masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hasa Kenya kinaenda chakula , kwa wingi sana.Sasa mkuu Tanzania tuna zalisha bidhaa gani za kupeleka kenya? Kama wananchi wa Dar wanatumia bidhaa kutoka Kenya na Supermarket zote zimejaa bidhaa kutoka Kenya, na Phamace zote ukienda kununua dawa utapewa dawa kutoka kenya au India
Kwa kiasi yes.Inflation iko controlled ??
[emoji23][emoji23] kila mtu na tafsiri yake bana. Sote tuko sahihiHebu rudia, umesema Samia ana akili kuliko Magufuli au sijaelewa unamaanisha nini?
Mkapa aliacha dollar moja sawa na shilingi 800, Kikwete kaiacha dollar moja 2200 , kwajyo kwa sasa Rais akikopa ladhima mkopo utakuwa mkubwa tofauti ya Kikwete alivyo kuta dollar moja sawa na 800.Kila Rais kafanya yake, Kikwete naye aliingia na kuacha vyuo, barabara shule na hospitali kibao, ajira bwerere
Ila hakuiacha nchi na madeni makubwa
Chawa wa mama mnalicost taifa.View attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Ukubwa wa deni nimeupima kwa USD sio TshsMkapa aliacha dollar moja sawa na shilingi 800, Kikwete kaiacha dollar moja 2200 , kwajyo kwa sasa Rais akikopa ladhima mkopo utakuwa mkubwa tofauti ya Kikwete alivyo kuta dollar moja sawa na 800.
Tanzania kwa sasa tuna export bidhaa zaidi huko Kenya kuliko Kenya wanacholeta kwetu.
Hivyo T Shilling lazima iimarike.
Na Dollar bado iko stable kwa muda mrefu.
Nchi imeimarika kibiashara na inflation iko controlled.
Tunakumba serikali ya Magufuli ilipochoma vifaranga pale mpakani Namanga.
Jamaa alifrustrate nchi kibiashara hadi wafanya biashara wanoweza kulipa kodi stahiki walikimbia nchi.
Tuuunganishe nguvu, tutoe Kodi Kwa uaminifu, uchumi utapandaaa Hadi wa kufikia marekanii.View attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
exactlyView attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Mchele na maharagwe ni bidhaa mbili kati ya nyingi zinazouzwa tz,by the way mtu was mtaani ni yupi!?Mfafanulie mtu wa mtaani kwa lugha nyepesi akuelewe ambae mtu huyu akienda kununua mchele anakuta unauzwa 3,500 na kilo ya maharage 4,000,nini unamaanisha unaposema inflation imekuwa controlled.
Chawa wa mamaInflation iko controlled ??
2016-17 ilikua 5.1,5.3% mtawalia,2018-21 ilikua wastani wa 3.5Ukilinganisha na kipindi cha Jiwe ilikuwaje?
Akili gani kwani ujui sasa ni dhama za kunya akili na kubakisha kinyesi ..em tufafanulieView attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Haya basi umejitekenya umecheka na kujifariji.Tulia SasaView attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
View attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia
Si lazima kujibu!Dola imepanda sana dhidi ya hela zote duniani,
Yule mporipori aliamini kutumia mitutu ya bunduki kuliko kutumia akili, tunamshukuru Mungu kutuamulia huu ugomviView attachment 2497979
Hii ni chart ya Shilingi ya Kenya vs Shillingi ya Tz, kama mnavyoona shilingi yetu iliporomoka dhidi ya Shilingi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=Tshs 23 kipindi cha Magufuli,
Samia amefufua uchumi wa nchi na sasa shilingi yetu imepanda dhidi ya Kenya hadi kufikia
1Ksh=18Tshs.
Na ndio kwanza hata miaka miwili hajamaliza
Samia anatufundisha uongozi sio kupiga wapinzani risasi ama kufoka foka kila mara jukwaani.
Uongozi unahitaji akili diplomasia na akili ya biashara
Happy Birthday Samia