Hivi wewe ni mwanaume uliyekamirika kweli🤔.
Mbona kama shangingi hivi.
Chadema isikukoseshe Raha,Kwa maana wewe si lolote si chochote katika siasa za Nchi hii.
Hivi unateseka ukiwa wapi!.
Tafuta maisha mkuu, Kamwulize Pasco Mayalla juu ya sifia sifia.
Unaboa kiukweli, unajua wananchi tangu uhuru kilio chao ni nini
Katika wajinga we ni mmoja wao.Kumbuka ujinga sio tusi.
Siasa usikufanye kuwa juha,kutwakuchwa Chadema.
Jikite na ya chama chako pendwa.
Povu la nn,ya Lisu na michango Yao yanakuhusu nn.
Katika michango ile,usijekita hata wa baba yako,mama yako,ndugu zako imo mule.