Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Serikali inachangiwa kupitia VAT na tozo mpya, yaani serikali inapokea mchango mara mbili kwenye muamala mmoja.

Mkapa aliyetawala enzi za ujima ukiwa unamalizikia, alifuta kodi ya kichwa (sh 4000), leo hii mi-viongozi inayotawala zama za EFD machine (wanakusanya kodi maradufu kuliko zama za Mkapa), wanaleta kodi ya kichwa tena iliyo zaidi ya kodi ya enzi hizo.

Nadhani nchi hii tulilogwa na mtu mmoja, wangekuwa wawili wangeshauriana kupunguza ukali wa ulozi wao kwetu.
 
Sababu kuu ya serikali kuongeza kodi ni moja tu : shilingi ya Tanzania imeshuka thamani , kwahiyo wanaongeza kodi kufidia anguko la shilingi ila hawajui kuwa hata wananchi hela zao pia hazina thamani hivyo ugumu wa maisha wanaongezewa.

Hebu fikiria "miaka mitano ya kutoongezewa mishahara ilihali shilingi imeshuka thamani lakini tunakamuliwa hadi pesa tunazowatumia wazazi wetu"
 
Hawa wangese hawa sisi tukikaa na kushupaza sharubu zetu wanazidi kutuchezea.. Mtoto ukicheka cheka nae ipo siku atakushika kalio..

Halafu kodi zetu utasikia kigwangala kapiga bilioni ngapi sijui.. Mara wananunulia magari ya serikali, mara sijui kimeenda kimerudi.. Wasenge hawa.. [emoji848][emoji855]
 
Hii ndiyo awamu ya6 chini ya uongozi wa mama samia, yaani ni mwendo wa kuwakomesha maskini adi wanyookee
 
Hii nchi ngumu sana. Leo nimesikia radioni madereva wa Tunduma wananunua mafuta zambia kwa sababu ni bei rahisi kuliko Tanzania na wakati hayo mafuta yamepita hapa hapa.

Sasa hili la pesa mtu wako akitaka hela ya matumizi kama mpo karibu bora apande gari aje achukue ulipo.
 
Hawa sio wazima.. tozo gani hizo yan wao wanataka kula kuliko wenye biashara[emoji44][emoji44].

Sema mitandao ya simu wamekuwa wajanja wameamua kuwaumbua.

Itoshe tu kusema hizi ni tozo za kipumbavu, hakuna transaction cost za hivyo popote duniani.
 
Back
Top Bottom