Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Kwanini hayana uhusiano? Huyo Lissu si aligombea hadi Urais? Sasa hao wafuasi na wanachama wenu mamilioni ambao huwa mnasema mbao wapo wapi? Inakuwa kama mbgetia hata elfu moja tu kwa watu laki moja ingepatikana millioni mia moja? Sasa katika mamilioni ya wafuasi mnaosemaga mnao imeshindikana kupatikana watu laki moja tu? Tena hadi nje ya nchi? Kweli CHADEMA imepuuzwa sana na watanzania hadi aibu.
Wafuasi wa cdm huwa wanatoa kura na sio fedha. Fedha ni jambo la hiari. Na Lisu hataki fedha chafu, hivyo hizo atakazopata ni watu waliojifunga mikanda. Cdm sio chama Cha matajiri wauza unga kama wa ccm, Bali cha walalahoi.
 
Uwezi kunishauri mtu uliyezibuliwa mtaro jela mshukuru yule diwani aliyekuchomoa jela vinginevyo ungejiunga na upinde
Hii kazi ya kutukana matusi ndio ambayo hasa mnaiweza CHADEMA.kujibu na kujenga hoja hamuwezi hata kidogo na ndio maana hoja yangu imekuwa kama kishindo cha nyundo nzito kichwani mwako hadi umepoteza fahamu zako na kubakia ukitukana matusi. Na bado maana naendelea kuwashushia kipigo kikali sana hadi mnyooke.
 
Sio tuu idadi ya wanachama Bali kukubalika Kwa Kiongozi wenu.

Huyo Pinga Pinga watu wanamuona ni mgonjwa wa akili hana jema na hawezi kuwa na rafiki mtu wa hivyo 🤣🤣
Kukubalika kwa kiongozi kunapimwa kwa kura halali, na sio kwa michango ya fedha.
 
Kwa kweli hata Mimi nimeshangaa yaani kukigamba kote mitandaoni,kutembeza bakuli mtaani na mitandaoni Hadi Nje ya Nchi eti Hadi Sasa akaunti.ina mili.16 tuu 😁😁😁

Ni wazi watu washamuona ni miyeyusho na asiye na Shukrani, kwenye mikutano wanakuja kumshangaa yeye anajiona kapata wafuasi 🤣🤣
ni miyeyusho anaedeka deka sana aisee....

alichangiwa matibabu, Lakini akafadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi....

akapona,
akaonekana na ma diaspora huko marikani akawaomba ati ada za wanae, wakamchangia millions of dollars....

haikutosha,
akiwa amepona na mzima wa afya, akautana na Rais Dr.SSH huko huko huko ng'ambo, baada ya muda akajitokeza hadharini kwamba amelipwa mishahara yake yote stahiki ya huko nyuma, pamoja na gharama za matibabu ambazo ni haki yake....

hivi ni kweli kabisaa hakua anafahamu atahitaji gari ya kufanyia kazi na shughuli zake mbalimbali, na kwa pesa hizo anunue hilo gari?

au ni roho na mazoea ya kuchangiwa na kuombaomba inakua na kuimarika zaidi ndani yake 🐒
 
Kukubalika kwa kiongozi kunapimwa kwa kura halali, na sio kwa michango ya fedha.
Sasa nani awape kura na ubabaishaji wenu? Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuwapeni kura yake ya ndio hata siku moja.
 

Attachments

  • IMG_20230308_125209.jpg
    IMG_20230308_125209.jpg
    399.3 KB · Views: 1
ni miyeyusho anaedeka deka sana aisee....

alichangiwa matibabu, Lakini akafadhiliwa na mabwenyenye ya magharibi....

akapona,
akaonekana na ma diaspora huko marikani akawaomba ati ada za wanae, wakamchangia millions of dollars....

haikutosha,
akiwa amepona na mzima wa afya, akautana na Rais Dr.SSH huko huko huko ng'ambo, baada ya muda akajitokeza hadharini kwamba amelipwa mishahara yake yote stahiki ya huko nyuma, pamoja na gharama za matibabu ambazo ni haki yake....

hivi ni kweli kabisaa hakua anafahamu atahitaji gari ya kufanyia kazi na shughuli zake mbalimbali, na kwa pesa hizo anunue hilo gari?

au ni roho na mazoea ya kuchangiwa na kuombaomba inakua na kuimarika zaidi ndani yake 🐒
Lissu anapenda sana mteremko kwa kila kitu.ndio maana anapenda sana kuchangiwa. Hapo yule wa Arusha itakuwa naye yupo anapanga atoke vipi ili aje awapige vipi pesa kwa kuomba michango
 
Wewe kwenye Chama unaangalia Sera au wingi wa Watu ?, Binafsi hata tukiwa 10 kwenye Chama kinachoendana na fikra zangu I will be on the right place....,
 
Sasa nani awape kura na ubabaishaji wenu? Hakuna mwenye akili timamu anayeweza kuwapeni kura yake ya ndio hata siku moja.
Kwenye zile chaguzi za kihayawani unawezaje kupima wingi wa kura?

Na uzuri wa Lisu sio mpika data, ametoa figure ya kweli, na kuonyesha ni jinsi gani watu ni masikini. Hiyo ni aibu zaidi kwa serekali na sio Lisu kwa kushindwa kuboresha vipato vya wananchi.
 
Hivi unaandika 500,000/= halafu unahusanisha na idadi ya watu? ukishaweka alama ya /= mbele ya namba hapo unamaanisha ni fedha mkuu wangu
 
Wafuasi wa cdm huwa wanatoa kura na sio fedha. Fedha ni jambo la hiari. Na Lisu hataki fedha chafu, hivyo hizo atakazopata ni watu waliojifunga mikanda. Cdm sio chama Cha matajiri wauza unga kama wa ccm, Bali cha walalahoi.
Kwa hiyo ninyi wafuasi wa CHADEMA mna fedha chafu ndio maana hamumcjabgii Lissu? Kweli leo CHADEMA hoja yangu imewavuruga na kuwachanganya kabisa akili zenu.
 
Mchango hauwezi kuwa kigezo cha Idadi ya wanachama wa Chadema kwa vile hata CCM wanamchangia lakini pia wasio wanachama Tulia mpaka wiki hii iishe ndipo tathmini ifanyike
 
Chadema wanajimaliza wenyewe bila kutumia nguvu nyingi. Tayari wameudhihirishia uma kwamba wana wanachama wasiozidi elfu 10 nchi nzima
Subiri uchaguzi wewe wa mitandaoni. Wangekuwa hawana hata wanchama 100,000 hakukuwa na haja kuwanyima wanachama wao wasigombee uchaguzi kwa kuwakata wasigombee uchaguzi uliopita kwani hakuna ambaye angewachagua. Ghalasa nani anataka? Wanchama halisi wa ccm wanajua ukweli na hawana fikira hafifu kama hizi za kwako. Wanajua wale ni wapiganaji kama wao na wako ktk mkakati wa kuwashinda wenzao. Wewe sio.
 
hivi unaandika 500,000/= halafu unahusanisha na idadi ya watu? ukishaweka alama ya /= mbele ya namba hapo unamaanisha ni fedha mkuu wangu
Asante nimeshakwenda kurekebisha ,yalikuwa nimakosa madogo madogo katika uandishi ,lakini unaweza kuona makosa hayo hayakuathiri kitu maana kwa chini nilikuwa nimeiweka vyema hesabu yangu.
 
mchango hauwezi kuwa kigezo cha Idadi ya wanachama wa Chadema kwa vile hata CCM wanamchangia lakini pia wasio wanachama Tulia mpaka wiki hii iishe ndipo tathmini ifanyike
Mimi nimekwambia kuwa hata ikiwa watu laki moja tu wangeamua kuchanga elfu moja moja tu basi ingeweza kupatikana millioni mia moja mpaka muda huu. Sasa ninyi CHADEMA wazee wa kupika data mnawanachama wangapi?
 
Nikiwaza jamii tunayoikuza sijui itakuja kuwaje,miziki movie elimu ovyo ovyo tu,na sasa tunaiaminisha kwa nguvu kabisa ujinga na uchawa ni way of life ni ajira,very sad jinsi akili ndogo za kimaiti zinavyojiamini,yaan maujinga mengii maovu yote ya lichama chakavu hawaoni,imaging uyu mtoa hoja apa mwanae anafundishwa uko kwamba baba na mama yake walikuwa manyani,hapambanii icho ila anapambania na kunilazimisha niipende ccm,poor u stupid
 
Nikiwaza jamii tunayoikuza sijui itakuja kuwaje,miziki movie elimu ovyo ovyo tu,na sasa tunaiaminisha kwa nguvu kabisa ujinga na uchawa ni way of life ni ajira,very sad jinsi akili ndogo za kimaiti zinavyojiamini,yaan maujinga mengii maovu yote ya lichama chakavu hawaoni,imaging uyu mtoa hoja apa mwanae anafundishwa uko kwamba baba na mama yake walikuwa manyani,hapambanii icho ila anapambania na kunilazimisha niipende ccm,poor u stupid
Ndio shida na tatizo kubwa sana la Ma CHADEMA huwa hoja ikiwazidi uwezo na kushindwa kujibu mnaanza kutukana matusi na lugha chafu kama wagonjwa. Jibu hoja na siyo kuropoka ujinga ujinga tu hapa.
 
Back
Top Bottom