Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh! Teh! Picha hazina quality kabisa.TBC inasikitisha yani kah ifungwe kwa mda iboreshwe sio inaonyesha picha kama za enzi ya charlie Chaplin huko, no color at all
[emoji16][emoji16], ni bora ukutane na simba msituni unaweza ukadandia mti ukapona mkuu kuliko wapiga vigelegeleUsiogope mkuu utarudishwa salama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 Dah hawana kisu hata mmojaTBC yaani ukimwangalia mtangazaji utadhan ana swaumu
😀 😀 😀 😀 😀 Dah huu uzi watu hamkopeshiUshaur wangu mzime tu hilo litakataka lenu, yan hata mjirekebishe vp hatutaangalia uchafu huo
Mkuu, Sam anataka kuboresha career yake, wewe na mimi hatujui anataka nini katika maisha yake. Huwezi kujua anaweza kuwa na furaha kazini kuliko alipokuwa. His priorities come first..Kama hawataki kubadilika wasichezee kodi zetu bure kwa vipindi hewa, pia nimemshangaa Sam mahela kaenda kule naye kafubaa weledi wote umekwisha au ni zile rangi za ajabu za hyo TV.
I agree with you kutafta fursa ila naye ndo kanywea sana makeke yote kwishney ka kanyweshea mvua uchangamfu wote kwishney, sio yeye tu Watangazaji wote wako hivo sasa sijui ndo mitambo inawafubaisha hata sielewi.Mkuu, Sam anataka kuboresha career yake, wewe na mimi hatujui anataka nini katika maisha yake. Huwezi kujua anaweza kuwa na furaha kazini kuliko alipokuwa. His priorities come first..
Huyu Sam Manot kwa sasa anaanza kupoteza uhalisia wake,kawa mpiga makofi na vinubi kwa ilani pendwa.Kama hawataki kubadilika wasichezee kodi zetu bure kwa vipindi hewa, pia nimemshangaa Sam mahela kaenda kule naye kafubaa weledi wote umekwisha au ni zile rangi za ajabu za hyo TV.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili kuunga mkono juhudi za TCRA, niliamua kuiblock hii channel kama walivyoblock local channels nyingine.
Hii imeongeza ufanisi wangu katika kuwakwepesha wanangu kujifunza ujinga. Wenye akili zao hawawezi kupoteza muda kuangalia ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu [emoji119]Mazee ndo yamejazana....
Taarifa ya habari utadhani watangazaji wamekaa kuzimu....giza si giza...mazee tuu ndo yanatangaza
Kweli TBC kuna haribu watu, hivi kile kipindi cha this week.perspectives kilishaishiaga wapi jamani cha yule Mzee?Huyu Sam Manot kwa sasa anaanza kupoteza uhalisia wake,kawa mpiga makofi na vinubi kwa ilani pendwa.
Sent from my ALE-L21 using JamiiForums mobile app
Kuwa mstaarabu, wape uhuru wachangiaji, naona unaleta ukada! Najua huna mamlaka wala nguvu ya kuyafanyia kazi maoni na mapendekezo ya wananchi na wala hakuna kiongozi/mfanyakazi yeyote wa TBC mwenye uwezo wa kufanya hivyo so tulia, waache wachangiaji watapike nyongo zao maana palipo na kero ndipo maoni hutolewa. Kifupi: TBC ni ufujaji wa kodi za Watanzania, haikupaswa kuwepo maana hata viongozi wa juu kabisa wamethibitisha kutoiangalia!
Yule Mzee yupo nadhani, vipindi vya aina kama ile nashauri vingeanzishiwa mgawanyo wake,hapa namaanisha kuwe hata na TBC 3 kwaajili ya issues pasua kichwa kama zile.Kweli TBC kuna haribu watu, hivi kile kipindi cha this week.perspectives kilishaishiaga wapi jamani cha yule Mzee?