TBS tunaomba kuangalia hiki kinywaji K-vant

Kuna limchepuko langu bila kugida k-Vant kubwa hujalivua chupi

Ila nalipenda linatoaga blow job ya kufa raia
 
Mi k vant sitaki tena ,nilisinzia nikiwa mwendo wa km 120 kwa saa nikahama barabara thank God sio town kati.sijui ingekuwa kwenye flyingover ya ubungo nyieee
 

ASANTE SANA MKUU, sie walevi hatuna makuu na mtu
 
Unajua maana ya feki!!!?
ama unaongea ongea tu!!!?
feki ni kitu ambacho hakijatengenezwa na muhusika halisi...
sema kv ni below standard tutakuelewa
 

ila kuna jamaa mmoja alinieelekeza jinsi ya kuangalia fake na OG sisi ukinunua kwake tunakunywa fresh bila shida ila tukienda huko madukani lazima shida itokeee... 🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Kunae mwana akinywa hiki kinywaji badala ya kufurahi yeye anaanza kulia akilaumu kila mtu na kwao eti hapendwi
mnaanza kutuliza mtu mzima kama mjane

kuna jamaa yangu mmoja mkiwa mna aangalia mpira wa man u na wakifungwaaa yani ataanza kutoamachozi sio poa atalia mpaka mnapata nawasi kuwa sio mpira wenyewe..🀣🀣🀣🀣
 
Wana mix na viagra
 
Sasa mtu ana kiwanda chake kidogo, anakamatwa.. Tuwawezeshe wajasariamali wenye viwanda vidogo vidogo
 
Mimi bwana nilikuwa nakunywa Sana konyagi ilipotoka k-voo nikaamia huko mwanzon ilikuwa fresh Tu, sasa tatizo lilikuja baada ya muda kidogo nilikuwa nikinywa kuamka asubuh nakuwa na headache ya kufa mtu, nikarud kwenye Nyagi Tu
 
Unajua maana ya feki!!!?
ama unaongea ongea tu!!!?
feki ni kitu ambacho hakijatengenezwa na muhusika halisi...
sema kv ni below standard tutakuelewa

mkuu umeona wale walio kamatwa wana tengeneza diamond fake wana kila kitu mpaka stika za tra na lebo, na pia walikuwa wana tengeneza na konywagiii wanachofanya ni kuchukua formula tu ya kicnywaji na kucopy basi sema waoo wana shindwa ku balance so mtu akisema fake zipo
 
Unajua maana ya feki!!!?
ama unaongea ongea tu!!!?
feki ni kitu ambacho hakijatengenezwa na muhusika halisi...
sema kv ni below standard tutakuelewa
hata k-vant nina wasi wasi nayoo maana kuna moja tulikunywa ilikuwa kali kupita maelezo na tulikunywa sip 4 tukashindwa tuka mwaga tuka mfata yule jamaa alie tuuzia akasema yeye ana nunua kwa mtu na siio kampuni ambayoo huwa inasambaza yenyewe. uka muitikia tukasepa
 
Huo ni ushahidi wa feki....
lkn kwa vinywaji vingine kama kv haimaanishi below standard ni feki...
unless una ushahidi
 
Angekuwa wa kiume, angekuramba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…