Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

sisiemu inawenyewe wewechawa piga mapambio tu hilo bando fungu la mchicha

Mnaumia sana Lissu akichangiwa na WaTanzania wema kwaa akili yako ndogo unafikiri hiyo michango ni wanachama wa Chadema
Akili za kuvunja chawa jamaa
kwan chadema wengine wamegoma kuchangia au hawana hela?πŸ’
 
awazalo mjinga ndilo litakalo mtokea πŸ’
Hoja yangu imewakaba koo na kuwanyima pumzi.ndio maana unaona wanatukana matusi tu kama wamechanganyikiwa vile.maana hawana majibu.wamepigwa na nyundo nzito sana kichwani mwao mpa akili zimewaruka.
 
Kwa kweli hata Mimi nimeshangaa yaani kukigamba kote mitandaoni,kutembeza bakuli mtaani na mitandaoni Hadi Nje ya Nchi eti Hadi Sasa akaunti.ina mili.16 tuu 😁😁😁

Ni wazi watu washamuona ni miyeyusho na asiye na Shukrani, kwenye mikutano wanakuja kumshangaa yeye anajiona kapata wafuasi 🀣🀣
 
Aliyekwambia wanaochangia ni wanachama wa chadema tu ni nani? Maharage wewe
 
Ni wafuasi wa mbowe hawataki lissu apate gari ila kwa kuwa umewashtua watachanga kwa hasira ili wakukomoe!
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ CHADEMA ni wapika data na matapeli wa kisiasa.huwa wandanganya kuwapofusha akili wafuasi wao kiduchu walio nao. Sasa saizi wanaumbuka. Wanaomba michango mpapa wanatia huruma ile mbaya.
 
Unapata taabu sana wahi kule Dodoma
Mimi nimeweka hoja kwa takwimu safi kabisa na hesabu rahisi sana ambazo ni rahisi kuelewa hata kama wewe ni mbumbumbu wa hesabu. Kwanini CHADEMA huwa mnadanganya watu? Hao mamilioni ya wafuasi wenu wapo wapi ikiwa mnashindwa kuchanga hata buku buki tu hapo mkiwa laki moja tu inapatikana millioni mia moja ndani ya muda mfupi.lakini hata million 30 tu mmeshindwa kufikisha lakini mwili mzima mmejaa jasho la kuomba michango kwa watu.
 
Fedha ya michango ya hiyari ndio inayopima idadi ya wanachama? Hao wanachama wake hutoa kura, na sio fedha. Michango ni mambo ya hiyari na hayana mahusiano yoyote na mambo ya idadi ya wanachama.
 
Uzi mzuri. Komredi Lucas Mwashambwa huenda majamaa wana wafuasi wengi ila wamemkataa Lissu na kuamua kumdhalilisha kijanja kuwa hakubaliki. CHADEMA ukishatofautiana na Mbowe tayari safari yako ya kuondoka imewadia. Kama waliweza kuchanga 350m ndani ya masaa ili kuwakomboa viongozi wao wasiende jela hawashindwi kumchangia Lissu. Ni kwamba Lissu kashatofautiana na Sultani Mbowe hivyo hatakiwi. Hili ni anguko la Lissu kisiasa.
 
Fedha ya michango ya hiyari ndio inayopima idadi ya wanachama? Hao wanachama wake hutoa kura, na sio fedha. Michango ni mambo ya hiyari na hayana mahusiano yoyote na mambo ya idadi ya wanachama.
Kwanini hayana uhusiano? Huyo Lissu si aligombea hadi Urais? Sasa hao wafuasi na wanachama wenu mamilioni ambao huwa mnasema mbao wapo wapi? Inakuwa kama mbgetia hata elfu moja tu kwa watu laki moja ingepatikana millioni mia moja? Sasa katika mamilioni ya wafuasi mnaosemaga mnao imeshindikana kupatikana watu laki moja tu? Tena hadi nje ya nchi? Kweli CHADEMA imepuuzwa sana na watanzania hadi aibu.
 
Endelea kubebeshwa mabango kaka mjinga badala ya kufanya kazi ujipatie kipato chako wewe unaendelea kuzungushwa mitaani na mibango kama wakala wa kusajili Laini za simu.
Uwezi kunishauri mtu uliyezibuliwa mtaro jela mshukuru yule diwani aliyekuchomoa jela vinginevyo ungejiunga na upinde
 
Fedha ya michango ya hiyari ndio inayopima idadi ya wanachama? Hao wanachama wake hutoa kura, na sio fedha. Michango ni mambo ya hiyari na hayana mahusiano yoyote na mambo ya idadi ya wanachama.
Sio tuu idadi ya wanachama Bali kukubalika Kwa Kiongozi wenu.

Huyo Pinga Pinga watu wanamuona ni mgonjwa wa akili hana jema na hawezi kuwa na rafiki mtu wa hivyo 🀣🀣
 
Zile za kuwatoa akina Mdee mahabusu kuna hadi ambao siyo wanachadema walichangia ili wabunge wake warejee bungeni na kuendelea kuimarisha ushindani wa kisiasa. Lakini lazima ufahamu kwa sasa chini ya uongozi shupavu,imara na madhubuti wa Rais wetu na Jemedari wetu kipenzi Mama Samia suluhu Hasssan, CHADEMA imeendelea kupuuzwa na kukimbiwa na watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…