Ahsante Kwakua umeelewa Sina uwezo wa kukuuliza swali lakukukasirisha basi nakuuliza swali mkuu.Kwa nini unafikiri ushafikia uwezo wa kuniuliza swali la kunikasirisha?
Na utajuaje hapa nimekasirika na hapa nimepiga chafya tu kwa reflex action, nzi aliye karibu anaweza kufikiri nimekasirika, lakini kiukweli hana hata nguvu za ubongo zinazotakiwa kunikasirisha?
Vipaji vipo vingi. Kikiwepo Cha kuteka akili za watu. Hongera yake na wengine.Kama hujaokoka hupaswi kujadili habari na Mtumishi huyu. Kwanza haikuhusu Wanaohusika nae wamenyamaza
Akili ni nini na unajuaje hizi akili na hizi si akili?Ahsante Kwakua umeelewa Sina uwezo wa kukuuliza swali lakukukasirisha basi nakuuliza swali mkuu.
JE UNAZO AKILI?
Unapopingana na ukweli ndiyo udhaifu wenyewe. Je, wewe hukuzaliwa?Kwa nini kuamini sikuzaliwa ni imani dhaifu?
Unajuaje hii imani ni imani dhaifu?
Unapopingana na ukweli ndiyo udhaifu wenyewe. Je, wewe hukuzaliwa?
Mkuu NAOMBA unijibu swali kwanzaAkili ni nini na unajuaje hizi akili na hizi si akili?
Hujaweza kufafanua swali, nitalijibu vipi?Mku
Mkuu NAOMBA unijibu swali kwanza
Mkuu sikupeleki ulipo pelekwa nimeuliza swali TUHujaweza kufafanua swali, nitalijibu vipi?
Akili ni nini na unajuaje hii ni akili na hii si akili?
Tuanze na precise definitions kwanza ili tuelewane tusitofautiane kuelewa.
Unapotaka kunipeleka leo nishapita miaka kadhaa iliyopita na wenzako kulikuwa na mjadala mrefu sana kuhusu hilo swali hapa.
Hujauliza swali.Mkuu sikupeleki ulipo pelekwa nimeuliza swali TU
Una maana kama mabaya yote ya dunia uliyotaja yasingekuwapo ungekiri kwamba Mungu yupo?Ni vizuri kwamba umekubali hatutakiwi kuamini vitu tu, tunatakiwa kuhakiki kama tunavyoamini ni vya kweli.
Na ukweli unaujuaje ili ujue hupingani nao?
Mtu akikwambia kuna Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote, aliyeweza kuumba ulimwengu ambao ubaya hauwezekani kutokea popote, halafu Mungu huyo akaamua kuumba ulimwengu ambao ubaya unaweza kutokea, watoto wanakufa kwa njaa, ulimwengu una ma tsunami, matetemeko ya ardhi, magonjwa ya milipuko etc.
Mungu huyu anawanyima watu mabilioni uwezo wa kumjua, halafu anawachoma moto milele na milele.
Wewe unaona huo ni ukweli hapo?
Mimi hata nikikubali nimezaliwa, hilo halithibitishi Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo wote na uwezo wote yupo.
Unaweza kuthibitisha Mungu huyo yupo?
Yah Kama Ni gravity imecoz vyote ndio Ni MunguHiyo nguvu ni nini?
Una judge hiyo nguvu ni Mungu kabla ya kuijua hiyo nguvu ni nini?
Ukiambiwa hiyo nguvu ni gravity, utasema gravity ni Mungu?
Hyu kiranga nilikua najua Ni mjnga tu kumbe Ni mpumbavu kabsaYah Kama Ni gravity imecoz vyote ndio Ni Mungu
Gravity ina upendo?Yah Kama Ni gravity imecoz vyote ndio Ni Mungu
Ulimwengu ambao una mabaya unathibitisha Mungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.Una maana kama mabaya yote ya dunia uliyotaja yasingekuwapo ungekiri kwamba Mungu yupo?
Je wewe unaweza kuthitisha kuwa Mungu hayupo?
Tb Joshua amezaliwa Anglican wanabatizwa watoto na ubarikio kuanzia umri wa kumi nakuendelea ,hao wanao dai hawajui ni mahasimu wake tuu :TB Joshua was born in 12th June 1963 in Nigeria in Ondo State which is some 260 kilo meters from Lagos. TB Joshual is a Yoruba born and his full names are Temitope Balogun Joshua. His father kolawole Balogun was educated man who worked as a translator for the British in Nigeria translating Yoruba to English.Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.
Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.
Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.
TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.
Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.
Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Duh aisee! naanza kupata mashaka na utimamu wa ufahamu wako. Neno "inawezekana" ni kauli dhaifu sana, sasa povu linakutoka la nini? et huwezi hata kulipinga.Unajua kusoma kwa ufahamu?
Uongo kwa muktadha gani?
Umeelewa nilipokwambia hilo neno ni worse than uongo, ni irrelevant?
Nikikwambia inawezekana mlima Kilimanjaro, mlima mrefu Afrika kilele chake kipo chini ya bahari, hiyo statement ni worse than uongo.
Kwa sababu neno "inawezekana" linafanya habari iwe neither here nor there, na hivyo, hata kupingika haipingiki, kwa sababu nusu isiyosemwq ni kwqmba inawezekana isiwe hivyo pia.
Therefore the entirety of the statement is meaningless!
What is so hard to undeestand there?
Unqjua kusoma kwa ufahamu?
Nawewe umehisi eeeeeehDuh aisee! naanza kupata mashaka na utimamu wa ufahamu wako.
Jamaa hayupo sawa kuna shida mahali.Nawewe umehisi eeeeeeh