ahahahahahahahahahaah hatariiiiii mkuuuuHapa nimeandikiwa sms " mbona kimya?" Nimeuliza kuhusu nini? Naambiwa si ulisema unanilipia kodi miezi mitatu ' duh nimekua mdogo balaa' Naunga mkono hoja ya mtoa mada'
Miezi miwili iliyopita nilikunywa kwa Mara ya kwanza aisee nilinunua Ile ya Kati aisee duuhAfu kwanini ukinywa lazima uwaze kwenda kufanya ngono.
Sijui ina nini....japo ni nzuri na inachangamsha sana
Baada ya kunywa Ile kitu nikaanza kusaka K Kwanza[emoji1787][emoji1787]Afu kwanini ukinywa lazima uwaze kwenda kufanya ngono.
Sijui ina nini....japo ni nzuri na inachangamsha sana
Hhahaa huko natembelea kila mwisho wa mwezi kurefresh akili mkuu! Napamiss thouHapo uko mitaa yako ya chillerz au the fox
Ukimwi upo nakukumbusha tu...Baada ya kunywa Ile kitu nikaanza kusaka K Kwanza[emoji1787][emoji1787]
Preventive measures tunazingatia SanaUkimwi upo nakukumbusha tu...
Na chumvi kwa mbaliiMimi nilikua naomba iwekwe sukari kidogo
Karibu malungaHhahaa huko natembelea kila mwisho wa mwezi kurefresh akili mkuu! Napamiss thou
Hahahaa...napafahamu..asante sana bossKaribu malunga
Acha tu.Hahahahahahahahhahahahahahaha...ss walikusaidiaje usk huo na una alcohol mwilini🤣🤣🤣🤣! Khaaa ww sikuwwzi .bas ww mizuka yako ni level nyingine hahhaaa nicheze juu ya meza? Wee nibilingite chini inahu? Ila mm nataka kucheza tu aise nisizuiwe!miziki fulani hv..sio bongoflava😒
Kabisa.kweli huwa mi nikiga huwa inataka Mama!
ndio nina malizia moja apa nguruko battery nina hisi ipo 98%
Yaani Kvant sijui ina nini.Miezi miwili iliyopita nilikunywa kwa Mara ya kwanza aisee nilinunua Ile ya Kati aisee duuh
Mimi bia hata Saba nikinywa huwa nakuwa fit yaani huwezi gundua nimelewa natembea kikamavu kabisa
Ila K VANT ilinifanya nipepesuke kwa Mara ya kwanza[emoji1787][emoji1787]
Kabisa.Baada ya kunywa Ile kitu nikaanza kusaka K Kwanza[emoji1787][emoji1787]