Ata kama ni TV ya taifa haiwezi kukupa coverage ya saa zima bila kuwalipa ...hivo vyama unavosema hela hadi warandishe bakuli unadhani wanakuwa na sarafu za kupeleka kwenye media watangazwe? mabango tu ya Mgombea urais wenu yamewashinda mtaweza kulipia coverage kipindi ata cha nusu saa .ACT, CUF na vyama vingine nao pia waliwafurusha?
Na kabla ya tukio hili TBC iliwahi kuwapa coverage wapinzani?
Kwa nini kila anayezungumzia haki mnamuona kuwa ni CHADEMA, je mwananchi asiyekuwa na chama hawezi kusemea haki?
Yanakukera? Wewe kejeli dhidi ya wapinzani siyo mashudu ni madini?
Kwa hiyo huyo kiongozi wa chama kimoja ndiyo imekuwa adhabu kwa vyama yoteKiongozi wenu si aliwafukuza tbc? Mnalalamika nini sasa?
Porojo analeta nani kama siyo wewe? Nitolee upumbavu, give me a breakHuwa unaangalia habari au unaleta porojo tu apa.
Unazungumza kama Hadija Kopa wa TOT, yaani mipasho.Ata kama ni TV ya taifa haiwezi kukupa coverage ya saa zima bila kuwalipa ...hivo vyama unavosema hela hadi warandishe bakuli unadhani wanakuwa na sarafu za kupeleka kwenye media watangazwe? mabango tu ya Mgombea urais wenu yamewashinda mtaweza kulipia coverage kipindi ata cha nusu saa .
Hahahah unauliza ubwbwa kwa Rugwe . Chadema na yule chizi wao wangekuwa washaongea hali na media za ulaya kuwa wamelipa airtime na hawarushiwi vipindi, nani hawawajui wazee wa kiki nyie.Bogas ni wewe, na unadhihisha kuwa ni bogus kwa kejeli dhidi ya aliyejeruhiwa na watu bogus. Kweli inajulikana kuficha kweli unaonekana wewe ndio bogus, niambie ni lini wewe umeenda kukagua TBC kuwa ni CCM tu wanaolipia airtime na vyama vingine havilipii?
Mkuu, wacha nikusamehe bureYaani una arguments za kitoto😁😁😁😁 huna point yoyote ila naiona jazba kuu kifuani mwako😂😂 Polee
Kumbe wewe ni juha, nilifikiri naongea na mzimaHahahah unauliza ubwbwa kwa Rugwe . Chadema na yule chizi wao wangekuwa washaongea hali na media za ulaya kuwa wamelipa airtime na hawarushiwi vipindi, nani hawawajui wazee wa kiki nyie.
shida kila utapoingia si TRA si HOSPITAL majengo yote ya office za serikali wameweka TV na steshen ya kuangalia ni TBC tu marufuku kuweka stesheni tofauti.Tbc si kituo cha kutazama maana utaboreka na kukasirika badala ya kuhabarika na kuelimika.
bogus umeishiwa sasa unaleta ungese wako si ndio.Unazungumza kama Hadija Kopa wa TOT, yaani mipasho.
inawezekana ila naamini na mama ako pia juhaKumbe wewe ni juha, nilifikiri naongea na mzima
Siyo mipasho tu sasa unazungumza kama mvuta.....bogus umeishiwa sasa unaleta ungese wako si ndio.
Mbona ccm wooote ni WAKORA ?!Busara ingetumika sio kila kitu ni kushupaza shingo kwa sababu watu watashangilia... Chadema kimejaza wakora ndio shida inaanza apo.
Wewe unatazama tu chadema. ACT, CUF. UPDP na wengine wanaonyeshwa?Chadema na Mbowe mliwafukuza TBC live. Shauri yenu. Majuto ni mjukuu , vumilia hadi uchague CCM 28 Oct.
Dua la kuku...Tbccm i hate you but i cant reach you