Alitaka watu wajadili taarifa isiyojulikana kuhusu hiyo gari.Wewe ndiye mjinga, kwani specification ya gari ndio inahusikanaje na Workmanship yake ??
Wengi hapa tumejadili Workmanship and designing (the art of manufacturing ya hilo gari) ambacho ndicho kitu cha msingi sana kuliko hizo Specifications zako.
Hata hiyo gari iwe na uwezo wa kubeba tani 2000, sisi tunataka kujua, je ni purely designed and manufactured by our Engineers au sio cloning??
Naona wengi wanakebehi lakini naomba nitumie tu neno Moja tu kuwa ni WAJUHA Kwa kuwa hawajui nguvu ya TRIAL and ERROR kwenye creative.VIVA UDSMSamaleko!
Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.
Body inajionyesha nani apoteze mda kuomba specification , utashangaa kwa utopolo huo wanaomba ruzuku serikalini watu wanagawana af wanachikichiaNimesoma comments humu asilimia kubwa nadhani akili hazimo
Mleta mada hajotoa sifa za hiyo gari ikoje
Watu tayari.wameanza kukosoa bila kuwa na specification za gari
Cha kwanza kwa mwenye akili alitakiwa aombe specification zake kwanza ndio ajadili
Asante mleta mada umetusaidia kujua wajinga waliomo humu jamii forums Kwa.kupitia tu hiyo picha ya gari uliyorusha
Specifications muhimu design ya nje sio kitu cha maana ni kipengele cha mwishoWewe ndiye mjinga, kwani specification ya gari ndio inahusikanaje na Workmanship yake ??
Wengi hapa tumejadili Workmanship and designing (the art of manufacturing ya hilo gari) ambacho ndicho kitu cha msingi sana kuliko hizo Specifications zako.
Hata hiyo gari iwe na uwezo wa kubeba tani 2000, sisi tunataka kujua, je ni purely designed and manufactured by our Engineers au sio cloning??
Gari spacial kwa golf courseSamaleko!
Hii ni picha ya gari lililotegenezwa na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDSM. Vipi maoni yako kuhusu huu ubunifu tutawafikia Wachina, Wajapani na German huko mbeleni au tuendelee na huu ubunifu uliojaa utundu.
Kutokusoma ni ujinga wake Kwani hakupelekwa shuleMzee Kapalata wa sido vingunguti kaanza kutengeneza gari kama hili miaka kumi iliyopita.
Saba saba lilikuwa kinakuwepo kwenye maonesho na sido lipo.
Huyo mzee kapalata hata elimu ya shule ya msingi hajawai kusoma. Ila ametengeneza gari kama hilo kitambo sana.
Udsm wanafanya leo huku watu ambao hawajaenda shule wamefanya miaka 10 iliyopita.
Na inawezekana gari la mzee kapalata kawauzia hao wanafunzi wa udsm ili nao wauze sura
Sio kufanya gari liende ndio mziki!!, gari linaweza kwenda tu kwani mtu anaweza kununua Engine, akatafuta Gear box na diff na akaviunganisha kwenye Work shop na kisha akatengeneza chassis na akanunua hubs, axles na vitu vingine na hatimaye akaunda body na gari ikawaka na kutembea, hiyo ni kazi rahisi sana kwa Mechanical/motor vehicle engineers, Jambo kubwa ambalo linahitaji sifa kwa Enginers wetu ni kujiuliza; Je hiyo Engine ya hilo gari wameibuni na kuitengeneza wao from the scratch??, kubuni na kutengeneza Engine ndio jambo kubwa sana la kujivunia katika Mechanical/motor vehicle Enginering, hata kama sio kubuni (designing) basi hata kuiunda (manufacturing) engine ambayo ni designed na mainjinia wengine hiyo bado itakuwa ni credit kwa hao jamaa.
Kumbuka sio jambo la chance "Engineer" akaitwa hivyo ni kwasababu ya UMUHIMU wa kitu kinachoitwa "ENGINE", Engine==Engineer.
Specifications muhimu design ya nje sio kitu cha maana ni.kipengele cha mwusho
Magari ya Umeme ya Tesla yana design nzuri lakini wanunuzi wachache
Hununui design
Nguvu ya trial and error ina variables kama time and demand. Ugunduzi ndo una trial and error, huwezi sema utapoteza muda kwenye trial and error katika uzalishaji ambao wengine wanaufanya kwa usahihi na teknolojia ya juu.Naona wengi wanakebehi lakini naomba nitumie tu neno Moja tu kuwa ni WAJUHA Kwa kuwa hawajui nguvu ya TRIAL and ERROR kwenye creative.VIVA UDSM
Ni sawa na kurudi zama za ujimaKama tunataka kuunda magari hatua ya kwanza ni kuifahamu teknolojia ya sasa ya uundaji magari na kuwekeza huko. Hii ya kuanzia mwanzo kama vile dunia ndo inagundua magari ni kupoteza muda.
Afadhali hiyo golf cart inaenda...hiki kibodi cha UDSM kinasukumwa kwa mkono na watu wa2, hakina hata engineJamani mbona kamefanana na hiyo Golf Cart?View attachment 2590735
Kabisa mkuu. Hatulazimiki kurudi zama za ujima. Tukitaka kitu tunalazimika kujifunza kulingana na teknolojia ya sasa na kuwekeza ili tuzalishe kitu kinachohitajika sokoni.Ni sawa na kurudi zama za ujima
Umesema kweli
Kwa hiyo hata Mimi naweza unda Gari kazi yangu ni kupachika vifaa tuu sio?😀😀
Labda mtu uwe hukusoma au hata kama ulisoma hukuelewa ulichosomaThe Subject matter which stole the show is; "Wanafunzi wa UDSM watengeneza gari" basi, na sisi tumejadili hapo tu,hayo mengine ya specificans, bei, spidi, inabeba watu wangapi, bei yake, Hp ya Engine etc, come next.
Sehemu tunayotaka kupita wenzetu walishapita miaka 100 iliyopita ni ngumu sana mambo tunayofanya yanatia aibu sanaDaah kuna shida sana hao wanafunzi na supervisor wao bado wana mawazo ya kijamaaa " BIG MISTAKE". ingekuwa enzi za mwalimu io gari ndo ingekomaliwa watanzania watumie- komba angeimbia hadi nyimbo. Alafu bungeni wabunge uchwala wangetunga sheria hamna magari ya mtumba kuingia bongo ili watanzania wanunue io gari pekee, sababu wangekuambia kulinda kiwanda chetu cha gari.
Sasa kweli kipindi hiki kulivyo na ushindani mkali wa kiutandawazi, mwanafunzi anatengeneza gari yenye body hioo... Watu saa hivi wanapress body cover kwa hydraulic fluid. Hivi hao wanafunzi kuchagua .... Niishie hapa