edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Mafisadi mnaumia sanaHii ndiyo awamu ya6 chini ya uongozi wa mama samia, yaani ni mwendo wa kuwakomesha maskini adi wanyookee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafisadi mnaumia sanaHii ndiyo awamu ya6 chini ya uongozi wa mama samia, yaani ni mwendo wa kuwakomesha maskini adi wanyookee
Mkuu sasa hivi tunapumua baada ya dikteta wako kufariki.Huwa najiuliza zile raslimali ambazo tunaambiwa tunazo mpaka wazungu wanaitamani nchi yetu, yako wapi ili yatupunguzie hizi double taxation? Au hizo raslimali ni hizi line zetu za simu?
Mama anafungua nchiMwigulu hana tofauti kabisa na wale Mumiani wanyonya damu wa ile miaka ya 80!
Mama anafungua nchi!Shida kubwa ni kwamba tuna viongozi ambao IQ zao ni ndogo sana. Uwezo wao unaishia kukariri. Akikariri akapata A au B+ anaamini kuwa ana akili sana.
Waziri ambaye hajui kuwa ongezeko la kodi na tozo kwenye huduma wezeshi, indirectly kunasababisha kupungua mapato na kuzifanya sekta mbalimbali zisinyae, kweli huyo ana akili?
Mkuu mama anafungua nchiWhy 50,000-99,000?
Daaah, mkuu, unastahili pongezi kwa kumeza maji ya bendera, si ajabu ni Mwigulu flani hivi unayedai unalipwa mshahara ila hukati PAYE, unapewa mafuta kwa bei ya tsh 2,500 kwa lita tangu enzi na enzi, usiyejua gharama za usafiri, unayepewa airtime ya 800,000 kwa mwezi, unayelipiwa umeme na serikali, maji bure na lazima yawepo kwako.VAT na PAYE vinaenda kupunguzwa next year Ili ku stimulate uchumi...
Yaani hii nchi basi tu. Nisiseme mengi. Uonevu umetamalaki na wananchi hawana cha kuwafanya watawala.Pamoja na Waziri wa Fedha kuipigia debe kodi ya UZALENDO kiuhalisia bila kumumg'unya maneno INAUMIZA Itafika sehemu watu WAUKANE UZALENDO HUU ni wa KUUMIZANA...
Wenzako wanataka waongezewe mshahara wewe unataka wakatwe kodi. 😂😂Vyanzo vya mapato vingetoka mishahara ya wabunge kusingekuwa na yowe
Sasa kila siku kodi zinaongezwa huku tu kwao ni ganda la ndizi yaan senkeke tu na kitonga
Miaka 6 iliyopita yote umelalamika na hii ya Samia unalalamika tena?Pamoja na Waziri wa Fedha kuipigia debe kodi ya UZALENDO kiuhalisia bila kumumg'unya maneno INAUMIZA Itafika sehemu watu WAUKANE UZALENDO HUU ni wa KUUMIZANA...
Yani hii bajeti ipo toka enzi za magufuli?Nyie misukule wa dikteta simnasema mama Atekeleze ya magufuli, ndio haya Sasa, maana haya makato yalishapangwa tangu enzi za magufuli
Dawa sio kupinga kodi bali kudai wasiokatwa kodi nao wakatwe kama hao wabunge nkDaaah, mkuu, unastahili pongezi kwa kumeza maji ya bendera, si ajabu ni Mwigulu flani hivi unayedai unalipwa mshahara ila hukati PAYE, unapewa mafuta kwa bei ya tsh 2,500 kwa lita tangu enzi na enzi, usiyejua gharama za usafiri, unayepewa airtime ya 800,000 kwa mwezi, unayelipiwa umeme na serikali, maji bure na lazima yawepo kwako...
Wanadai eti ni mfuko wa sijui madude ganiAaaah aisee! huu ubepari hata mabeberu hawakuwahi kutufanyia
Utamlaumu Mwigulu bure, bajeti inatungwa na serikali nzima, wanakaa baraza la mawaziri na kutoa maamuziAsee huu ni UPORAJI kabisa. Mwigulu hapaswi kuwepo kwenye ofisi yoyote ya Umma