Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Chawa kama hawa utakuta hata NSSF hana yeye ni Mapambio tuu ukiwa muhanga wa KIKOKOTOO huwezi hata sikumoja kusujudia hawa watu
Yule Askari Magereza Wa Ukonga Kuhusu Kikokotoo Ndiyo Serikali Imevuliwa Nguo
Hawana Mpango Wowote Wa Kupeleka Sheria Bungeni Kwa Hati Ya Dharura Ili Kuondoa Ukandamizaji Kwakuwa Wanajua Mifuko Iko Empty
 
Kinachohitajika hapa ni majibu ya hoja na siyo hayo mashairi yasiyo na vina Wala mizani wala mpangilio.acha Makele na mayowe yako hapa.jibu hoja kwa hoja.
 
Tantalila,Kwa hiyo hao wanaojaa kwenye Mafuriko yenu Wameshindwa kutoa hata jero Kwa kamanda wao? 😆😆😆😆😆😆😆
Kwa vipato gani walivyonavyo? Kama juzi ulikuwa unajiliza kwa watu kutokulipa kodi ambazo ziko kisheria, ndio itakuwa hizo za hiyari? Unakwama wapi chawa?
 
Nipo nae bega kwa bega!

Nilikua sijui kama Lucas anajua hesabu namna hii
Anafaa kua muhasibu wa serikali, kachambua hela mpaka nimebubujikwa na machozi
Dah vijana tuna nn lakini
 
Mli
CHADEMA Ni majitu maongo maongo sana. Wazee wa kupika takwimu.sasa awamu hii wanaendelea kuumbuka vibaya sana. Nilishawaambia kuwa CHADEMA imepuuzwa na watanzania na hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kuwaunga mkono wala kuwashabikia.
mlitaka lisu afe akafa mwendazake na lisu anaishi bado mnatamani afe ila hatuwezi pambana na kusudio la Mungu
 
Usichokijua hapo ni kuwa,

Unahamasisha Kasi ya kuchangisha mchango uwe wa Kasi zaidi.
 
linapokuja suala la uhalisia hawana wanachama wengi chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…