Ankazominiotra
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 607
- 379
Nakazia hilo la kuajiri mkurugenzi toka nje ya nchi, japo najua waTz hawatakuelewa wasivyopenda watu wa nje. Wanasahau hatuko kisiwani.Pia ajirini watangazaji warembo wanaovutia jifunzeni hata kwa citizen TV watangazaji wao walivo. Tatizo TBC mna mazoea mno. Ikiwezekana TBC iajiri CEO kutoka nje ya nchi mwenye uzoefu wa mambo ya habari.
Na hao kina grace kingalame kwanini wasipumzike kutangaza yani mvuto zero kabisa