Pesa haiendi kwenye mfuko wa Mwigulu au Rais ,,wakibainika kutumia pesa za umma vibaya hatua zitachukuliwa.
Kama ni kwenda huko wanaweza enda maana Wana vipato vyao,Cha msingi lipa kodi hoji matokeo hayo mengine waachie wao
Umelipa Kodi ngapi na umehoji zimefanya Nini ama umeweka huku ili kupooza watu baadaye unajifanya kuwa hauna uhusiano na yellow fever ama green city.
Kuna jamaa amepiga hesabu kuwa wao wakikatwa 0.3 ya wanayopata tutapata bilioni plus kwa mwezi.
Wao uzalendo uko wapi.
Ninakuhakikishia lazima hii biashara ya miamala ya simu inaenda kufa kmmk.kama haifi lazima ipungue transactions Ile turnover.
Ile tuliyokuwa tunasikia kuwa sijui Trillion ngapi zimepita kwa miamala ya simu itabaki kitendawili tu.
Lazima watu wapate njia mbadala na wao wamebazi pale pale mnyonge anapoweza kutuma hela.
Ila masikini ni mtaji mzuri sana.yaani Kuna ujinga na umasikini ni mtaji mzuri kwa mtu mjanja kuutumia kutokea kimaisha.
Eti lipa Kodi afu uhoji.
Naona unatuliza emotions za watu.
Yaani nikuambie zilizokuwepo tu watu walikuwa wanaziwazia Sana Sasa Tena zimeongezeka.
Ama mishahara Yao ipunguzwe iwe hata 5M,
Wasipewe v8 wapewe double cabin Mana wao ni wazalendo wanaongoza wazalendo ama wanaongozwa tu ndio wazalendo.
Ila Kuna kauli zinatumika muda huo huo unakamuliwa.
Utakuja njia mbadala tu na watakifunza kitu.
Eti lipa Kodi afu hoji matokeo,so Leo ndo watu wanaanza kulipa Kodi hapo nyuma haikuwahi kulipwa????