Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
Na ndivyo itakavyokuwa au kama mtu ananidai hela yake na yuko Mbezi nachukua gari tu Temeke/Mbezi 500, kwenda kurudi 1000.Hapa naona fulsa kwa dereva bodaboda mwaminifu. Yaani kama unamtumia pesa elfu 50000/= makato elfu 7500/= si bora umpe bodaboda elfu 2000/= aikimbize fasta