Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Michango ni swala endelevu. Wewe una conclude kama vile ndio imeshaisha tayar. Kuna watu wamejipanga kutoa wakipata muda wa kupitia taratibu za uchangaji.

Pia usisahau pia kuna watu ni wanachama ila hawajaguswa na huu uchangiaji, yaan hawaoni sababu.
 
Mleta mada umekosea ulivyotumia kiasi cha michango iliyochangwa kama ndio kipimo cha kujua wingi [ idadi] ya wanachama wa Chadema.

Iko hivi, CCM ina wanachama wachache lakini mafisadi, hivyo wakiamua jambo lao watatoa mapesa mengi licha ya uchache wao, lakini kwa Chadema wana wanachama wengi tatizo sio mafisadi, wanajipambania kuokoteza mia mia zao kila siku.

Lakini pia, michango mingi inayochangwa kwa manufaa ya viongozi wa CCM mfano kumchukulia form Samia, huwa ni kulazimishana, walimu licha ya vimshahara vyao vidogo huwa mnawakamua bila huruma, lakini michango ya Lissu ni hiari, mwenye kutaka atoe asietaka aache.

Naamini umeiona tofauti hapo.
 

Crap from the king of idiocy.
 
Umeongea vizuri mkuu, badala vijana wa ccm kujenga chama chao wapo kujikomba na kulamba viatu ili wapate chochote ,
 
Unafikiri ni Kwanini hao wanachama hawajaguswa na hawaoni sababu ya kuchanga?
 
Hoja yangu imewakaba koo na kuwanyima pumzi.ndio maana unaona wanatukana matusi tu kama wamechanganyikiwa vile.maana hawana majibu.wamepigwa na nyundo nzito sana kichwani mwao mpa akili zimewaruka.
Hakuna hoja elewa izo sh 50,100, 200 n.k na inajulikana namna maisha ya watz yalivyo kwa sasa ,ugum wa maisha plus tozo , kodi lukuki , hata hivyo nawapongeza wanaccm wenye akili, utu wanaoendelea mchangia Mh lissu,

Na haijaanza leo hata wakati ameshambuliwa wapo wanaccm walitoa michango yao hasa wale wenye utu na hofu ya Mungu
 
Ili kujua CCM Ina wanachama wazee , ni ngumu ccm kufanya maandamano,kwani wanachama wake hawawezi kutembea km 1.5 kwa miguu.
 
Ndio ujuwe kuwa CCM Ni Chama chenye utu na upendo mkubwa sana.
 
Hivi wewe ni mwanaume uliyekamirika kweli🤔.
Mbona kama shangingi hivi.
Chadema isikukoseshe Raha,Kwa maana wewe si lolote si chochote katika siasa za Nchi hii.
Hivi unateseka ukiwa wapi!.

Tafuta maisha mkuu, Kamwulize Pasco Mayalla juu ya sifia sifia.

Unaboa kiukweli, unajua wananchi tangu uhuru kilio chao ni nini

Katika wajinga we ni mmoja wao.Kumbuka ujinga sio tusi.

Siasa usikufanye kuwa juha,kutwakuchwa Chadema.
Jikite na ya chama chako pendwa.

Povu la nn,ya Lisu na michango Yao yanakuhusu nn.

Katika michango ile,usijekita hata wa baba yako,mama yako,ndugu zako imo mule.
 
Ndio ujuwe kuwa CCM Ni Chama chenye utu na upendo mkubwa sana.
Tofautisha chama na mwanachama mwenye utu ndani ya chama hapa hatuzungumzii ccm kama chama tunazungumza mwanachama mmoja mmoja ndani ya ccm wanye tunu ya hofu ya mungu na utu ,acha ukilaza soma elewa na jibu sio kukurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…