiana hela.
Tukiwaita wapumbavu mnatuona tunawaonea lakini huo ndo ukweli.